Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,874
- 3,215
Ungepewa R.I.P card kupitia BP, Kisukari, Stroke nk.Baada ya kuiuza ile nyumba, na kipindi hicho ujue tayali alishaanza kuwa na kachuki fulani hivi ambako sikukaelewa, ila akili yangu ilinituma labda hakupenda tuuze ila nyumba, mimi sikujali,
Ila aliniomba kitu fulani nikifanye wakati wa kupokea ile pesa, ila wakati ananiambia mimi sikusikia vizuri maana naona hata yeye alikuwa na wasiwasi anachonieleza ndio maana maana Sauti yake haikutoka vizuri, nikamwambia naomba urudie unasemaje,
Akaniambia sasa nikasikia vizuri,
NAOMBA HIYO PESA NIWEKE MIMI,
Nikamuuliza kwa nini,? Kwani huniamini, na kwa nini huniamini wakati unajua kabisa wewe tayari ni wangu na tuna watoto, mimi sio mhuni najua lengo la kuuza nyumba ni kwamba tulikuwa na sehemu fulani na ni lazima pigs ua tuee na nyumba yetu nyingine ambayo imeisha ili tuishi sasa kama akina fulani,
Akanjibu, unajua............
Ndugu zangu naomba mguess alikuwa na maana gani na nimkubalie au nikatae?
Mawazo yenu wakati naendelea
Kifupi alishajua makosa yake na unamuandalia hukumu, sasa alitaka akitie adabu kupitia pesa zako.