Naomba Ushauri, nahisi ni tatizo

Naomba Ushauri, nahisi ni tatizo

😀😀Aisee natamni sana Tena Kwa umri wangu Niko timamu kuwa mama wamtu ila wakat wa Mungu ndo wakat sahihi inshallah 🙏
Jana nilisema we unatupiga kaole kumbe kweli babe ?
 
Natumaini ni wazima
Sio muandishi mzuri mnivumlie

Kama ilivo kawaida ya maisha nimepitia mambo kadhaa hapa siku za karibuni ambayo yakanifanya nisiwe sawa hayakuwa mazuri

Baada ya muda kidogo hivi nikaanza kujihisi homa nikaenda hospitali sikukutwa na tatizo lolote zaidi ya dalili ya mafua nimetumia dawa mafua yakaisha lakini Bado mwili hauko sawa Bado najihis kuumwa lakin siumw kiungo chochote na Bado hayo mambo nilipitia yananikosesha raha sana najihis nimepata sonona maana sio hali ya kawaida ni zaidi ya wiki ya tatu

Sinafuraha,
uchovu kutwa nzima
Nakosa usingizi na usingiz unaisha mapema sanaa
Appatite ya kula imepungua
kuamka kutoka kitandani ni ishu asubhi imekuwa tabu sana
Najitahid kujichangamsha hapa kwenye forum lakin kiukweli naona sio poa mnisaidie namna ya kuignore hii hali
Natanguliza shukrani....!!
Hospital wamekupima damu? Kuangalia glucose,protein au upungufu wowote wa virutubisho mwilini. Au zinc/iron mwilini mwako imepungua?
 
Wee shangaziiii ni nyegee zinakusumbua, hebu muambie ankoli akutibuu.

Ila poleee mke mwenzaa, utakua sawa tyuuh.
Relaaaaaaax [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapana hawakunipima
Unahitaji kufanya hivyo wengi wetu tunakwenda kwa daktari bila ya kufanya vipimo vyote. Kama una bima inalipa kama hauna bima inabidi ulipie mwenyewe. 175,000 mara ya mwisho nililipia sikuwa wa bima wakati huo
 
Unahitaji kufanya hivyo wengi wetu tunakwenda kwa daktari bila ya kufanya vipimo vyote. Kama una bima inalipa kama hauna bima inabidi ulipie mwenyewe. 175,000 mara ya mwisho nililipia sikuwa wa bima wakati huo
Sawa mm natumia bima nitafanya hivo
 
Sawa mm natumia bima nitafanya hivo
Sawa dada pia kama una MB za bure nenda YouTube kuna doctor ana madini sana anaitwa Dr Eric Berg. Kama unamfatilia huyo afya yako itakuwa njema sana
 
pole sana, pita pita na gym mkuu usikae sehemu moja tu , nenda gym chosha mwili alafu lete mrejesho
 
Vipi saivi hali yako??? Umepata nafuu???
Ulihutagi service mdogo wangu najua ulisoma Cuba so ushaelewa![emoji6]

Huwa inatokea sometimes sema inatakiwa ujichanganye na watu/ marafiki ambao watakukeep bize in One way or another!

Pia mida mingine inahitaji upewe service moja matraaatraaaaa sana uchovu wote uishe!!
Au pia yaeza kuwa ni ujauzito!!

Pole sana na bila shaka unaendelea vema saii!
 
Back
Top Bottom