Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha,Hebu niache huko nilishamove on bhana
Ilawatu mna kumbukumbu[emoji23]
Sababu uliijua?[emoji3] Haujaisha ila hiyo sio sababu
Anxiety disorder (Nimehisi tu, muone daktari ndo atoe jibu la uhakika)Natumaini ni wazima
Sio muandishi mzuri mnivumlie
Kama ilivo kawaida ya maisha nimepitia mambo kadhaa hapa siku za karibuni ambayo yakanifanya nisiwe sawa hayakuwa mazuri
Baada ya muda kidogo hivi nikaanza kujihisi homa nikaenda hospitali sikukutwa na tatizo lolote zaidi ya dalili ya mafua nimetumia dawa mafua yakaisha lakini Bado mwili hauko sawa Bado najihis kuumwa lakin siumw kiungo chochote na Bado hayo mambo nilipitia yananikosesha raha sana najihis nimepata sonona maana sio hali ya kawaida ni zaidi ya wiki ya tatu
Sinafuraha,
uchovu kutwa nzima
Nakosa usingizi na usingiz unaisha mapema sanaa
Appatite ya kula imepungua
kuamka kutoka kitandani ni ishu asubhi imekuwa tabu sana
Najitahid kujichangamsha hapa kwenye forum lakin kiukweli naona sio poa mnisaidie namna ya kuignore hii hali
Natanguliza shukrani....!!
Asante sana Kwa ushauri nitafatilia matibabuAnxiety disorder (Nimehisi tu, muone daktari ndo atoe jibu la uhakika)
Muone psychiatrist kwenye hospital yoyote kubwa
Utapewa counseling sessions na vidonge kama vile Sertraline(Zoloft) , Fluoxetine (Prozac) vitakusaidia kukaa sawa
Pills ni addictive simshauri, psychiatric wa public hospitals ni aaaaaaah,,Anxiety disorder (Nimehisi tu, muone daktari ndo atoe jibu la uhakika)
Muone psychiatrist kwenye hospital yoyote kubwa
Utapewa counseling sessions na vidonge kama vile Sertraline(Zoloft) , Fluoxetine (Prozac) vitakusaidia kukaa sawa
Depends na your issue and how chronic it is,, pills huwa ni a very last option na ni addictive kwa sababuKwann
Ooh kumbe nilikuwa sifahamuDepends na your issue and how chronic it is,, pills huwa ni a very last option na ni addictive kwa sababu
session za psychiatrist za Public hospital huwa ni very poor hakuna any follow up kama usipojiongeza mwenyewe and unakuta ana a lot of casases so unaweza kukuta counselling session is not that effective so una depend on pills for your issue and that's bad
Private psychiatric practitioner huwa wako very effective but very expensive too