Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Kusema kweli kama sio kukomaa mpaka sasa hivi ningekuwa nmeshamwachianyumba kwa vituko alivyonifanyia,

Kinachonitia wasiwasi huyo bwana ambaye wanae, kwanza alimwoaga binamu wa mke wangu, wakaachana baada ya bwana kumfumania mke wake na bwana mwingine,

Jamaa alipiga mwanamke karibu aue, haikutoshaakamfuata mwanaume na kumchima visu na kukimbia kijiji, amerudi juzi tu, huko

Kwa hiyo jamaa ni mshari wasiwasi wasije kuunda njama wanipotezee uhai,

Ila Mungu ameendelea kuwa na mimi,

Nimeshaenda kutoa taarifa polisi,
Unaona sasa MAZEE?
Uza nyumba mgawane ubaki na Uhai
 
Kwa hiyo kadanganya umri tena? Ana umri gani kiukweli kweliii! Tusiwe bitter mtu akileta issue ili kupata suluhu, kwani kumpa advice inayomjenga ni dola ngapi jamani. Nimesema tu kuwa pamoja na yote hakuna aliyepatia maisha 100%, sema wengine tupo so reserved kuleta mizigo yetu humu, tunahisi watu wapo kukebehi na kufurahia maanguko ya wengine.

Tuendelee kukibali kutokubaliana mkuu!!
Wewe Eli I'm not bitter SEMA hii mada imewagusa wanaume bwana makando yenu msinione mubaya kikubwa jifunzeni kwa mleta mada Basi acheni emotions zenu aisee, kuchepuka wachepuke wengine then Mimi mnituhumu why?
Wanaume mumeumia mtajiju Sana, mliambiwa muishi na wanawake kiakili hamsikii mengine mwajitakia then Mimi ndo mubaya kwahyo wanaochepuka Mimi ndo huwa nawasimamishia?[emoji1][emoji1][emoji1]wewe elli wewe.
 
Ukifuatilia utagundua wanaume wengi humu wanaelewa wakati alio nao huyu jamaa, wanawake wameshasoma mwisho wa story wanashangaa. Lazima tuwapongeze kwa kuona mbali, lakini pia tuelewe roho zao.
[emoji23][emoji23] akili ya mwanamke inaonaga extra miles aisee
 
27- namwomba yule rafiki ajaribu amwambie nina maongezi naye lakini, anajibu sisi tumekuja kwa shughuli ya mtoto, nikamwomba basi naomba niongee na wewe,
Akasema lakini nikupe simu ya mzee ili alinipe ruhusu ya kuongea na wewe,

Yule rafiki yangu alinivuta shati kwa ghafla bila kutegemea,
Akaniambia tuondoke, ‘kumbe mwanamke mwenyewe ndio huyu, mbona yupo,(primitive sana) mmm yaani mke wangu Primitive, aliishia tu kuniambia yule sio mwanamke wa kunisumbua mimi, yaani sio hadhi yangu kabisa, kwamba ana mwonekano wa kishamba hasa, acha tabia yake.
LIMBWATA LIPOOOO
 
Pole kaka kwa masumbuko kwa mwanamke asiyekuwa na utu wala fadhila.Anataka nyumba iuzwe tafuta mteja aje kuinunua kwa pesa ulizompa wewe ili mgawane yeye aondoke uchukue nyumba yako.Tafuta mteja wa bei rahisi umpe nusu ya total amount ambayo itakuwa half the real amount.kwa mfano tafuta mteja wa 45 million usrme inalipwa installment 4,kumbe unatoa wewe pesa zake 22.5 m kwa instalment mbili akuondokee.Achana na kumfuatilia anaenda wapi anarudi lini,acha kujua nyendo zake.
Wewe ni MTU mzuri na strong you can survive this.pia watoto usiwatupe hawajui wanachofany kwa sababu ya mama yao.Walipie ada kama unaweza,hilo ni jukumu lako.kama unaona huwezi wahamishie kayumba wajue mama yao hana msaada kwao.
LA mwisho kaka ukishanunua nyumba iache kwa muda usikae hapo imalizie kidogokidogo.
Muda mwingi kaa na shemeji mkubwa ila uwe unaweka vikao vya familia na watoto uwaambie mapungufu yao yote ya kukutumia 120,000/ kwa miaka yote.Mwambie shemeji mkubwa aongee na watoto wajue wewe ni baba yao na umehangaikia hapo walipo.Mwisho kwa utaratibu na upole ukiona nyumban pametulia mueleze shemeji mkubwa kuhusu hao watoto wengine maana,shemeji mdogo akipigwa na maisha atataka kurudi aje akuharibie maisha nyumbani.
Hadi ulipofikia una mapungufu ya kibinadamu,.Amini kaka Mwitore humu muna watu wanamajanga wakiyasema utaona wewe huna shida..
Kuwa makin na single mother's ambao ni opportunist's watakufuata inbox ambao ni wafuatao:
1 Shunie..
2 Espy.
3 Carha.
4 Witness J
5 Mandenyi.
Maya Angelou ni mja mzito msamehe ni hiyo hali yake
Mkuu, umeongea vizuri Ila hapo mwisho umekosea...
Ukifanya personal attack unakuwa huna tofauti na wanaotukanana tu.
 
