Naomba ushauri na mapendekezo kuhusu Suzuki Escudo old

Chukua escudo ,gari nzuri sn niliuza ya Kwanza nikanunua tena nyingine, Ila Kwa budget yako ni ndogo at least ungefika M 10 utapata nzuri
 
Alokudanganya RAV4 inakula hivo ni nani? 12-14km/l inapiga mkuu. Ni uwezo wako ukiichukua uiweke sawa
 
Tubaki kwenye mada,
Chukua G16 hutojutia. Natamani niipost yangu ila wataijua maana nafikaga nayo hadi masaki na oysterbay.😂😂.
Chukua chuma hiyo. Ila acha nipost hata engine tu.. inatia nyege sana gari hii hata nikitaka kwenda mkoa.
 

Attachments

  • 7882E663-BA27-4486-9E59-2166F8B7AEB2.jpeg
    50.5 KB · Views: 61
mkuu hongera naona umejitahidi kuitunza, vipi ulaji wake wa mafuta
 
Nifanye nini iweze kula wese hivyo mimi nina gari hiyo na namba ni D
Nifanye nini iweze kula wese hivyo mimi nina gari hiyo na namba ni D
Kwanza,haikisha unamtumia fundi mzoefu,ukiogopa gharama,utalia. Japo unatakiwa ujue kinatengenezwa kitu gani.
1. Fuel pump yako ina hali gani?
2. Kwa sasa,ulaji wake umekaaje?
3. Spark plugs unazotumia zikoje?! Unaweza itoa utuonyeshe!
4. Engine yako ina hali nzuri(kama ilibadilishwa)
5. Uliagiza,au ulichukua kwa mtu!
6. Unajua lakini pia kuwa fuel tank yake ina chamber? Kwa maana mafuta yakikata si kwamba yanakuwa yameishamo!
 
Halafu nissan patrol sio hevy duty kama hiyo escudo , ni kama landrover tu zinataka matengenezo sana hasa kama utazitumia kwenye rough road
Duh.yani uifananishe N.Patrol/N.Safari na LR kweli?
Kwa Nissan ataingia gharama sababu ya spea kua ghali na adimu kwa baadhi ya mikoa ila kwa wenzetu kenya wanazo zakutosha maana wanatumia sana nissan.
Offroad zinakata shimo haswa bila kuhitaji matengenezo ya kila mara kama LR yenye ma-leakages zikitokaga rough roads!

spea gharama ila ukifunga umefunga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…