Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Baada ya kuiuza ile nyumba, na kipindi hicho ujue tayali alishaanza kuwa na kachuki fulani hivi ambako sikukaelewa, ila akili yangu ilinituma labda hakupenda tuuze ila nyumba, mimi sikujali,

Ila aliniomba kitu fulani nikifanye wakati wa kupokea ile pesa, ila wakati ananiambia mimi sikusikia vizuri maana naona hata yeye alikuwa na wasiwasi anachonieleza ndio maana maana Sauti yake haikutoka vizuri, nikamwambia naomba urudie unasemaje,

Akaniambia sasa nikasikia vizuri,

NAOMBA HIYO PESA NIWEKE MIMI,

Nikamuuliza kwa nini,? Kwani huniamini, na kwa nini huniamini wakati unajua kabisa wewe tayari ni wangu na tuna watoto, mimi sio mhuni najua lengo la kuuza nyumba ni kwamba tulikuwa na sehemu fulani na ni lazima pigs ua tuee na nyumba yetu nyingine ambayo imeisha ili tuishi sasa kama akina fulani,

Akanjibu, unajua............

Ndugu zangu naomba mguess alikuwa na maana gani na nimkubalie au nikatae?

Mawazo yenu wakati naendelea
Ungepewa R.I.P card kupitia BP, Kisukari, Stroke nk.
Kifupi alishajua makosa yake na unamuandalia hukumu, sasa alitaka akitie adabu kupitia pesa zako.
 
Tupo irrational sana, 50yrs ni kibabu?, labda kama kwao lishe ni duni ila umri huo kama mtu yupo healthy hawezi kuwa kibabu. Najua wengi wanaongea hivyo ili kumpa psychological torture na hivyo wanajisikia furaha...
50 sio kibabu ndio mwanzo wa uzee ..
 
Jamaa yuko smart kinoma 50 yrs watoto wamemaliza versity. I do salute the guy . .
Acha wajinga waendelee kumcheka wakati wao wako 30's hata mtoto hawana!
Na pia Kuna ambao hawana uhakika wa kuwa na Maisha mazuri na huwenda wasifikie Level ya Maisha ambayo Yuko nayo huyu baba...... So busara itawale kidogo [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hapana Kaka Mwitore is so strong, hawezi pata depression kutoka hawa low life bunch of imbeciles
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] my ribs
 
Hivi ninavyoandika hapa, tuligombana sana mpaka kumtupia nguo zake na vitu nje, hiyo ilikuwa tar 4 mwezi huu,
Kisa nilishachoka kuondoka bila kuaga, sasa anasema amekodi mashamva huko moro, aliniaga anaenda nikamkatalia, akaenda kwa nguvu, alivyorudi nikamfukuza, na ugonvi mwingi mpaka watoto wakachangia kunitamkia maneno machafu,

Majirani wakaja wakawaombea, nikawaruhusu waingie ndani, tar 9 Jan yaani siku 4 tu toka nimkataze kwenda moro, kaenda tena bila ruhusa yangu,

Hajarudi mpaka leo,

Ila juzi nilipata taarifa ameonekana anatelemshwa Na gari ya jamaa ambaye nilishamtuhumu kuwa ana mahusiano naye kimapenzi, na hata mwezi wa 11 mwaka jana nilifuma message yake akimwalifu tayari yupo Dar

Nikaamua kumpigia simu huyo bwana nakamkoromea kuwa anaharibu famlia yangu akakataa

Baadaye ni kamuuliza bi mdogo huyo bwana anafanya shughuli gani akasema hafahamu,

Baada ya kuulizia nikasikia baba yake kastaafu kazi ya ualimu kamfungulia duka la nguo,

Hapo nyuma huo mwezi wa kumi na moja mke wangu alinionesha vi tisheti vitatu vipya na kitenge kuwa kanunua kumbe jamaa alipokuja Dar alimhonga
 
Mkiw kuna Mali sehemu huwa mnasema sheria ukiishi na MTU miezi 3 mfululizo ni mkeo,huyu kaishi naye yangu yuko 22 hadi sawa yupo 42 ni nani?
Huyu labda tumtafutie jina aiseee, Ila Ana undugu na shetani
 
