Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Pole kaka kwa masumbuko kwa mwanamke asiyekuwa na utu wala fadhila.Anataka nyumba iuzwe tafuta mteja aje kuinunua kwa pesa ulizompa wewe ili mgawane yeye aondoke uchukue nyumba yako.Tafuta mteja wa bei rahisi umpe nusu ya total amount ambayo itakuwa half the real amount.kwa mfano tafuta mteja wa 45 million usrme inalipwa installment 4,kumbe unatoa wewe pesa zake 22.5 m kwa instalment mbili akuondokee.Achana na kumfuatilia anaenda wapi anarudi lini,acha kujua nyendo zake.
Wewe ni MTU mzuri na strong you can survive this.pia watoto usiwatupe hawajui wanachofany kwa sababu ya mama yao.Walipie ada kama unaweza,hilo ni jukumu lako.kama unaona huwezi wahamishie kayumba wajue mama yao hana msaada kwao.
LA mwisho kaka ukishanunua nyumba iache kwa muda usikae hapo imalizie kidogokidogo.
Muda mwingi kaa na shemeji mkubwa ila uwe unaweka vikao vya familia na watoto uwaambie mapungufu yao yote ya kukutumia 120,000/ kwa miaka yote.Mwambie shemeji mkubwa aongee na watoto wajue wewe ni baba yao na umehangaikia hapo walipo.Mwisho kwa utaratibu na upole ukiona nyumban pametulia mueleze shemeji mkubwa kuhusu hao watoto wengine maana,shemeji mdogo akipigwa na maisha atataka kurudi aje akuharibie maisha nyumbani.
Hadi ulipofikia una mapungufu ya kibinadamu,.Amini kaka Mwitore humu muna watu wanamajanga wakiyasema utaona wewe huna shida..
Kuwa makin na single mother's ambao ni opportunist's watakufuata inbox ambao ni wafuatao:
1 Shunie..
2 Espy.
3 Carha.
4 Witness J
5 Mandenyi.
Maya Angelou ni mja mzito msamehe ni hiyo hali yake
Unatuonea wivu, haya mchukue wengine tushaacha kufanywa.
 
kuna kisa kilinitokea,mpaka sasa sina hamu ila nimekubali matokeo.

kuna kibinti nilianza nacho mahusiano kilipomaliza form 4
mwanzo nilikua nakala kwa mipira,baadae nkajua mzunguko wake wa hedhi
nikaanza kuwa navizia siku salama,napga mzigo nyama nyama

siku zimeenda sana,kuna muda nilikua nasafir kama miez 6 narudi,nakula mzigo
virafik vyake vingi vikawa vinapata ujauzito,vingne vna watoto hadi wawili,nkamuuliza mbona wew hupat mimba kama wenzio,maana niliamin sio mim tu ninae kula lazima kuna njemba tulkuwa tunashare.
kilnijibu kuwa kina matatizo hivyo hakiwez shika ujauzito(mwanaume nkajisemea kimoyo moyo kuwa haka katanifaa kuwa kamilele kwa matumizi ya kula raha).tena kakanihakkshia kuwa kuna kipind kalkuwa kananidanganya siku zake za hedhi nikawa nakula na siku hatari lakini hakakupata mimba.

kipindi fulan nikawa fresh kpesa,nkaona ili kukafaid zaid nkaona nkapangishie
nikakaweka gheto,nikaanza kula vitu kwa uhuru
kumbe chenyewe kkaona kmeolewa kabsa,kumbe kilikuja na dawa za kienyej za kusaidia kupata ujauzito
mwez mmoja tu,demu ananiambia ana mimba,nawakat anakuja alkuwa yupo kwenye siku zake kavaa na pedi kabisa
mwanaume nikachanganyikiwa,mwisho wa siku nikakubal matokeo,ila nmerudsha azae kwanza baadae nmrudishe aendelee kuwa mpango wa kando

ila kwasasa niko makini mno,hawa watu hawataweza tena nifanya nisiifurahie dunia
obama siyo mjinga kuwa na watoto wawili.
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]daahh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujui kaka zenu humu kila shida zao hasira wanatupia kwa wanawake?

