Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Jana nilisema we unatupiga kaole kumbe kweli babe ?😀😀Aisee natamni sana Tena Kwa umri wangu Niko timamu kuwa mama wamtu ila wakat wa Mungu ndo wakat sahihi inshallah 🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana nilisema we unatupiga kaole kumbe kweli babe ?😀😀Aisee natamni sana Tena Kwa umri wangu Niko timamu kuwa mama wamtu ila wakat wa Mungu ndo wakat sahihi inshallah 🙏
😁😁😁😁😁 Simba anyatiwiOoh Yamekuwa hayo😀
Jibu tu isije ikawa nyegeNduguyangu nimeshindwa nikujibu nn
Hospital wamekupima damu? Kuangalia glucose,protein au upungufu wowote wa virutubisho mwilini. Au zinc/iron mwilini mwako imepungua?Natumaini ni wazima
Sio muandishi mzuri mnivumlie
Kama ilivo kawaida ya maisha nimepitia mambo kadhaa hapa siku za karibuni ambayo yakanifanya nisiwe sawa hayakuwa mazuri
Baada ya muda kidogo hivi nikaanza kujihisi homa nikaenda hospitali sikukutwa na tatizo lolote zaidi ya dalili ya mafua nimetumia dawa mafua yakaisha lakini Bado mwili hauko sawa Bado najihis kuumwa lakin siumw kiungo chochote na Bado hayo mambo nilipitia yananikosesha raha sana najihis nimepata sonona maana sio hali ya kawaida ni zaidi ya wiki ya tatu
Sinafuraha,
uchovu kutwa nzima
Nakosa usingizi na usingiz unaisha mapema sanaa
Appatite ya kula imepungua
kuamka kutoka kitandani ni ishu asubhi imekuwa tabu sana
Najitahid kujichangamsha hapa kwenye forum lakin kiukweli naona sio poa mnisaidie namna ya kuignore hii hali
Natanguliza shukrani....!!
Unahitaji kufanya hivyo wengi wetu tunakwenda kwa daktari bila ya kufanya vipimo vyote. Kama una bima inalipa kama hauna bima inabidi ulipie mwenyewe. 175,000 mara ya mwisho nililipia sikuwa wa bima wakati huoHapana hawakunipima
Sawa mm natumia bima nitafanya hivoUnahitaji kufanya hivyo wengi wetu tunakwenda kwa daktari bila ya kufanya vipimo vyote. Kama una bima inalipa kama hauna bima inabidi ulipie mwenyewe. 175,000 mara ya mwisho nililipia sikuwa wa bima wakati huo
Sawa dada pia kama una MB za bure nenda YouTube kuna doctor ana madini sana anaitwa Dr Eric Berg. Kama unamfatilia huyo afya yako itakuwa njema sanaSawa mm natumia bima nitafanya hivo
😂😂Daah ila hili linaweza kuwa kweli sema anaweza kuingia kwenye matatizo zaidi baada ya kuchangamshwaTafuta mpenz,Kwa muda tu akuchangamshe.....la sivyo ni pesa zakusumbua
🤣Ni kweli😂😂Daah ila hili linaweza kuwa kweli sema anaweza kuingia kwenye matatizo zaidi baada ya kuchangamshwa
Pia yaeza kuwa mimba hio mjomba hongera sana madam!