  • Thanks
Reactions: THT
Hivi ninavyoandika hapa, tuligombana sana mpaka kumtupia nguo zake na vitu nje, hiyo ilikuwa tar 4 mwezi huu,
Kisa nilishachoka kuondoka bila kuaga, sasa anasema amekodi mashamva huko moro, aliniaga anaenda nikamkatalia, akaenda kwa nguvu, alivyorudi nikamfukuza, na ugonvi mwingi mpaka watoto wakachangia kunitamkia maneno machafu,

Majirani wakaja wakawaombea, nikawaruhusu waingie ndani, tar 9 Jan yaani siku 4 tu toka nimkataze kwenda moro, kaenda tena bila ruhusa yangu,

Hajarudi mpaka leo,

Ila juzi nilipata taarifa ameonekana anatelemshwa Na gari ya jamaa ambaye nilishamtuhumu kuwa ana mahusiano naye kimapenzi, na hata mwezi wa 11 mwaka jana nilifuma message yake akimwalifu tayari yupo Dar

Nikaamua kumpigia simu huyo bwana nakamkoromea kuwa anaharibu famlia yangu akakataa

Baadaye ni kamuuliza bi mdogo huyo bwana anafanya shughuli gani akasema hafahamu,

Baada ya kuulizia nikasikia baba yake kastaafu kazi ya ualimu kamfungulia duka la nguo,

Hapo nyuma huo mwezi wa kumi na moja mke wangu alinionesha vi tisheti vitatu vipya na kitenge kuwa kanunua kumbe jamaa alipokuja Dar alimhonga
Aiseeee
 
Hivi ninavyoandika hapa, tuligombana sana mpaka kumtupia nguo zake na vitu nje, hiyo ilikuwa tar 4 mwezi huu,
Kisa nilishachoka kuondoka bila kuaga, sasa anasema amekodi mashamva huko moro, aliniaga anaenda nikamkatalia, akaenda kwa nguvu, alivyorudi nikamfukuza, na ugonvi mwingi mpaka watoto wakachangia kunitamkia maneno machafu,

Majirani wakaja wakawaombea, nikawaruhusu waingie ndani, tar 9 Jan yaani siku 4 tu toka nimkataze kwenda moro, kaenda tena bila ruhusa yangu,

Hajarudi mpaka leo,

Ila juzi nilipata taarifa ameonekana anatelemshwa Na gari ya jamaa ambaye nilishamtuhumu kuwa ana mahusiano naye kimapenzi, na hata mwezi wa 11 mwaka jana nilifuma message yake akimwalifu tayari yupo Dar

Nikaamua kumpigia simu huyo bwana nakamkoromea kuwa anaharibu famlia yangu akakataa

Baadaye ni kamuuliza bi mdogo huyo bwana anafanya shughuli gani akasema hafahamu,

Baada ya kuulizia nikasikia baba yake kastaafu kazi ya ualimu kamfungulia duka la nguo,

Hapo nyuma huo mwezi wa kumi na moja mke wangu alinionesha vi tisheti vitatu vipya na kitenge kuwa kanunua kumbe jamaa alipokuja Dar alimhonga

Mkuu achana na huyu mwanamke. Labda nikuulize swali moja, je Bi Mkubwa anamjua huyu mwanamke kwa sasa? Kama hamjui, inabidi nikupongeze mkuu. Mwachie tu hiyo nyumba kwakuwa ana watoto, huyo anachotafuta ni wewe umpe taraka mgawane, hakuna kitu hapo atakuletea ugonjwa tu.
 
Ni kweli, sisi wanaume ni maguvu, lakini usisahau kwamba tuliambiwa majukumu yote ya kulea familia ni yetu, labda ndio maana kutokana na ugumu wa familia huwa tanajifariji kwa mambo kama haya, mwishowe tunapoteza.

Ila ushauri kwa wanaume wenzangu tusisahau future yetu, hawa ndugu zetu huwa wapo kimya wanatutegea tu, tukishaishiwa au nguvu na kipato kupungua wenyewe hao wanakimbilia kukaa kwa watoto wao sisi hatuwezi,

KEEP IT IN YOUR MIND FROM TODAY
Noted
 
Hatujawasiliana toka aondoke kesho anafunga mwezi,
Namshukuru Mungu sasa hivi wala roho yangu haiumii tena, nimeshamwona taka taka, na kusema kweli na mchukia vibaya sana, usiku na mchana naomba asirudi maana sijui ninaweza kumfanya kitu gani