Pole kaka kwa masumbuko kwa mwanamke asiyekuwa na utu wala fadhila.Anataka nyumba iuzwe tafuta mteja aje kuinunua kwa pesa ulizompa wewe ili mgawane yeye aondoke uchukue nyumba yako.Tafuta mteja wa bei rahisi umpe nusu ya total amount ambayo itakuwa half the real amount.kwa mfano tafuta mteja wa 45 million usrme inalipwa installment 4,kumbe unatoa wewe pesa zake 22.5 m kwa instalment mbili akuondokee.Achana na kumfuatilia anaenda wapi anarudi lini,acha kujua nyendo zake.
Wewe ni MTU mzuri na strong you can survive this.pia watoto usiwatupe hawajui wanachofany kwa sababu ya mama yao.Walipie ada kama unaweza,hilo ni jukumu lako.kama unaona huwezi wahamishie kayumba wajue mama yao hana msaada kwao.
LA mwisho kaka ukishanunua nyumba iache kwa muda usikae hapo imalizie kidogokidogo.
Muda mwingi kaa na shemeji mkubwa ila uwe unaweka vikao vya familia na watoto uwaambie mapungufu yao yote ya kukutumia 120,000/ kwa miaka yote.Mwambie shemeji mkubwa aongee na watoto wajue wewe ni baba yao na umehangaikia hapo walipo.Mwisho kwa utaratibu na upole ukiona nyumban pametulia mueleze shemeji mkubwa kuhusu hao watoto wengine maana,shemeji mdogo akipigwa na maisha atataka kurudi aje akuharibie maisha nyumbani.
Hadi ulipofikia una mapungufu ya kibinadamu,.Amini kaka Mwitore humu muna watu wanamajanga wakiyasema utaona wewe huna shida..
Kuwa makin na single mother's ambao ni opportunist's watakufuata inbox ambao ni wafuatao:
1 Shunie..
2 Espy.
3 Carha.
4 Witness J
5 Mandenyi.
Maya Angelou ni mja mzito msamehe ni hiyo hali yake
[emoji1][emoji1][emoji1]Mimi single mother na siwezi mfata huyu mzee maana hajiamini ana stress asije nifia bure loh
 
Pole kaka kwa masumbuko kwa mwanamke asiyekuwa na utu wala fadhila.Anataka nyumba iuzwe tafuta mteja aje kuinunua kwa pesa ulizompa wewe ili mgawane yeye aondoke uchukue nyumba yako.Tafuta mteja wa bei rahisi umpe nusu ya total amount ambayo itakuwa half the real amount.kwa mfano tafuta mteja wa 45 million usrme inalipwa installment 4,kumbe unatoa wewe pesa zake 22.5 m kwa instalment mbili akuondokee.Achana na kumfuatilia anaenda wapi anarudi lini,acha kujua nyendo zake.
Wewe ni MTU mzuri na strong you can survive this.pia watoto usiwatupe hawajui wanachofany kwa sababu ya mama yao.Walipie ada kama unaweza,hilo ni jukumu lako.kama unaona huwezi wahamishie kayumba wajue mama yao hana msaada kwao.
LA mwisho kaka ukishanunua nyumba iache kwa muda usikae hapo imalizie kidogokidogo.
Muda mwingi kaa na shemeji mkubwa ila uwe unaweka vikao vya familia na watoto uwaambie mapungufu yao yote ya kukutumia 120,000/ kwa miaka yote.Mwambie shemeji mkubwa aongee na watoto wajue wewe ni baba yao na umehangaikia hapo walipo.Mwisho kwa utaratibu na upole ukiona nyumban pametulia mueleze shemeji mkubwa kuhusu hao watoto wengine maana,shemeji mdogo akipigwa na maisha atataka kurudi aje akuharibie maisha nyumbani.
Hadi ulipofikia una mapungufu ya kibinadamu,.Amini kaka Mwitore humu muna watu wanamajanga wakiyasema utaona wewe huna shida..
Kuwa makin na single mother's ambao ni opportunist's watakufuata inbox ambao ni wafuatao:
1 Shunie..
2 Espy.
3 Carha.
4 Witness J
5 Mandenyi.
Maya Angelou ni mja mzito msamehe ni hiyo hali yake
Unawashwa eneo gani tukukune[emoji2369][emoji2369][emoji2369]
 
Wewe Eli I'm not bitter SEMA hii mada imewagusa wanaume bwana makando yenu msinione mubaya kikubwa jifunzeni kwa mleta mada Basi acheni emotions zenu aisee, kuchepuka wachepuke wengine then Mimi mnituhumu why?
Wanaume mumeumia mtajiju Sana, mliambiwa muishi na wanawake kiakili hamsikii mengine mwajitakia then Mimi ndo mubaya kwahyo wanaochepuka Mimi ndo huwa nawasimamishia?[emoji1][emoji1][emoji1]wewe elli wewe.
Imeandikwa, "mtu hataishi kwa mkate tu"[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu, umeongea vizuri Ila hapo mwisho umekosea...
Ukifanya personal attack unakuwa huna tofauti na wanaotukanana tu.
Sorry nimekasirika nikashindwa kujizuia,maana tangu huu Uzi uanze wanamuatack tu kaka Mwitore,
 
Mzee kwanza shikamooo na pole kwa uliyopitia

Ushauri acha kujibu koment maliza story halafu watu tuje kukushaur naona watu wanatoa ushaur kabla hujamaliza
Ataanza kukujibu na ww pia, nyio wote mngekausha bila kujibu angetiririka mpaka mwisho!
 
Nenda Manda mazingara au mkange Bagamoyo akatolewe jini mahaba huyo.Atatulia kama moja,wanawake wengi wa ukanda wa pwani wanasumbuliwa sana na hayo madude,alafu usimpige,kaa naye muulize anataka nn?hata ukitafuta mwingine ni yale yale,piga paipu 2*3,kula pweza,mihogo nazi.
 
Maisha yana changamoto nying sana. Piga moyo konde.

Subscribed.
 
Back
Top Bottom