Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Shemeji hongera sana, upande wa kupambana na kumiliki mali ulifanikiwa sana; lakini bahati mbaya sana, pamoja na mali zote ulizozipata hazikufanikiwa kukuletea amani ya moyo. Sanasana hizo mali nyingine kama hiyo nyumba ya bi mdogo inataka kukutoa roho sasa hivi.

Wahenga walisema za kuambiwa changanya na zako; sio kila ushauri ni wa kuubeba tu kisa mzazi kasema; sio kila alichopitia yeye au anachoona yeye ni sawa kwake kitakuwa sawa na kwako. Hata kama mlikuwa mnaishi na mkeo kwa amani kidogo, ni bora mara elfu amani hiyo kidogo kuliko majanga uliyoenda kuyatafuta huko nje. Sasa hivi umebaki mwenyewe na mali zako zinazokustress.
Ndugu Ahsante sana kwa mawazo na na ushauri,
Kuhusu hapo namba 1
Mama yangu hakunitaka niwe Na mchepuko,
Ila kipindi hicho nilikuwa bado kijana sana na ndio nimepata mtoto wa kwanza,

Alitaka tu kunifunza kama mzazi namna nzuri ya mtoto wa kiume kuishi,
Maana aliona kila nikitoka kazini break ya kwanza ni home
Sasa kwa uzoefu wake wa maisha aliona sio sawa
Ni bora nikitoka kazini niwe kwanza na vijana wenzangu huko kubadilishana mawazo

Kama umegundua hii tabia yangu moja kwa moja nyumbani labda Ndio imenifikisha hapa kutawaliwa na mke, maana mawazo mengi ya kihuni au namna ya kumnyanyasa mwanamke nilikuwa sina ( yaani ile roho mbaya ya kiume)

Namba mbili 2 hapo,
Mimi ni mpiganaji wa kutaka kumiliki mali
Ndio maana Alhamdulilah maisha yangu na uwekezajinimejitosheleza hilo sina wasiwasi nalo

Nikisema leo hapa Dar niuze Mali zangu zote leo nirudi kijijini, uhakika wa 700 m upo, na malipo

Nikiendeleza maaneo yangu angalau niongeze kama vyumba 30 vya wapangaji
Naiona 1 B, inaninyemelea,
Kwa hiyo uwezo wa kuachia mali yangu kumpa mtu ambaye kaniumiza NO tena nasema kwa sauti NO, nitaenda mpaka kushtakia kwa Mungu,
Maana mali yangu ninauhakika sijamdhulumu mtu yeyote,
Ni damu na nguvu yangu.
Hapo mwanzo nilisema kama huyu mtu asingeonyesha namna yoyote ya kutaka kuizungumzia nyumba hasa hasa wakati wa ugonvi,
Na kukawa na mwelekeo wa kuachana kwa roho yangu ilivyo ningemuachia nyumba,
Ila mpaka nimegundua ana mwanaume bado kweli nimwachie nyumba au tugawane nusu kwa nusu Hapana, big Hapana

Mwaka 2018, yalipozidi kuwa magumu na kunilaza polisi, kesho yake alikuwa kunitoa yeye na ndugu zake 3 dada zake wawili na Baba yake wa hiari wahapa Dar, ambaye kusema kwa kw a miaka yote niliyoishi na huyu mwanamke sijawahi hata kusikia akimzungumzia

Baada ya kinitoa, alishauliwa asilale nyumbani kwangu mpaka nitulie maana ninaweza kumfanyia kitu mbaya,
Sasa wakati tunaagana yule baba akashauri tufanye kitu kama kikao nyumbani kwangu kesho yake,

Tukaagana na mimi nikaridhia nikaona sasa ni muda mzuri wa kutoa yamoyoni yote mbele ya ndugu zake na huyo baba

Wakati mimi nimefika nyumbani, nikampigia yule mdogo wake kwa ajili ya matayalisho ya chakula kwa wageni kesho,

Sasa ile anapokea simu, nilitumia namba yasimu nyingine ambayo hakuwa nayo, ile ya kwanza ilivunjika kioo pale Polisi na ni Iphone na ya kazini kwangu!
Kusema kweli nilipishwa hiyo sh 700000

Ok sasa wakati anapokea ile simu kumbe kulikuwa na mjadara unaendelea pale yeye na mke wangu,

Nilimsikia mke wangu kwa sauti kubwa ile ya kupandisha hasa, akisema

MIMI NIMESHASEMA ILE NYUMBA NI YA KWANGU, YEYE AENDE ZAKE HUKO,.