Ameshanitamkia kuwa yupo hapa kwa ajili ya nyumba tu sisi mimi,

Ameshanitamkia mpaka tugawane vyumba,
 
Hivi ninavyoandika hapa, tuligombana sana mpaka kumtupia nguo zake na vitu nje, hiyo ilikuwa tar 4 mwezi huu,
Kisa nilishachoka kuondoka bila kuaga, sasa anasema amekodi mashamva huko moro, aliniaga anaenda nikamkatalia, akaenda kwa nguvu, alivyorudi nikamfukuza, na ugonvi mwingi mpaka watoto wakachangia kunitamkia maneno machafu,

Majirani wakaja wakawaombea, nikawaruhusu waingie ndani, tar 9 Jan yaani siku 4 tu toka nimkataze kwenda moro, kaenda tena bila ruhusa yangu,

Hajarudi mpaka leo,

Ila juzi nilipata taarifa ameonekana anatelemshwa Na gari ya jamaa ambaye nilishamtuhumu kuwa ana mahusiano naye kimapenzi, na hata mwezi wa 11 mwaka jana nilifuma message yake akimwalifu tayari yupo Dar

Nikaamua kumpigia simu huyo bwana nakamkoromea kuwa anaharibu famlia yangu akakataa

Baadaye ni kamuuliza bi mdogo huyo bwana anafanya shughuli gani akasema hafahamu,

Baada ya kuulizia nikasikia baba yake kastaafu kazi ya ualimu kamfungulia duka la nguo,

Hapo nyuma huo mwezi wa kumi na moja mke wangu alinionesha vi tisheti vitatu vipya na kitenge kuwa kanunua kumbe jamaa alipokuja Dar alimhonga
Aisee bimkubwa alifanikiwa kujua hili songombingo lako !??
 
Hatujawasiliana toka aondoke kesho anafunga mwezi,
Namshukuru Mungu sasa hivi wala roho yangu haiumii tena, nimeshamwona taka taka, na kusema kweli na mchukia vibaya sana, usiku na mchana naomba asirudi maana sijui ninaweza kumfanya kitu gani



Ameshanitamkia kuwa yupo hapa kwa ajili ya nyumba tu sisi mimi,

Ameshanitamkia mpaka tugawane vyumba,
Uza nyumba hiyo uhame hapo
 
Jamani mambo na visa ni vingi sana kuliko mnavyo fikiri, naona comment nyingine zinachoma haswa,
Niombe nikate story short, nasubirie tu ushauri wenu,lakini toka huo mwaka 2018,
Alirudi nikamkubiria kukaa ,

Lakini visa nivikubwa zaidi, zaidi sana, mpaka nahisi kama ameheuka,

Nimeshaitisha Vinson’s zaidi ya nane,

Nimeshampiga mpaka jicho likataka kutoka

keshanipeleka polisi

Nimeshampleka ustawi wa jamii,
Ambapo alitaka tugawane nyumba baada ya kuuzwa

Nimeshafungua kesi mahakama ya wilaya

Tumehudhuliamala nane, nikaifuta baada ya kuona, mwenendo wake kama gakutegemea nitaanda mahakamani ili tuachane, ingawa keshanieleza mala kibao tuachane, nilivyofanya kweli akapooza sana

Ameendelea kwenda kwenye huko polini kwa nguvu bila ruhusa yangu zaidi hata mala 20

Ameshatangaza kwa majirani sana kwamba mimi sitaki wageni ingawa ni uongo, mpaka hapa nyumbani napachukia

Baadhi ya ndugu zangu wanamfahamu, hata mama yangu alishakuja kwake na akalala

Kutokana na visa vyake ndugu zangu hawampendi

Nilishawapeleka watoto nyumbani kwa bibi yao yaani mama yangu wakakaa huko kama wiki moja, na mmoja anasoma huku huko

Kila dalili hawapendi kukaa kule

Majina ya watoto niliyafuta kwa hati nikaweka yangu
Mzee wangu ukweli hapa ni kwamba kuachana hakuepukiki. Kwa kifupi ni kwamba yeye ni kama ameshakuacha ila wewe ndio unafosi muendeleze mahusiano, sasa sijui unamng'ang'ania wa nini wakati una mji wako mzuri tuu, hivi unachokipigania kwa huyo mchepuko ni nini hasa?

