Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Nakazia.. hawezi kuwa wa KILIMANJARO. Hakuna fala wa hivi... haijawahi tokea. Nimeogopa kuwataja tu[emoji23][emoji23] wataniletea pira hapa
Yani wanawake wa kule si wajinga ka huyu na majority wameishia form four so asingeweza kukosa qualifications za certificate, ila hata huyu mchepuko Hana akili na mwanaume naye hivo hvo michepuko mingine yenye akili angekuwa mbali
 
Mzee anadaganya anataka tu kufarijiwa kuhusu mchepuko na kumpa matumaini, na chepuko limemloga then limemfilisi then kala corner. Hafu ujue kwa mke mkubwa hataki lolote kuhusu huko so it seems mke mkubwa alimtelekeza Long.
Mtu wa ajabu kabisa
 
Mke wa maboksi labda. Si unaona aliaga kwenda kukarangiza...
Kukarangiza, mbona kama alisema aliishia kuunguza 😂 😂 😂
Anakaa kule nyumba ndogo hakuna kelele, pia anashinda na boxer tu, haingizi mwanamke, majirani wanamshangaa!😂
Utunzi wa mahaba niue, uniponde kama nyanya, kumbe wengine wanayaishi,

JF imejua kunipa burudani!!

Everyday is Saturday................................😎
 
Mzee... vipi yule binti wa form 4? Bado unaendelea kula tunda kimasikhara ama imekuaje?

Ni upweke wa MCHEPUKO umekupelekea uhamie kwa dent ama kuna kingine?

Kama gharama unaina zinakuzidia inakuaje unaenda kimpangia makazi? Bado hujajifunza tuu na drammar yote hii?
Na stress.zote hizi kweli mzee wangu?
Unajua maradhi yapo? Huogipi? Na endapo ukarudi kwa mke.. plz pima afya yako.
Kwanini usiache huu uzinzi kwa huo umri? At ur age kwa mama yangu ni bibi ana mjukuu
Sijajua kama unao ama lah. Nadhan ni muda muafaka wa wewe kutulia na familia yako. Hao watoto achana nao. Usije kufia kifuani .

Hii tabia ya kuwa na kila aina ya mwanamke malipo yake makubwa sana. Pata picha kila mchepuko ukuloge, na mke nae ukute anakuloga.. si utakua kichaa? Nakushauri tulia...
Hii inanihusu mimi au?
Sijaelewa mambo ya binti wa Form four,
Nadhani sio mimi
 
Kuna kitu anatuficha

Afiche kwa sababu gani,huyu bwana uandishi wake hauna mtiririko mzuri sana kitu ambacho simshangai kwa kuwa hatungi kitabu. Inavyoonekana Bi mkubwa hambani sana,na pia kazi ya jamaa inamfanya anaweza kumpanga Bi mkubwa kuwa anatoka kikazi ila anakuwa na mishe zake. Hilo la kazi amezungumzia kwenye uzi huko juu
 
Mbona nimeashaamua kumwacha,
Na sasa hivi ana mwezi mzima hayupo hapa nyumbani, aliindoka kwa bila kunitaarifu,
Ila nasilkia yupo kijijini kwao

Na mimi naomba sana kwa mungu asirudi,

Sasa swali lako la mimi naamua nini,?

1- Watoto wote wapo shule, nina wasiwasi anategea warudi, likizo ya pasaka naye arudi
, ingawa kweli akirudi nitamshangaa sana,
Hapo itaanza mambo ya ugomvi tena, na tulipofikia sasa ugonvi ukianza watu wanatoka nje ( majirani)

2–nyumba sasa hivi nimeifunga hakuna mtu, ingawa bado naenda na ninalala huko wakati mwingine, sasa akirudi anikute nitamfukuza, au nitafunga nyumba Na kuondoka,
Sasa sielewiataenda kwa mjumbe au polisi, ingawa mjumbe tayari naye keshamchukia kwa tabia zake

3– sitaki mambo ya polisi tena kwenda kushtakiana,
Sasa sielewi kama polisi wanaweza kunilazimisha nimfumgulie nyumba au huo uwezo hawana, kama hawana natashukuru sana

4– labda atashawishiwa aende mahakamani,
Hilo hata mimi naona ni sawa tu,
Kama ana haki zake atapata huko

5– kama kuna wanasheria hapa ingekuwa vizuri
Kutupa darasa wanafikiri ni nini itakuwa outcome ya kesi hiyo
Uza nyumba we mzee mbona mzito hivyo

Yaani unasubiri mpaka mgawane?

