Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,680
- 2,889
Mzee mimi ntafata nyayo zako sema ntakuwa makini nisifike huko ulipofika.
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii stori kama ya kweli jamaa boya, au kuna vitu hajasemaNajiuliza mchepuko anawezaje kupata nguvu ya kumpeleka polisi na uku hifadhi kapewa?? Jamaa zuzu
Mabinti wake watakuwa na sura za kazi haa haa haa [emoji3][emoji23] [emoji23]. Ko damu yako kali.. umewafananisha wanao wa kike na sura yako mkuu
Mbona nimeashaamua kumwacha,
Na sasa hivi ana mwezi mzima hayupo hapa nyumbani, aliindoka kwa bila kunitaarifu,
Ila nasilkia yupo kijijini kwao
Na mimi naomba sana kwa mungu asirudi,
Sasa swali lako la mimi naamua nini,?
1- Watoto wote wapo shule, nina wasiwasi anategea warudi, likizo ya pasaka naye arudi
, ingawa kweli akirudi nitamshangaa sana,
Hapo itaanza mambo ya ugomvi tena, na tulipofikia sasa ugonvi ukianza watu wanatoka nje ( majirani)
2–nyumba sasa hivi nimeifunga hakuna mtu, ingawa bado naenda na ninalala huko wakati mwingine, sasa akirudi anikute nitamfukuza, au nitafunga nyumba Na kuondoka,
Sasa sielewiataenda kwa mjumbe au polisi, ingawa mjumbe tayari naye keshamchukia kwa tabia zake
3– sitaki mambo ya polisi tena kwenda kushtakiana,
Sasa sielewi kama polisi wanaweza kunilazimisha nimfumgulie nyumba au huo uwezo hawana, kama hawana natashukuru sana
4– labda atashawishiwa aende mahakamani,
Hilo hata mimi naona ni sawa tu,
Kama ana haki zake atapata huko
5– kama kuna wanasheria hapa ingekuwa vizuri
Kutupa darasa wanafikiri ni nini itakuwa outcome ya kesi hiyo
Una stress za wanaume nikuombee?Halafu na wewe huna ushauri wa maana unaotoa kutwa kukosoa kosoa tu,kama una stress zako za wanaume peleka kwa viongozi wako wa kiroho au tafuta wanasaikolojia wakusaidie
Sasa hao wa mke wa tatu kwanini wasimtunze? Kwahiyo bimkubwa naye ndiyo anakula matunda sahizi na baba baada ya kushiba anazoa makapi kutesa kwa zamu.So sad nimeshuhudia shemeji yangu mkubwa yaani alikuwa na wake 3 lakini uzeeni ni kama hakuwahi zaa wala kuoa. Sasa hivi wadogo zake ndio wanamtunza watoto wana kazi ya kuangalia mama zao tu.
Wale wa ni mkubwa wanasema baba yao aliwa neglect wakiwa wachanga sana wakalelewa na mama yao hii ni kweli. Wale wa mke wa pili wanasema baba yao alimpenda mke wa Tatu kwa hiyo hao watoto wa mke wa Tatu ndio watunze baba yao kwa kuwa wao ndio walifaidi pesa zake. Bi mkubwa yuko zake Canada ana kula raha na wanae.
Upo sahihi kabisa mkuu.Luv, nyumba si ya watoto. Kisheria nyumba ni ya Mme na Mke. Na kwa kuwa hao wawili wameishi miaka yote hiyo zaidi ya 20 kama wanandoa na wamebahatika kupata watoto, na urithi pekee wa watoto ni elimu kitu ambacho mleta mada amejitahidi sana kuwapatia kwa uwezp wake wote.
Sasa, mimi ninachomshauri hapo hapa ridhiki tena kwani ni kiasi gani cha fedha ambacho amekipoteza kwa ajili ya huyo mwanamke. Nyumba iuzwe na wagawane.
Cha msingi, amweleze na kumshirikisha mke wake wa ndoa kila kitu, ingawa naelewa kuwa mkewe anaelewa kila kitu kuhusu huyo baba na mwanamke wake huyo.
Amepoteza vitu vingi, kwani kupoteza hiyo nyumba kuna tatizo gani. Yeye kishasema kuwa huyo mwanamke hamtaki tena, sasa shida nini tena.
Mkuu hapo hamna ndoa mpaka ile yakwanza ifutwe
So mpaka hapo ni bilabila
Kumbuka mleta mada ameshafikishana na kimeo chake kwaa mchungaji
Mkuu kama ndoa yake ya awali niWewe unaongelea ndoa gani? Ndoa ya serikali hapo tayari wala haina shaka.
Upo wewe?ulipoteaga sanaNakazia
Huyu mkewe atakuwa wa huko msoma, na huyu baba ni wa Kanda ya ziwa huko huko ingekuwa Machame dada asingekuwa mzembe kushindwa kuendeleza vitu hvo aiseeHuyo mwanamke aweza kuwa mchaga wa machame lazima akutoe roho.
Khaaaa.....Mbona nimeashaamua kumwacha,
Na sasa hivi ana mwezi mzima hayupo hapa nyumbani, aliindoka kwa bila kunitaarifu,
Ila nasilkia yupo kijijini kwao
Na mimi naomba sana kwa mungu asirudi,
Sasa swali lako la mimi naamua nini,?
1- Watoto wote wapo shule, nina wasiwasi anategea warudi, likizo ya pasaka naye arudi
, ingawa kweli akirudi nitamshangaa sana,
Hapo itaanza mambo ya ugomvi tena, na tulipofikia sasa ugonvi ukianza watu wanatoka nje ( majirani)
2–nyumba sasa hivi nimeifunga hakuna mtu, ingawa bado naenda na ninalala huko wakati mwingine, sasa akirudi anikute nitamfukuza, au nitafunga nyumba Na kuondoka,
Sasa sielewiataenda kwa mjumbe au polisi, ingawa mjumbe tayari naye keshamchukia kwa tabia zake
3– sitaki mambo ya polisi tena kwenda kushtakiana,
Sasa sielewi kama polisi wanaweza kunilazimisha nimfumgulie nyumba au huo uwezo hawana, kama hawana natashukuru sana
4– labda atashawishiwa aende mahakamani,
Hilo hata mimi naona ni sawa tu,
Kama ana haki zake atapata huko
5– kama kuna wanasheria hapa ingekuwa vizuri
Kutupa darasa wanafikiri ni nini itakuwa outcome ya kesi hiyo
Mkuu msamehe analea watoto peke yake ametelekezwa.Ni single mother.Anapata nafuu akimfanyia,mwitore,psychological torture.Halafu na wewe huna ushauri wa maana unaotoa kutwa kukosoa kosoa tu,kama una stress zako za wanaume peleka kwa viongozi wako wa kiroho au tafuta wanasaikolojia wakusaidie
Nipo.Upo wewe?ulipoteaga sana
Nilipocheka nikanuuliza enhe unamjibu nn?Akasena Shekhe najua kinachokuja sijibu.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kwahiyo akimuendeleza hiyo ndio inakuwa kipimo Cha upendo wa huyo rafiki yako kwake ...enhee alichukua hatua ipi baada ya hapo!?
Ila caraha wewe ni mkarahishaji sana,mie huwa nasoma comments zako nacheka tu watu walivyo bize na kukujibu utazani wabunge wa ndugai wamefarakana bungeni [emoji3][emoji3][emoji1][emoji1][emoji1]sio wananichokoza wenyewe loh
Una stress za wanaume nikuombee?