zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
kuna wapumbavu wachache wamebahatika kusoma na kupata kazi bila kukaa mtaaniNimejifunza, ukileta story hapa ili upate ushauri, utakutana na judgements tu. Siku hizi watu hawatoi ushauri mkuu, you'll be judged juu chini mzee. Ni kama vile unawaandikia malaika wasiozini au wasiotenda dhambi yoyote. Mara mtu ana 50yrs ni kibabu, kizee kimeshajishindwa.
Tunachosahau ni kuwa hakuna asiyeteleza, dunia hii nani amenyoosha life lake lisiwe na makandokando.
Tujifunze kupitia changamoto alizopitia ili tusifike huko.
mahusiano ndo wameanza basi wanahisi wamemaliza kila kitu
mtu hata kulogwa hajawahi unategemea atashauri nn