Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Sasa baada ya kupokea lile fungu la kwanza
30m, mimi haraka sana nikaenda kupunguza madeni yangu, hata hivyo Hays kwisha,

Na yeye nikamwita kwamba tukae chini ili ile 15m yake tuipangie matumizi ya kwanza kabisa,

Ushauri wangu ilikuwa tununue kiwanja kwanza,

Sehemu ambayo sio ghari sana, Hapo sasa ndio kimbembe kilipoanza,

Ila kufupisha story nilimwambia basi wewe unataka tuanze na nini? Akanijibu hiyo pesa anataka afanyie biashara wakati ujenzi unaendelea, nikamwambia biashara mbona tumefanya na tunasnguka, hata hivvyo sio mbaya wewe kutaka kufanya biashara lakini ni bora tuwe na kiwanja kwanza.

Kusema kweli zogo lilikuwa kubwa ananipayukia na mimi natumia ubaba wangu sasa kulazimisha, ndio alipoamka kwenye kiti(tulikuwa tumekaa nje na watoto wanacheza hapo nje).

Alichoniambiakwa sauti kuu na kali ni kwamba

TOKA HAPA NA VISENTI VYAKO UNAVYONIPAGA,

Du ! Leo naambiwa visenti, yaani huyu mwanamke nimekopa pesa, nimempeleka ufundi cherehani, nimemfungulia saloon , grocer, mghahawa, dala dala, mtaji wa kuku wa kisasa.

Anaanguka namyanyua, anakopa vicoba anashindwa kumaliza nammalzia,

Nalipa watoto karo kwa mwaka jaribia Mil 6 na bado watoto ndio kwanza wanasafari, kwa nini ananivunjia heshima namna hii?

Kusema kweli sikujua kama niliokota jiwe au mti au ufagio, nimpige nao akawahi kukimbia, na mimi nikaanza kumfukuza, kama sijamrushia kila kitu ambacho mpaka leo sikijui, nikaanguka chini, yeye akaendelea sijui wapi , kusema kweli sikumwona,
Kuangalia nyuma naona watoto, kumbe na wenyewe wakawa wameshika mawe wanataka kunipigia nayo, nikaamka ili niwafukuze nikaenda chini tena , sasa hapo ndio nikaanza kusikia maumivu, na watoto wale kule wamesimama, sasa na wenyewe wanapaza sauti,
KWA NINI UNAMPIGA MAMA YETU SI UENDE KWENU!!!!!

Nitaendelea

[emoji2298][emoji2298]
 
Amekula ujana vibaya kwa kweli hafu anatafta huruma humu, mgeni wa bunye
We ngoja acheze atapata pressure watu watasema ni Corona atakimbizwa mloganzira akapigwa oxygen huku watu wa kimuogopa kumbe ni mapanzi yame mtia uchizi!
 
2- january hiyo kwa pesa mabaki ya pesa ya viwanja nanunua matofari na kuanza msingi kwanza, nimemwambia tujenga nyumba ndogo, anakataa kwa nini ndogo wakati bi mkubwa ya kwake kubwa,
Tunaamua kuchukua ramani ya ile tuliyouza, lakini kwa maboresho kidogo
hapa ndo huwa nyumba ndogo znanshnda,kutaka kuwa na hadhi sawa na mke mkubwa.

ukiona mchepuko unakueleza hvyo,jua hapo HAKUNA MAPENZI
 
20-naendelea kumuuliza kuhusu huyo mtu lakini hakuna majibu yoyote, nilikuja kupata uhakika kweli yule mtu alikuja kabisa hapa nyumbani mwezi wa 11, baada ya kumpigia simu kwa kutumia namba nyingina,
Nikajitambulisha n
Akasema ni kweli alikuja ila hakukaa sana na Mama alimpa namba zangu zote ili akiona namba hizo asipokee au azi block,

Mwishowe akaniuliza swali tatanishi, eti hiyo nyumba na ya nani, nikamuuliza kwa nini unauliza hivyo, eti yeye ndio kajenga, nikamkatia simu.
 
Mzee wangu kwanza pole kwa yaliyokukuta. Ila mpaka hapa nilichogundua ni wewe kumwamini sana mwanamke. Kosa kubwa sana hilo. Hata Adam alifanya kosa kama hilo kumwamini sana Hawa hata akakubali kula tunda alilokatazwa na Mungu. Pia Mungu alituamrisha "kuwapenda wake zetu" (sio kuwaamini), na akasema tuishi nao "kwa akili" (sio huruma wala kuwaamini). Sipo hapa kuku hukumu lakini makosa mawili makubwa uliyofanya ni kumwamini bi mdogo na kushindwa kuishi nae kwa akili.
Ntakushuri ukimaliza.
 
Mkuu jipange ukisha fikisha miaka 50 sio huna muda wa kushauriwa tena ni muda kama una nguvu ni muda wa kuangalia fursa na kutafuta usingizi usiku sio muda wa kuangaika na mipango ya kando pengine kama ulijipanga vizuri ni muda wa kucheza na wa jukuu
Una,umri gani?Una watoto wangap?wana umri/jinsia gani?Tuanzie hapo nijibu.
 
P2 hazimezwi Kama pipi wewe ni mademu gani hao unawapata hawajijali hata afya zao wanazimeza tu
P2 kutumia zikizidi sana ni mara mbili kwa mwaka inaitwa emergency contraceptive sasa nyie mna njunjana kila siku hizo ni emergency kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]afu wabongo bana
Wewe endelea kwenda kavu siku uje utusimulie hapa tukushauri sawa eeh baba
Hizi p2 sitaki hata kuzisikia nilimeza siku moja zilivyonitenda nikasema mimi tena nije kutumia p2 labda nizaliwe tena
 
Daah bro tumia basi hata nusu saa uandike ndefu ndefu, sisi tutasubiri kuliko kusoma mistari miwili wili, but pole san huenda unaandika huku unaumia moyoni
 
Back
Top Bottom