Baadaye akanyamaza nadhani mdogo wake alimwambia ni mimi nipo kwenye simu,

Nikamuuliza mpaka namsikia huyo mtu anaropoka hivyo.
Yule dada akanyamaza, na mimi si kuendelea kumuuliza, nikampa maagizo ya kesho tu

Sasa ona kweli huyo mtu ni wa kumpa senti tano yangu.?
Kesho yake kwenye kikao yule mzee na wadogo zangu watatu wa kiume na dada zake 2 na majirani 5 na mjumbe, baada ya maelezo yangu marefu kusema kweli kila mtu alishika mdomo,

Lakini wale wadogo zangu watatu hawakuvumilia, walinyanyuka kwa hasira na kumkimbilia yule mwanamke na kutaka kumpiga watu wakaingilia pale na mimi kwa hasira niwaambia waache yule ni mke wangu,

Wakanielewa wakaacha lakini walilia sana,
Wakatoka nje huku wanalia na kusema, hatukujua kama kaka yetu unasumbuka hivi na huyu mwanamke,
Kaka ambaye umetusomesha umetutunza wote

Mbona mama...... ( bi mkubwa) hakuwa hivi, I I ingekuwa ni huyu kweli sisi tungefika hapa?

Mmoja tena akakurupuka kwenda kutaka kumpiga nikamkatalia, ni kikao kikaishia hapo,

Wakati namsindikiza yule baba aliniambia neno moja tu, KUWA MWANAUME!!!
 
Nyie Wote hapa mnapiga kelele tu,huyu mzee wetu amelogwa sio amelogwa ila kapikwa na kaiva.
Dawa yake kumkamata kinguvu afungwe kamba na kumpeleka kwa mwamposa au mganga.
Hii sio akili ya kawaida,marufuku kuoa mwanamke masikini,acha masikini waoane wenyewe kwa wenyewe'ukioa masikini utalishwa kila Haina ya uchafu
 
Mimi huyu sijamuonea huruma ni ujinga wake wanaume huwa Wana roho nyepesi ila hawakomi kuhangaika na ningekuwa mke wa ndoa namtenga na watoto afie mwenyewe huko. Huyu mzee kastaafu kiinua mgongo kimeisha na mchepuko umemkimbia ndio anashtuka na mbaya zaidi Hana mahusiano na mkewe mkubwa kwanini ahurumiwe kwa ushenzi wa kudhulumu familia Halali, Mimi namjua mstaafu mmoja wa ofisi ya Raisi mchepuko michafu imemufilisi Hana hata kumi na mke wa ndoa kamwacha hana hata ya kula. Mwanaume muendekeza michepuko ni laana na uzeeni huishia pabaya Bora hata mwanaume mnunua michepuko, sijui Wana akili gani loh
Una roho ya kishetani msubhati
 
Bwana mitala huwa shida tu vile watetea ume grow hyo environment na dini inakuruhusu, wengine tumekuwa haya mapicha nyumba ndugu twasoma huku mitandaoni tuna Bibi na babu, ba mkubwa na uncle's wanazeeka bila mitala na familia imara na wanazeeka Hadi uzeeni. To me multiple partners ni janga linalonyima watu wengi furaha ingawa watajidai mara mila, sijui Imani sijui blah blah, so mtu KWA hyo issue sioni huruma maana yalikuwa maamuzi dont Make people wakuhurumie kwa uamuzi wako wa maisha
Ndio maana kaleta hii news hapa. Hata kama yeye yamemkuta, lakini iwe funzo kwa wengine.
 
Wao wanasimama na mwanaume mwenzao na sisi tunasimama na mwanamke mwenzetu yule wa ndoa kila mtu apambane na hali yake

Hivi kwanza umeshaelewa au unajicommentisha tu
Hivi ni lazima ucomment?Mtoa mada aliomba ushauri na sio mashindano ya who is right and who is wrong,kama haukua na cha kumshauri ingekua bora kukaa kimya kuliko kumuattack,hujui hata anapitia emotional stress gani.Usijifiche nyuma ya screen na keyboard yako ukaona ni sawa tuu kuandika kila kinachokuja kichwani,jaribu kufikiria kama unachoandika kitaleta athari gani kwa muhusika!!
 
