Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Hatujawasiliana toka aondoke kesho anafunga mwezi,
Namshukuru Mungu sasa hivi wala roho yangu haiumii tena, nimeshamwona taka taka, na kusema kweli na mchukia vibaya sana, usiku na mchana naomba asirudi maana sijui ninaweza kumfanya kitu gani



Ameshanitamkia kuwa yupo hapa kwa ajili ya nyumba tu sisi mimi,

Ameshanitamkia mpaka tugawane vyumba,
Kama shida ni nyumba nenda mahakamani mkuu

Fanya urudi kwa bi mkubwa
 
Sasa ndio kawa Mke , na watoto ndio hao, haraka haraka nikaanza kutafuta kiwanja, Bahati nzuri ni msomaji mzuri wa magazeti nikaoona viwanja vya serikali vinauzwa huko,

Wakati watu wengine wamelala, mimi nikapata viwili. Ikabaki kufuatilia hati, na kwa sababu ulikuwa ni mradi wa kimkakati, hati zilitoka mapema tu, lakini kwa jina langu mimi.
Hivi huyu shetani tumemkosea nini sie wanadamu?! Huyu bwana bifu lake si na Mungu?! Sasa kisa cha kutuandama wanadamu ni nini wakati yeye bifu lake ni na Mungu Baba?! Hebu angalieni. Kutokana na stori kuwa lirefu sana ikafika wakati nikaamua nisome kwa haraka haraka (kuperuzi) na kwahiyo baadhi ya mistari nikawa nairuka. Sasa shetani alivyo mwanaharamu, nilipofika kwenye quote hiyo hapo, paragraph ya kwanza sikuiona na badala yake macho yakaenda kutua palipoandikwa " Wakati watu wengine wamelala, mimi nikapata viwili." Eti shetani akaniaminisha "ukapata bao mbili za chapchap huku raia wakiwa wamepiga mbonji! NIkajua ni bao zetu zile kupitia ulaji tunda kimasihara! Swali lililopita kichwani fasta fasta ulikula tunda kimasihara na kupata 2 chap chap kwa mazingira gani! Ehee! Naanza kusoma tena kumbe ulipata viwanja viwili!!

Nahama kanisa, nahitaji upako kwa kweli!!
 
Kusema kweli kama sio kukomaa mpaka sasa hivi ningekuwa nmeshamwachianyumba kwa vituko alivyonifanyia,

Kinachonitia wasiwasi huyo bwana ambaye wanae, kwanza alimwoaga binamu wa mke wangu, wakaachana baada ya bwana kumfumania mke wake na bwana mwingine,

Jamaa alipiga mwanamke karibu aue, haikutoshaakamfuata mwanaume na kumchima visu na kukimbia kijiji, amerudi juzi tu, huko

Kwa hiyo jamaa ni mshari wasiwasi wasije kuunda njama wanipotezee uhai,

Ila Mungu ameendelea kuwa na mimi,

Nimeshaenda kutoa taarifa polisi,
 
SIO MKE WAKO MKUU

NA NI KWELI KWA HAYA MATUKIO SIJUI HATA NGUVU YA KUMUITA MKE UNAIPATA WAPI!!!??

KUZAA HATA PANYA WANAZAA (MNISAMEHE WANAWAKE WENZANGU)
Jamaa eti anafosi mchepuko tuuite mke[emoji38]

He is in delusional state kwa kweli.

Na huyu mchepuko wake kwa sasa hamtaki ila yeye ndio anafosi kingi.
 
Sasa baada ya kupokea lile fungu la kwanza
30m, mimi haraka sana nikaenda kupunguza madeni yangu, hata hivyo Hays kwisha,

Na yeye nikamwita kwamba tukae chini ili ile 15m yake tuipangie matumizi ya kwanza kabisa,

Ushauri wangu ilikuwa tununue kiwanja kwanza,

Sehemu ambayo sio ghari sana, Hapo sasa ndio kimbembe kilipoanza,

Ila kufupisha story nilimwambia basi wewe unataka tuanze na nini? Akanijibu hiyo pesa anataka afanyie biashara wakati ujenzi unaendelea, nikamwambia biashara mbona tumefanya na tunasnguka, hata hivvyo sio mbaya wewe kutaka kufanya biashara lakini ni bora tuwe na kiwanja kwanza.