Mtu amsaliti mkewe lawama atupiwe mchepuko kweli?
Yaani wananichekeshaga, kwa kujifanyaga victims sasa utafikiri huwa wanashikiwa bunduki.

Mabalaa wanayafukunyua wenyewe, yakiwafika kooni lawama zooote kwa wanawake. Sasa Mungu sijui aliwapa akili za kuvukia barabara[emoji2297][emoji2297]
 
22-sep bado mahusiano sio mazuri sana, nimevurugikiwa na ujio wa yule mwanaume hapa nyumbani,
Kwa story yako mpk hapoo!mke mkubwa na watoto wake wanajua kila kitu nakuambia sema wanakuchora tu kama wajinga vilee ndo maana madogo wanakudiss na kiukweli lemme be honesty ulibase sana kulala huku kwa bimdogo mnoooooo yaani yaonesha ubavu ulizidi sehemu moja baba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatujawasiliana toka aondoke kesho anafunga mwezi,
Namshukuru Mungu sasa hivi wala roho yangu haiumii tena, nimeshamwona taka taka, na kusema kweli na mchukia vibaya sana, usiku na mchana naomba asirudi maana sijui ninaweza kumfanya kitu gani



Ameshanitamkia kuwa yupo hapa kwa ajili ya nyumba tu sisi mimi,

Ameshanitamkia mpaka tugawane vyumba,
Mkuu pole sana! kwanini hiyo nyumba usiiuze tu ili roho yake itulie? then urudi kwa bi mkubwa maana huko mnako elekea ni kuuuna siku anaweza kukutamkia neno baya na wewe hasira zikakupanda ukapiga ukaua. maisha yako yakaishia jela.
 
Jibu lake lilikuwa ni kwamba unajua wewe una mke mkubwa na una familia kubwa huko unaweza kutumia kwa mambo mengine, baada ya kufikilia sana, nikaona ana hoja. Na kwa kuwa lengo ni kujengea nyumba watoto na watoto ni wake, isitoshe hata hivyosikuwa Na lengo baya, basi nilimkubalia kumpa ile pesa,

Ila baadaye nilikuja kugundua kwa mala ya kwanza kule kuwa na kiburi na kisirani kipindi kile tunasubilia pesa ni usmuzi ambao nilimwambia kuwa, basi katika hiyo pesa naomba nitoe kama 15 m ili nikapunguze madeni yangu mbali mbali angalau na mimi nipumue nijione kama kweli nafanya kazi na mshahara nauona,

Maana zaidi ya miaka mitano kusema kweli nilikuwa nikipata mshahara halafu nalipa madeni na nakopa tena hapo hapo,

Ikitokea nimefanyaovertime au nimepata kasafari kidogo ndio hapo nalipia watoto karo zao na nyingine angalau kutumia wazazi,

Lakini kiujweli hali ilikuwa mbaya sana kipesa kipindi hicho, maana nilikuwa Manila madeni, mpaka kazi yenyewe nikaichukia,ilifikia kipindi nikataka kuacha na kazi yenyewe lakini nashukuru kipindi hicho kilipita,

Sasa baada ya kumwambia nitachukua ile 15 m ili nipunguze madeni yangu ALIGOMA

Na mimi nikamwambia basi angalau 10m vilevile akagoma, basi nikamwambia sasa pesa yote tukilipwa naweka kwenye Acc yangu, hapo ndipo akakubali na nikachukua sasa 15m yote nyingine itayobaki aweke yeye,

Nikamweleza mnunuzi kiasi fulani anipe mimi na kinachobaki aweke Kwenye Acc ya mke wangu,
Kwanza alishtuka lakini baada ya kumweleshaakakubali ila akinaambia niwe makini, na nisije nikampa matatizo,

Basi fungu la kwanza ilikiluwa ni 30 m ,
15 akaniwekea mimi iliyobaki ikawekwa kwa Mama
Tunaendelea