Sasa mzee wangu nakupa ushauri wa kuachana naye kwa amani:

Kwanza hakikisha mnaachana kisheria kabisa ili huko mbeleni asije aka backfire. Peaneni talaka kwa nyaraka zinazotambulika kisheria.

Pili, hiyo nyumba ulomjengea muachie iwe yake na wanao ambao obvious lazima wawe na mahali pa kuishi. Ila cha kufanya ikatie kiwanja chake na eneo linalobaki piga fensi asihusike nalo.
 
Huyu kadaganya umri Hadi hayo mapicha picha ni baada ya kiunua mgongo kuisha, by the way I'm not judging that's was my opinion kwanini nyie wanaume mnakuwa wakali kwa ujinga wa huu mwanaume mwenzenu ni vile mna michepuko inawanyima raha so msinimalizie Mimi hasira kwa starehe zenu, tena huyu mzee ajakomeshwa vizuri sioni Cha huruma kwa maamuzi yake na starehe zake.
Kwa hiyo kadanganya umri tena? Ana umri gani kiukweli kweliii! Tusiwe bitter mtu akileta issue ili kupata suluhu, kwani kumpa advice inayomjenga ni dola ngapi jamani. Nimesema tu kuwa pamoja na yote hakuna aliyepatia maisha 100%, sema wengine tupo so reserved kuleta mizigo yetu humu, tunahisi watu wapo kukebehi na kufurahia maanguko ya wengine.

Tuendelee kukibali kutokubaliana mkuu!!
 
Jamani mambo na visa ni vingi sana kuliko mnavyo fikiri, naona comment nyingine zinachoma haswa,
Niombe nikate story short, nasubirie tu ushauri wenu,lakini toka huo mwaka 2018,
Alirudi nikamkubiria kukaa ,

Lakini visa nivikubwa zaidi, zaidi sana, mpaka nahisi kama ameheuka,

Nimeshaitisha Vinson’s zaidi ya nane,

Nimeshampiga mpaka jicho likataka kutoka

keshanipeleka polisi

Nimeshampleka ustawi wa jamii,
Ambapo alitaka tugawane nyumba baada ya kuuzwa

Nimeshafungua kesi mahakama ya wilaya

Tumehudhuliamala nane, nikaifuta baada ya kuona, mwenendo wake kama gakutegemea nitaanda mahakamani ili tuachane, ingawa keshanieleza mala kibao tuachane, nilivyofanya kweli akapooza sana

Ameendelea kwenda kwenye huko polini kwa nguvu bila ruhusa yangu zaidi hata mala 20

Ameshatangaza kwa majirani sana kwamba mimi sitaki wageni ingawa ni uongo, mpaka hapa nyumbani napachukia

Baadhi ya ndugu zangu wanamfahamu, hata mama yangu alishakuja kwake na akalala

Kutokana na visa vyake ndugu zangu hawampendi

Nilishawapeleka watoto nyumbani kwa bibi yao yaani mama yangu wakakaa huko kama wiki moja, na mmoja anasoma huku huko

Kila dalili hawapendi kukaa kule

Majina ya watoto niliyafuta kwa hati nikaweka yangu

Mkuu uko sure kweli Mke mkubwa hafahamu yote haya? Nasema hivyo kwa kuwa kuna sehemu umesema una mtoto anasoma kwa mama yako,je mkeo mkubwa hana mazoea na ukweni? Hamna mtu anaweza kumpa yanayoendelea pale ukweni kama yule msamaria mwema aliyekujulisha mkeo anahamisha vitu mjini? Wanawake ni wazuri sana wa kupandikiza spies ili kupata taarifa flani flani mkuu
 
Hatujawasiliana toka aondoke kesho anafunga mwezi,
Namshukuru Mungu sasa hivi wala roho yangu haiumii tena, nimeshamwona taka taka, na kusema kweli na mchukia vibaya sana, usiku na mchana naomba asirudi maana sijui ninaweza kumfanya kitu gani



Ameshanitamkia kuwa yupo hapa kwa ajili ya nyumba tu sisi mimi,

Ameshanitamkia mpaka tugawane vyumba,
Pole Sana

Naona muda mwingi unatumia hapo kwa huyo dada/mama.

Je umewapangia zamu? Au huwa unafanyaje ili mkeo asijue?

Nini mwisho wa haya mahusiano yenu?
 
Back
Top Bottom