miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Mke wa maboksi labda. Si unaona aliaga kwenda kukarangiza...Mkuu rudia kusoma huyu bwana sasa hivi yupo kwa mke mkubwa toka yule kimeo wake aondoke kwaiyo hichi kisa anasimulia akiwa kwa mke wake halali
Thubutu, nani kakwambia!Wakati mwingine vaa viatu vya bi mkubwa.
Ungeweza? Naamini mbunye zote ziko sawa tu, au Kuna kipya ulikikuta kwa bi mdogo ?
Yani wanawake wa kule si wajinga ka huyu na majority wameishia form four so asingeweza kukosa qualifications za certificate, ila hata huyu mchepuko Hana akili na mwanaume naye hivo hvo michepuko mingine yenye akili angekuwa mbaliNakazia.. hawezi kuwa wa KILIMANJARO. Hakuna fala wa hivi... haijawahi tokea. Nimeogopa kuwataja tu[emoji23][emoji23] wataniletea pira hapa
Mke wa maboksi labda. Si unaona aliaga kwenda kukarangiza...
Kuna kitu anatufichaMimi nachoshangaa anasema wapo vizuri na bi mkubwa, sasa kwa nini asirudi kwa mkewe anaishi huko kama mkiwa? Na huyo mke anaruhusu tu mume kuhama nyumba?
Mtu wa ajabu kabisaMzee anadaganya anataka tu kufarijiwa kuhusu mchepuko na kumpa matumaini, na chepuko limemloga then limemfilisi then kala corner. Hafu ujue kwa mke mkubwa hataki lolote kuhusu huko so it seems mke mkubwa alimtelekeza Long.
Kukarangiza, mbona kama alisema aliishia kuunguza 😂 😂 😂Mke wa maboksi labda. Si unaona aliaga kwenda kukarangiza...
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Huyo mwamba Sana ...akasomeshwe na wazazi wake huko ... maninerr zakeNilipocheka nikanuuliza enhe unamjibu nn?Akasena Shekhe najua kinachokuja sijibu.
Hii inanihusu mimi au?Mzee... vipi yule binti wa form 4? Bado unaendelea kula tunda kimasikhara ama imekuaje?
Ni upweke wa MCHEPUKO umekupelekea uhamie kwa dent ama kuna kingine?
Kama gharama unaina zinakuzidia inakuaje unaenda kimpangia makazi? Bado hujajifunza tuu na drammar yote hii?
Na stress.zote hizi kweli mzee wangu?
Unajua maradhi yapo? Huogipi? Na endapo ukarudi kwa mke.. plz pima afya yako.
Kwanini usiache huu uzinzi kwa huo umri? At ur age kwa mama yangu ni bibi ana mjukuu
Sijajua kama unao ama lah. Nadhan ni muda muafaka wa wewe kutulia na familia yako. Hao watoto achana nao. Usije kufia kifuani .
Hii tabia ya kuwa na kila aina ya mwanamke malipo yake makubwa sana. Pata picha kila mchepuko ukuloge, na mke nae ukute anakuloga.. si utakua kichaa? Nakushauri tulia...
Kuna kitu anatuficha
[emoji38][emoji38][emoji112][emoji16] unashangaa?Jikoni tena baba
Uza nyumba we mzee mbona mzito hivyoMbona nimeashaamua kumwacha,
Na sasa hivi ana mwezi mzima hayupo hapa nyumbani, aliindoka kwa bila kunitaarifu,
Ila nasilkia yupo kijijini kwao
Na mimi naomba sana kwa mungu asirudi,
Sasa swali lako la mimi naamua nini,?