Ndugu Ahsante sana kwa mawazo na na ushauri,
Kuhusu hapo namba 1
Mama yangu hakunitaka niwe Na mchepuko,
Ila kipindi hicho nilikuwa bado kijana sana na ndio nimepata mtoto wa kwanza,

Alitaka tu kunifunza kama mzazi namna nzuri ya mtoto wa kiume kuishi,
Maana aliona kila nikitoka kazini break ya kwanza ni home
Sasa kwa uzoefu wake wa maisha aliona sio sawa
Ni bora nikitoka kazini niwe kwanza na vijana wenzangu huko kubadilishana mawazo

Kama umegundua hii tabia yangu moja kwa moja nyumbani labda Ndio imenifikisha hapa kutawaliwa na mke, maana mawazo mengi ya kihuni au namna ya kumnyanyasa mwanamke nilikuwa sina ( yaani ile roho mbaya ya kiume)

Namba mbili 2 hapo,
Mimi ni mpiganaji wa kutaka kumiliki mali
Ndio maana Alhamdulilah maisha yangu na uwekezajinimejitosheleza hilo sina wasiwasi nalo

Nikisema leo hapa Dar niuze Mali zangu zote leo nirudi kijijini, uhakika wa 700 m upo, na malipo

Nikiendeleza maaneo yangu angalau niongeze kama vyumba 30 vya wapangaji
Naiona 1 B, inaninyemelea,
Kwa hiyo uwezo wa kuachia mali yangu kumpa mtu ambaye kaniumiza NO tena nasema kwa sauti NO, nitaenda mpaka kushtakia kwa Mungu,
Maana mali yangu ninauhakika sijamdhulumu mtu yeyote,
Ni damu na nguvu yangu.
Hapo mwanzo nilisema kama huyu mtu asingeonyesha namna yoyote ya kutaka kuizungumzia nyumba hasa hasa wakati wa ugonvi,
Na kukawa na mwelekeo wa kuachana kwa roho yangu ilivyo ningemuachia nyumba,
Ila mpaka nimegundua ana mwanaume bado kweli nimwachie nyumba au tugawane nusu kwa nusu Hapana, big Hapana

Mwaka 2018, yalipozidi kuwa magumu na kunilaza polisi, kesho yake alikuwa kunitoa yeye na ndugu zake 3 dada zake wawili na Baba yake wa hiari wahapa Dar, ambaye kusema kwa kw a miaka yote niliyoishi na huyu mwanamke sijawahi hata kusikia akimzungumzia

Baada ya kinitoa, alishauliwa asilale nyumbani kwangu mpaka nitulie maana ninaweza kumfanyia kitu mbaya,
Sasa wakati tunaagana yule baba akashauri tufanye kitu kama kikao nyumbani kwangu kesho yake,

Tukaagana na mimi nikaridhia nikaona sasa ni muda mzuri wa kutoa yamoyoni yote mbele ya ndugu zake na huyo baba

Wakati mimi nimefika nyumbani, nikampigia yule mdogo wake kwa ajili ya matayalisho ya chakula kwa wageni kesho,

Sasa ile anapokea simu, nilitumia namba yasimu nyingine ambayo hakuwa nayo, ile ya kwanza ilivunjika kioo pale Polisi na ni Iphone na ya kazini kwangu!
Kusema kweli nilipishwa hiyo sh 700000

Ok sasa wakati anapokea ile simu kumbe kulikuwa na mjadara unaendelea pale yeye na mke wangu,

Nilimsikia mke wangu kwa sauti kubwa ile ya kupandisha hasa, akisema

MIMI NIMESHASEMA ILE NYUMBA NI YA KWANGU, YEYE AENDE ZAKE HUKO,.

Baadaye akanyamaza nadhani mdogo wake alimwambia ni mimi nipo kwenye simu,

Nikamuuliza mpaka namsikia huyo mtu anaropoka hivyo.
Yule dada akanyamaza, na mimi si kuendelea kumuuliza, nikampa maagizo ya kesho tu

Sasa ona kweli huyo mtu ni wa kumpa senti tano yangu.?
Kesho yake kwenye kikao yule mzee na wadogo zangu watatu wa kiume na dada zake 2 na majirani 5 na mjumbe, baada ya maelezo yangu marefu kusema kweli kila mtu alishika mdomo,

Lakini wale wadogo zangu watatu hawakuvumilia, walinyanyuka kwa hasira na kumkimbilia yule mwanamke na kutaka kumpiga watu wakaingilia pale na mimi kwa hasira niwaambia waache yule ni mke wangu,

Wakanielewa wakaacha lakini walilia sana,
Wakatoka nje huku wanalia na kusema, hatukujua kama kaka yetu unasumbuka hivi na huyu mwanamke,
Kaka ambaye umetusomesha umetutunza wote

Mbona mama...... ( bi mkubwa) hakuwa hivi, I I ingekuwa ni huyu kweli sisi tungefika hapa?

