Naomba Ushauri, nahisi ni tatizo

Naomba Ushauri, nahisi ni tatizo

Ndio hivyo.
Wanawake tuna mambo mengi.
Wakati mwingine unahitaji tu mtu wa kukukumbatia, au kukwambia maneno mazuri, au kukutoa dinner.
Ugonjwa unaondoka wenyewe bila hata dawa.

Sasa kwa jinsi maisha yalivyopanda bei, wanaume nao full stress. Hawajui kama hatufanani nao. Wanawake tuna mahitaji mengi
Kweli kabisa nitajitahid kuzingatia ushauri wako
 
Ndio hivyo.
Wanawake tuna mambo mengi.
Wakati mwingine unahitaji tu mtu wa kukukumbatia, au kukwambia maneno mazuri, au kukutoa dinner.
Ugonjwa unaondoka wenyewe bila hata dawa.

Sasa kwa jinsi maisha yalivyopanda bei, wanaume nao full stress. Hawajui kama hatufanani nao. Wanawake tuna mahitaji mengi
Acha hii comment nii-note pembeni kabisa.
 
Oya chukua toto [mention]sophy27 [/mention] mtoto namba E kbsa Kilometer 0 ana jicho fulani hivi la kuombea mkopo Bank
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Natumaini ni wazima
Sio muandishi mzuri mnivumlie

Kama ilivo kawaida ya maisha nimepitia mambo kadhaa hapa siku za karibuni ambayo yakanifanya nisiwe sawa hayakuwa mazuri

Baada ya muda kidogo hivi nikaanza kujihisi homa nikaenda hospitali sikukutwa na tatizo lolote zaidi ya dalili ya mafua nimetumia dawa mafua yakaisha lakini Bado mwili hauko sawa Bado najihis kuumwa lakin siumw kiungo chochote na Bado hayo mambo nilipitia yananikosesha raha sana najihis nimepata sonona maana sio hali ya kawaida ni zaidi ya wiki ya tatu

Sinafuraha,
uchovu kutwa nzima
Nakosa usingizi na usingiz unaisha mapema sanaa
Appatite ya kula imepungua
kuamka kutoka kitandani ni ishu asubhi imekuwa tabu sana
Najitahid kujichangamsha hapa kwenye forum lakin kiukweli naona sio poa mnisaidie namna ya kuignore hii hali
Natanguliza shukrani....!!
Ccy umefanya Pregnant Test?!
 
Back
Top Bottom