NINI KILITOKEA

Jibu lake lilikuwa ni kwamba unajua wewe una mke mkubwa na una familia kubwa huko unaweza kutumia kwa mambo mengine, baada ya kufikilia sana, nikaona ana hoja. Na kwa kuwa lengo ni kujengea nyumba watoto na watoto ni wake, isitoshe hata hivyosikuwa Na lengo baya, basi nilimkubalia kumpa ile pesa,

Ila baadaye nilikuja kugundua kwa mala ya kwanza kule kuwa na kiburi na kisirani kipindi kile tunasubilia pesa ni usmuzi ambao nilimwambia kuwa, basi katika hiyo pesa naomba nitoe kama 15 m ili nikapunguze madeni yangu mbali mbali angalau na mimi nipumue nijione kama kweli nafanya kazi na mshahara nauona,

Maana zaidi ya miaka mitano kusema kweli nilikuwa nikipata mshahara halafu nalipa madeni na nakopa tena hapo hapo,

Ikitokea nimefanyaovertime au nimepata kasafari kidogo ndio hapo nalipia watoto karo zao na nyingine angalau kutumia wazazi,

Lakini kiujweli hali ilikuwa mbaya sana kipesa kipindi hicho, maana nilikuwa Manila madeni, mpaka kazi yenyewe nikaichukia,ilifikia kipindi nikataka kuacha na kazi yenyewe lakini nashukuru kipindi hicho kilipita,

Sasa baada ya kumwambia nitachukua ile 15 m ili nipunguze madeni yangu ALIGOMA

Na mimi nikamwambia basi angalau 10m vilevile akagoma, basi nikamwambia sasa pesa yote tukilipwa naweka kwenye Acc yangu, hapo ndipo akakubali na nikachukua sasa 15m yote nyingine itayobaki aweke yeye,

Nikamweleza mnunuzi kiasi fulani anipe mimi na kinachobaki aweke Kwenye Acc ya mke wangu,
Kwanza alishtuka lakini baada ya kumweleshaakakubali ila akinaambia niwe makini, na nisije nikampa matatizo,

Basi fungu la kwanza ilikiluwa ni 30 m ,
15 akaniwekea mimi iliyobaki ikawekwa kwa Mama
Tunaendelea


NINI KILITOKEA?
Kukubali ombi lake ulichemka sana, unathubutu vipi kutokuaminiwa na unathubutu vipi kumwamini yeye ilihali hamna ndoa na tayari kashaanza figisu?
 
Hii shida yote ni katika kuficha dhambi ya mchepuko imekufikisha hapa.
Ukweli humuweka mtu huru ongea na mkeo wa ndoa juu ya hii shida labda mcheps anapata nguvu ya kufanya hivi akijua ana karata moja nzuri ya mkeo.
Nina swali binafsi ikiwa siku za mbeleni ukaja kusikia mkeo wa ndoa moja au wawili ya watoto unao dhani ni wako sio damu yako utafanyaje?? nasubiri majibu
 
Hata hasira ninazo basi mamiloo...

Huwa makasiriko yako kwenye nyuzi za watu huwa ni makubwa....
Au kuna shida kisaikolojia????
Mkuu uzae hovyo then unahukumu Mimi kweli kwa kukosa kwako self control kweli, Mimi nitasema ukweli mchungu hayo ya makasiriko Sina mda nayo dawa hata ikiwa chungu shurti imezwe mgonjwa apone
 
Kama wewe!something is not OK upstairs.You are so toxic.
According to ur thinking capacity and how you view, no problem at all[emoji1][emoji1]mkuu wewe na huyu Babu mnashare matatizo ya kujitakia pole Sana, mkome
 
Ndio ukweli, humu kuna wachawi, malaya, malaika na watu wengine wameumizwa na mabwana zao kama hivyo, hivyo wakiona hizi hadithi za bwana Mwitore zinawakumbusha baba zao labda au mabwana zao walivyotoroshwa na nyumba ndogo, wanaume nao wengine wako na nyumba ndogo au tunafikiria kuwa nazo hivyo kila mtu anaguswa kivyake, tuvumiliane tu, ndio maisha.
[emoji23][emoji23][emoji23] dah. Asante kwa kunifurahishaa
 
Back
Top Bottom