Mmoja tena akakurupuka kwenda kutaka kumpiga nikamkatalia, ni kikao kikaishia hapo,

Wakati namsindikiza yule baba aliniambia neno moja tu, KUWA MWANAUME!!!
Kaka yangu, bora uondoe neno hilo 'mke wangu' kichwani...linakutesa mno. Nasisitiza na Mimi KUWA MWANAUME,

Uza hio nyumba igawe mara nne. Sehemu/mgao wako na watoto jenga sehemu nyingine. Atakuua huyo
 
16- May hiyohiyo mpaka june naanza kuona simu za wanaume wawili tofauti wakiwasiliana, nikimuuliza hawa ni nani ananijibu ni watu tu, naanza kutia mashaka
17- June ananifokea mbele za watu wakati nimekwama kumsaidia kufunga mpira wa maji vizuri, namtukana na yeye ananirudishia tusi hulo hilo namfukuza nampata namtia Vinson’s vitakatifu, tunaamriwa
[emoji23][emoji23][emoji23]yote haya umo tu
 
Huyu mwanamke simtaki tena, lakini naona kama anawapambe,

Nipeni ushauri wapendwa,
Maana ninachokiona siku moja huyu mwanamke anaweza rudimentary hapa kwa gia ya watoto
Hao watoto wangekuwa niwadogo sawa lakin kama ni wa kubwa wala mkuu usiumize kichwa acha awachukue watoto wake yakimshinda watoto watarudi kwako wenyewe.
 
Nyumba ni ya watoto mkuu hakuna Cha kuifanya au haina jina lako?


Kama Ina jina lako, pangisha pesa someshea hao watoto. Watoto wanajitambua na kwa kuwa nao wameonesha ujeuri wabadilikie kwa muda. Wakaishi na Mama yao.

Mwanamke akale anakopewa jeuri.

Mwisho kabisa tulia na mkeo, mwambie ukweli utakuweka huru, na hapo utafurahia maisha yaliyobaki
Luv, nyumba si ya watoto. Kisheria nyumba ni ya Mme na Mke. Na kwa kuwa hao wawili wameishi miaka yote hiyo zaidi ya 20 kama wanandoa na wamebahatika kupata watoto, na urithi pekee wa watoto ni elimu kitu ambacho mleta mada amejitahidi sana kuwapatia kwa uwezp wake wote.

Sasa, mimi ninachomshauri hapo hapa ridhiki tena kwani ni kiasi gani cha fedha ambacho amekipoteza kwa ajili ya huyo mwanamke. Nyumba iuzwe na wagawane.

Cha msingi, amweleze na kumshirikisha mke wake wa ndoa kila kitu, ingawa naelewa kuwa mkewe anaelewa kila kitu kuhusu huyo baba na mwanamke wake huyo.

Amepoteza vitu vingi, kwani kupoteza hiyo nyumba kuna tatizo gani. Yeye kishasema kuwa huyo mwanamke hamtaki tena, sasa shida nini tena.
 
Hivi ni lazima ucomment?Mtoa mada aliomba ushauri na sio mashindano ya who is right and who is wrong,kama haukua na cha kumshauri ingekua bora kukaa kimya kuliko kumuattack,hujui hata anapitia emotional stress gani.Usijifiche nyuma ya screen na keyboard yako ukaona ni sawa tuu kuandika kila kinachokuja kichwani,jaribu kufikiria kama unachoandika kitaleta athari gani kwa muhusika!!
Mkuu hao ni single mothers ndio wans shadadia muhusika kupata shida hizo.wanajifunza kwenda kubomoa nyumba za watu,hicho ndio walichojifinza humu kwenye huu Uzi.Achana nao wanakuchosha bure.Wapo 7 hadi sasa nimempm joka jeusi aje adeal nao maana hawajaolewa na bikra Metii doi.
 
Nakubaliana na
2. Anasema mmoja kati ya watoto anasoma huko nyumbani kwawazazi
Bi mkubwa siyo mpumbavu hivyo, huyu jamaa inaonekana alihama kabisa nyumbani. Na chanzo cha yeye mpaka leo kupokea 120,000 tokea kwa watoto walioajiriwa anakielewa!

4. Kweli kabisa mambo haya yana wenyewe wanaoweza kuyamudu, hii michezo haihitaji hasira, akili nyingi nguvu kidogo, na siyo vice versa.