Kusema kweli zogo lilikuwa kubwa ananipayukia na mimi natumia ubaba wangu sasa kulazimisha, ndio alipoamka kwenye kiti(tulikuwa tumekaa nje na watoto wanacheza hapo nje).

Alichoniambiakwa sauti kuu na kali ni kwamba

TOKA HAPA NA VISENTI VYAKO UNAVYONIPAGA,

Du ! Leo naambiwa visenti, yaani huyu mwanamke nimekopa pesa, nimempeleka ufundi cherehani, nimemfungulia saloon , grocer, mghahawa, dala dala, mtaji wa kuku wa kisasa.

Anaanguka namyanyua, anakopa vicoba anashindwa kumaliza nammalzia,

Nalipa watoto karo kwa mwaka jaribia Mil 6 na bado watoto ndio kwanza wanasafari, kwa nini ananivunjia heshima namna hii?

Kusema kweli sikujua kama niliokota jiwe au mti au ufagio, nimpige nao akawahi kukimbia, na mimi nikaanza kumfukuza, kama sijamrushia kila kitu ambacho mpaka leo sikijui, nikaanguka chini, yeye akaendelea sijui wapi , kusema kweli sikumwona,
Kuangalia nyuma naona watoto, kumbe na wenyewe wakawa wameshika mawe wanataka kunipigia nayo, nikaamka ili niwafukuze nikaenda chini tena , sasa hapo ndio nikaanza kusikia maumivu, na watoto wale kule wamesimama, sasa na wenyewe wanapaza sauti,
KWA NINI UNAMPIGA MAMA YETU SI UENDE KWENU!!!!!

Nitaendelea
[emoji2307][emoji2307][emoji2307]
 
26, sep mwishoni,
Mahafari ya mtoto Dar ,
A
Nasikia kaja lakini kaenda moja kwa moja kwa rafiki,asubuki saa nne nipo, mala nawaona wanakuja, nilienda na rafiki yangu mmoja wa kazini,
Wanafika wote wananipita bila kunisalimia,
Mimi nawasalimu kimya,wamekuja na vyakula vya mtoto na keki,

Huyo amekosa adabu sasa bac hakumbki hata fadhila na hujamkosea kitu hapo anasahau haraka[emoji21]
 
Kusema kweli kama sio kukomaa mpaka sasa hivi ningekuwa nmeshamwachianyumba kwa vituko alivyonifanyia,

Kinachonitia wasiwasi huyo bwana ambaye wanae, kwanza alimwoaga binamu wa mke wangu, wakaachana baada ya bwana kumfumania mke wake na bwana mwingine,

Jamaa alipiga mwanamke karibu aue, haikutoshaakamfuata mwanaume na kumchima visu na kukimbia kijiji, amerudi juzi tu, huko

Kwa hiyo jamaa ni mshari wasiwasi wasije kuunda njama wanipotezee uhai,

Ila Mungu ameendelea kuwa na mimi,

Nimeshaenda kutoa taarifa polisi,
Acha ujinga wewe, kama hii story ni ya kweli, mwachie nyumba na uhame jumla afterall hata mabinti wamekususa.
 