Dah Mungu aliumba
 
Yani wanawake wa kule si wajinga ka huyu na majority wameishia form four so asingeweza kukosa qualifications za certificate, ila hata huyu mchepuko Hana akili na mwanaume naye hivo hvo michepuko mingine yenye akili angekuwa mbali
Yaan halina kitu kabisa kichwani.. ndo maana unaambiwa chagua marafiki bora. Hivi umewahigi kuona show off za mtu ambaye hana shule?[emoji23]
 
Kuwa mwelewa basi analala siku moja moja kwenye nyumba yake na Bi mdogo kwani madogo wako shule na Bi mdogo yuko Moro.Tafuta huo uzi huko juu
Bimdogo ndo nani? Bimdogo ama mchepuko? Mbona Heaven Sent nimeaona anamuulizia mke na si mchepuko. Wewe ndo hujaelewa mada. Ameuliza analia nini angali mke yuko na anadai wanabond vizuri..
 
Kukarangiza, mbona kama alisema aliishia kuunguza [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Anakaa kule nyumba ndogo hakuna kelele, pia anashinda na boxer tu, haingizi mwanamke, majirani wanamshangaa![emoji23]
Utunzi wa mahaba niue, uniponde kama nyanya, kumbe wengine wanayaishi,

JF imejua kunipa burudani!!

Everyday is Saturday................................[emoji41]
Yaan huyu baba amelogwa. Amelogwa akaligeka
 
Hii inanihusu mimi au?
Sijaelewa mambo ya binti wa Form four,
Nadhani sio mimi
Kuna mahali uligusia kuna mchepuko umeamua mpaka kunpangia chumba unajilia zako vyako alimaliza form four sijui mchepuko namba 2. Nakushauri usiongeze matatizo
 
Daah kaka mkubwa KUWA MWANAUME, haya maamuzi si yakiume, maana mengi yanaonesha hata wew hujui itakuwaje akirudi.

Broo chukua maamuz magumu, uza nyumba hiyo uzuri ushasema hamna mtu ambae yupo apo asaiv umeifunga tu, uza tafuta eneo jingine jenga, watoto wapangishie sehem wakirud likizo wakukute hapo wakat ujenzi unaendelea sehem ambayo hata wao hawatapaswa waijue hadi ikamilike.
Huyu mtu amevurugwa akavurugika haijabaki hata akili moja

Mimi naamini yule aliyesema mzee anatamani yule mwanamke aseme anampenda
 
Ahsante,
Tatizo nalo wapambe, maana ukishatangaza tu
Nauza wapambe hawa hapa, mala nyumba ina mgogoro mala nini, maana uuzaji wa nyumba ni mgumu, bora uuze gari
Kwahiyo akishajua unauza anakuzuia ama
 
Yes naishi na mwanamke sijamuoa. Nayeishi naye sitaki kumuoa namtaka yule mwingine.
Wote wana watoto wawili
Jumla 4 kids
Pair ya kwanza wamepishana miezi 8 wapo vidudu huko.

Pair ya pili wamepishana mwaka mmoja anasimama dede mwingine ndio kwanzaaaa.....

HAKI UCHAWI UPO DUNIANI[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji112] ulikuwa unapiga starter tu hujui kama ingewaka na kuanza kuondoka? sasa now endesha hata Kama si dereva jifunze, lasivyo itaanguka vibaya Sana (family) mwisho utakuwa mbaya

Mungu akusimamie ufanye uamzi mzuri
 
Back
Top Bottom