Everyday is Saturday............................... 😎
Na kama story ni ya kweli asifikiri bi mkubwa kwa vile alireact akanyamaza yameisha moyoni mwake, asubiri azeeke vizuri hakuna rangi ataacha kuona, sumu yoote aloiweka moyoni kwa bi mkubwa ishatemwa kwa watoto, anasema ana 250m akistaafu
Mzee wangu ashakum si matusi, naomba niseme tuu mwenye kichaa ni wewe sio huyo mchepuko.

Sababu ziko wazi kabisa. Hebu kaa chini tafakari kwa kina na utajua mwenye shida huko upstairs ni wewe na si huyo mchepuko wako.

Mzee wangu wewe ni mwanaume, hebu fanya maamuzi ya kiume.
Unforgetable
Yaan jamaa anaona wote wako wodini milembe lakini anamcheka mwenzie
 
Una kila kitu Kwa mke mkubwa, mkuu nyumba usiuze achia watoto baki na hati tu kwamba asiweze kuiuza. Ita wanao wakabidhi kila kitu hapo Kwa sasa ni wakubwa wanajitambua, wewe rudi Kwa mkeo wa halali maana kwa jinsi ninavyokusoma mkeo anajua kabisa una nyumba ndogo na ameshakuuliza maana hiyo mikasa katika nyumba mpya imekufanya uegemee zaidi Kwa bi mdogo. Kama hajakuuliza tambua ke tuna akili Sana ni kwamba anajua ipo siku utakuja mtamkia mwenyewe ndio maana katulia. Tena kwa taarifa yako hata watoto wako wa nyumba kubwa wanajua hilo. Mkuu Kwa mbali naona unachokisubiri hapo ni kifo tu Kwa ugonjwa au kuuawa, rudi Kwa mkeo mle pension yenu huku mkilea wajukuu insha'Allah hapo mtakapojaaliwa kuwapata. Achana naye tafadhali usitafute mengine jinsi ulivyomchoka yeye kakichoka zaidi, ke Wana tabia ya kukinai na kusahau ukimwacha tu haipiti muda atakukumbuka usirudi baki na mkeo tu, block namba zake iwe ndio mwisho.
Umemshauri utafikiri moyo wake unaujua....kwa maelezo yake we unaona ana jeuri ya kumfanyia ivo bi mdogo
 
Mwitore.......una roho ngumu sana,pia nimvumilivu sana,
kwa micomment tuliyokuwa tunatupia humu lakini umekomaa mpaka ukamaliza story.

kwa ugumu huu,naamin hufi leo au hv karibuni.

Ushauri:Uza nyumba,ukiendelea kuwa nayo itakuuwa,
Baada ya kuuza,hifadhi 40 mil,ambayo itakusaidia kuwatengenezea biashara hao watoto wako watakapokuwa wamekosa ajira.
 
Hebu mkuu tuambie wewe umeamua nini sasa?
Mbona nimeashaamua kumwacha,
Na sasa hivi ana mwezi mzima hayupo hapa nyumbani, aliindoka kwa bila kunitaarifu,
Ila nasilkia yupo kijijini kwao

Na mimi naomba sana kwa mungu asirudi,

Sasa swali lako la mimi naamua nini,?

1- Watoto wote wapo shule, nina wasiwasi anategea warudi, likizo ya pasaka naye arudi
, ingawa kweli akirudi nitamshangaa sana,
Hapo itaanza mambo ya ugomvi tena, na tulipofikia sasa ugonvi ukianza watu wanatoka nje ( majirani)

2–nyumba sasa hivi nimeifunga hakuna mtu, ingawa bado naenda na ninalala huko wakati mwingine, sasa akirudi anikute nitamfukuza, au nitafunga nyumba Na kuondoka,
Sasa sielewiataenda kwa mjumbe au polisi, ingawa mjumbe tayari naye keshamchukia kwa tabia zake

3– sitaki mambo ya polisi tena kwenda kushtakiana,
Sasa sielewi kama polisi wanaweza kunilazimisha nimfumgulie nyumba au huo uwezo hawana, kama hawana natashukuru sana

4– labda atashawishiwa aende mahakamani,
Hilo hata mimi naona ni sawa tu,
Kama ana haki zake atapata huko

5– kama kuna wanasheria hapa ingekuwa vizuri
Kutupa darasa wanafikiri ni nini itakuwa outcome ya kesi hiyo
 
Back
Top Bottom