Hivi ninavyoandika hapa, tuligombana sana mpaka kumtupia nguo zake na vitu nje, hiyo ilikuwa tar 4 mwezi huu,
Kisa nilishachoka kuondoka bila kuaga, sasa anasema amekodi mashamva huko moro, aliniaga anaenda nikamkatalia, akaenda kwa nguvu, alivyorudi nikamfukuza, na ugonvi mwingi mpaka watoto wakachangia kunitamkia maneno machafu,

Majirani wakaja wakawaombea, nikawaruhusu waingie ndani, tar 9 Jan yaani siku 4 tu toka nimkataze kwenda moro, kaenda tena bila ruhusa yangu,

Hajarudi mpaka leo,

Ila juzi nilipata taarifa ameonekana anatelemshwa Na gari ya jamaa ambaye nilishamtuhumu kuwa ana mahusiano naye kimapenzi, na hata mwezi wa 11 mwaka jana nilifuma message yake akimwalifu tayari yupo Dar

Nikaamua kumpigia simu huyo bwana nakamkoromea kuwa anaharibu famlia yangu akakataa

Baadaye ni kamuuliza bi mdogo huyo bwana anafanya shughuli gani akasema hafahamu,

Baada ya kuulizia nikasikia baba yake kastaafu kazi ya ualimu kamfungulia duka la nguo,

Hapo nyuma huo mwezi wa kumi na moja mke wangu alinionesha vi tisheti vitatu vipya na kitenge kuwa kanunua kumbe jamaa alipokuja Dar alimhonga
Hivi mzee wangu unachofosi kwa huyo bi mdogo ni nini? Kwani si una mke wako mzuri tuu nyumbani? Si muachane kwa amani tuu kila mtu ajue hamsini zake?

Unavoendelea kufosi unatafuta kuwekewa sumu ama mtakuja kupigana mgawane majengo ya serikali, mmoja aende mortuary mwingine jela.

Mzee bado hukachelewa, shtuka mzee, piga moyo konde uendelee na maisha mengine.
 
Huyu mwanamke simtaki tena, lakini naona kama anawapambe,

Nipeni ushauri wapendwa,
Maana ninachokiona siku moja huyu mwanamke anaweza rudimentary hapa kwa gia ya watoto
Mwachie nyumba, si ana watoto?
Au una sababu gani nzuri ya kumweka mbali na hiyo nyumba?
 
Naam kwa mfano nikiwa na manzi ananisumbua nafungua Uzi Kama huu nasoma comments za wachangiaji najua lazima nitapata majibu ya Nini Cha kufanya halafu nachukua huo ushauri nakwenda kuufanyia kazi katika matatizo yangu ..lakini sio eti Mimi nije nifungue Uzi humu [emoji16][emoji16][emoji16] watu humu mnavyo chamba sisi wengine tuna mioyo midogo nitakufa kwa pressure [emoji16][emoji16][emoji119]
Haufi bwana ila utavumilia tu
 
Bado hujasema kaka unahitaji ushauri gani kuhusu wewe au shemej
Kuhusu mimi nimeshaamua huyu mwanamke simtaki lakini wasiwasi wangu ni hii nyumba?
Niifanyeje

Mambo ya polisi na ustawi wa jamii nataka kuyaepuka mapema sana,

Ingawa binafsi ningejua hatma ya nyumba,
Ingependeza kama ningeimalzia vizuri,

Niongeze vyumba kama 15 vya wapangaji, ili niipige bei nzuri

Uhakika baada ya hapo hapo 300 m
Nitakunja
 
OMBI WAKUU NA USHAURI

hii nyumba niifanye nini, ni nyumba kubwa,
Ipo kwenye kiwanja cha eka moja,

Eneo ni ni zuri sana, sasa hivi nyumba ni nyingi, lakini ya kwangu kila mtu anaitamani,

Ila bado haijaisha,

Madilirisha nilishaweka ya aluminium bado matatu tu ya dining room
Nyumba ni ya watoto mkuu hakuna Cha kuifanya au haina jina lako?


Kama Ina jina lako, pangisha pesa someshea hao watoto. Watoto wanajitambua na kwa kuwa nao wameonesha ujeuri wabadilikie kwa muda. Wakaishi na Mama yao.

Mwanamke akale anakopewa jeuri.

Mwisho kabisa tulia na mkeo, mwambie ukweli utakuweka huru, na hapo utafurahia maisha yaliyobaki
 
Back
Top Bottom