1- Watoto wote wapo shule, nina wasiwasi anategea warudi, likizo ya pasaka naye arudi
, ingawa kweli akirudi nitamshangaa sana,
Hapo itaanza mambo ya ugomvi tena, na tulipofikia sasa ugonvi ukianza watu wanatoka nje ( majirani)
2–nyumba sasa hivi nimeifunga hakuna mtu, ingawa bado naenda na ninalala huko wakati mwingine, sasa akirudi anikute nitamfukuza, au nitafunga nyumba Na kuondoka,
Sasa sielewiataenda kwa mjumbe au polisi, ingawa mjumbe tayari naye keshamchukia kwa tabia zake
3– sitaki mambo ya polisi tena kwenda kushtakiana,
Sasa sielewi kama polisi wanaweza kunilazimisha nimfumgulie nyumba au huo uwezo hawana, kama hawana natashukuru sana
4– labda atashawishiwa aende mahakamani,
Hilo hata mimi naona ni sawa tu,
Kama ana haki zake atapata huko
5– kama kuna wanasheria hapa ingekuwa vizuri
Kutupa darasa wanafikiri ni nini itakuwa outcome ya kesi hiyo
Yaan halina kitu kabisa kichwani.. ndo maana unaambiwa chagua marafiki bora. Hivi umewahigi kuona show off za mtu ambaye hana shule?[emoji23]Yani wanawake wa kule si wajinga ka huyu na majority wameishia form four so asingeweza kukosa qualifications za certificate, ila hata huyu mchepuko Hana akili na mwanaume naye hivo hvo michepuko mingine yenye akili angekuwa mbali
Bimdogo ndo nani? Bimdogo ama mchepuko? Mbona Heaven Sent nimeaona anamuulizia mke na si mchepuko. Wewe ndo hujaelewa mada. Ameuliza analia nini angali mke yuko na anadai wanabond vizuri..Kuwa mwelewa basi analala siku moja moja kwenye nyumba yake na Bi mdogo kwani madogo wako shule na Bi mdogo yuko Moro.Tafuta huo uzi huko juu
Yaan huyu baba amelogwa. Amelogwa akaligekaKukarangiza, mbona kama alisema aliishia kuunguza [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Anakaa kule nyumba ndogo hakuna kelele, pia anashinda na boxer tu, haingizi mwanamke, majirani wanamshangaa![emoji23]
Utunzi wa mahaba niue, uniponde kama nyanya, kumbe wengine wanayaishi,
JF imejua kunipa burudani!!
Everyday is Saturday................................[emoji41]
Kuna mahali uligusia kuna mchepuko umeamua mpaka kunpangia chumba unajilia zako vyako alimaliza form four sijui mchepuko namba 2. Nakushauri usiongeze matatizoHii inanihusu mimi au?
Sijaelewa mambo ya binti wa Form four,
Nadhani sio mimi
Huyu mtu amevurugwa akavurugika haijabaki hata akili mojaDaah kaka mkubwa KUWA MWANAUME, haya maamuzi si yakiume, maana mengi yanaonesha hata wew hujui itakuwaje akirudi.
Broo chukua maamuz magumu, uza nyumba hiyo uzuri ushasema hamna mtu ambae yupo apo asaiv umeifunga tu, uza tafuta eneo jingine jenga, watoto wapangishie sehem wakirud likizo wakukute hapo wakat ujenzi unaendelea sehem ambayo hata wao hawatapaswa waijue hadi ikamilike.
Kwahiyo akishajua unauza anakuzuia amaAhsante,
Tatizo nalo wapambe, maana ukishatangaza tu
Nauza wapambe hawa hapa, mala nyumba ina mgogoro mala nini, maana uuzaji wa nyumba ni mgumu, bora uuze gari
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji112] ulikuwa unapiga starter tu hujui kama ingewaka na kuanza kuondoka? sasa now endesha hata Kama si dereva jifunze, lasivyo itaanguka vibaya Sana (family) mwisho utakuwa mbayaYes naishi na mwanamke sijamuoa. Nayeishi naye sitaki kumuoa namtaka yule mwingine.
Wote wana watoto wawili
Jumla 4 kids
Pair ya kwanza wamepishana miezi 8 wapo vidudu huko.
Pair ya pili wamepishana mwaka mmoja anasimama dede mwingine ndio kwanzaaaa.....
HAKI UCHAWI UPO DUNIANI[emoji3][emoji3][emoji3]