Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Kwahiyo ulitakiwa niseme nini hapo na umeona mchepuko umebadilika baada ya jamaa yake kutokuwa na pesa
Una uhakika sikuwa na pesa, pesa ilikuwepo na nilikuwa nampa ya kutosha 400000 kwa mwezi ndogo hiyo
 
Mpaka najiuliza ni kweli uchawi unafanya kazi ama ni nn? Yaan pale mwanzoni tuu mke angejua kuna ma.la.ya. ameingilia ndoa yake na mumewe kingewaka halafu kikapoa. Huyu mchepuko asingepata gats zote hizi. Yaan amejua kumuendesha baba wa watu jamani. Yaan namhurumia mno. Mwenyezi Mungu amsimamie tu kwa kweli. Yaan libinti lichawi kbs hili. Yaan lilishapiga mahesabu likaona hapa ndo pa kutokea. Opportunist. Mpaka natamani mzee apime hao watoto DNA. yaani anaamini hakua anacheatiwa na mapichapicha yote haya. Mwanaume akiwa muungwana sana na mpole ndo haya hutokea.
Mwitore ni muongo! Alimpata huyo mchepuko akiwa na miaka 20, wameishi miaka 18 na sasa ana miaka 42. Hapo piga hesabu angalikuwa na miaka 38. Pili fumanizi zote tangu watoto wanamwambia rudi kwenu, yupo tu. Tatu analala kwa bi mdogo bila bi Mkubwa kusituka miaka yote 18. Huyo ni mke au jini. Hii story ya kubumba akina Shunie cariha Espy angalieni anawachota
 
You are thinking very big!una upendo na huruma,huyu kaka yangu amekosea sehemu nyingi sana lakini sio muda wakumlaumu wala kumuona mpumbav.,ameomba ushauri,tumshaurini,nachukia watu wanaodhani ni perfect kumbe ukibahatika kuonana nao kwa kwa mfuga mbwa they are so pathetic.
Yes. Scenarios zinatofautiana. Lakini asizidi kujikoroga. Arudi kwa mke mkubwa. Toka mwanzo ndo ushauri wangu.

Yaan ktk maisha hakuna kitu napenda kama siko aware na jambl halafu mtu anifate aniombe msamaha na kuelezea kila kitu. Huwa nakua mwelewa sana. Nasamehe kiroho safi. Hawa wake waheshimiwe jamani. Waheshimiwe sana. Na hata single mothers pia tusiwatukane. Wengine ni wajane. Waume zao walishafariki. Kuwa single mother si dhambi wala makosa. Kila mtu ana madhaifu yake. Tuwaachw tu. Isiwe kama vile ni dhambi kuwa single mother. What if wengine hapo wameoleea ila Michepuko kama hii ndo imeingilia ndoa za watu?

Hapa adui ni huyu mchepuko. Anajua mwenzie ana mke. Naamini kabisa ametumia nguvu za giza. Na kama ndo yuko local hivyo ndo kabisaa.... kuna wanawake wakishaonaga mwanaume ana gari wanapagawa kabisa. Wanakosa hata pa kuhemea. Eti nina mimba yako ukiniacha najiua.. mamake wakambo... yaani nawish ningekua na urafiki na huyu mzee.. huo mchepuko ungenitambua. Na ningemleta mpk mke mkubwa halaf ajiue kama alishachoka kulalia huo mkeka.

Lakini pia mzee hapa hajafunguka.. alianzaje kupeleka vitu from.nowhere kama si qlishaanza vutika na binti pasipo mshirikisha jamaa... kwann hakumuuliza jamaa yake binti ana madhaifu gani hadi kumfukuza. Yaan huyu alikuja town maisha ni mbele kwa mbele.
 
haya mambo yasikie tuu yasikukute[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Yaan hapo pa anataka kujiuaaa maaninaa napata hasiraa[emoji23][emoji23][emoji23] najiuaaaaaaaaaaaaaa mfieeewwww... yaan ningemletea klorokwini kbs. Mfieew.... nikishaonaga situation imenibana hv namfata mhusika wangu nagunguka nakua free kimbembe kwako...
 
Mwitore ni muongo! Alimpata huyo mchepuko akiwa na miaka 20, wameishi miaka 18 na sasa ana miaka 42. Hapo piga hesabu angalikuwa na miaka 38. Pili fumanizi zote tangu watoto wanamwambia rudi kwenu, yupo tu. Tatu analala kwa bi mdogo bila bi Mkubwa kusituka miaka yote 18. Huyo ni mke au jini. Hii story ya kubumba akina Shunie cariha Espy angalieni anawachota
Huyu anachangamsha genge mwanaume wa hivi ni marehemu walla, acha tupoteze mda na chakujadili hadith za abunuwasi
 
Kweli kaka usemacho.Humu sometimes wengine watatumia hyo km fimbo kukuchapa ktk baadhi ya maeneo yaani badala ya msaada au wengine wajifunze wanaishia kukunanga mpk baasi
Humu kuna majitu yanajiona malaika mnooo na wao ndo wamekamilika.
Mimi bado namuonea huruma huyu baba mnooo!sijui kwa nini!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama huu Uzi ulivyojaa malaika😂😂😂😂
 
Mwitore ni muongo! Alimpata huyo mchepuko akiwa na miaka 20, wameishi miaka 18 na sasa ana miaka 42. Hapo piga hesabu angalikuwa na miaka 38. Pili fumanizi zote tangu watoto wanamwambia rudi kwenu, yupo tu. Tatu analala kwa bi mdogo bila bi Mkubwa kusituka miaka yote 18. Huyo ni mke au jini. Hii story ya kubumba akina Shunie cariha Espy angalieni anawachota
Kuna mambo hajaweka sawa. From nowhere tuu umpelekee mtu vitu hakuhusu? Ni mweupe mchepuko eh[emoji23]
 
Back
Top Bottom