dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hahaha mimi team Mamujee, mcheki Mzee wa kupambania au Carrasco putinNitampata wapi na wew umeamua kupiga nyeto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha mimi team Mamujee, mcheki Mzee wa kupambania au Carrasco putinNitampata wapi na wew umeamua kupiga nyeto
tupo wengiNitampata wapi na wew umeamua kupiga nyeto
Ndio au tumuite sadalaWee 😀
hahaha mimi team Mamujee, mcheki Mzee wa kupambania au Carrasco putin
Unique FlowerMm chaputa mkuu
subiri akunyime nyuchi 🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Pole sana.Natumaini ni wazima
Sio muandishi mzuri mnivumlie
Kama ilivo kawaida ya maisha nimepitia mambo kadhaa hapa siku za karibuni ambayo yakanifanya nisiwe sawa hayakuwa mazuri
Baada ya muda kidogo hivi nikaanza kujihisi homa nikaenda hospitali sikukutwa na tatizo lolote zaidi ya dalili ya mafua nimetumia dawa mafua yakaisha lakini Bado mwili hauko sawa Bado najihis kuumwa lakin siumw kiungo chochote na Bado hayo mambo nilipitia yananikosesha raha sana najihis nimepata sonona maana sio hali ya kawaida ni zaidi ya wiki ya tatu
Sinafuraha,
uchovu kutwa nzima
Nakosa usingizi na usingiz unaisha mapema sanaa
Appatite ya kula imepungua
kuamka kutoka kitandani ni ishu asubhi imekuwa tabu sana
Najitahid kujichangamsha hapa kwenye forum lakin kiukweli naona sio poa mnisaidie namna ya kuignore hii hali
Natanguliza shukrani....!!
subiri akunyime nyuchi [emoji1787]
aah thubutu, labda kama umesahau figures hapoKilometer 0
Mpe hivyo hivyo 😅😅Nitampata wapi na wew umeamua kupiga nyeto
maisha nimepitia mambo kadhaa hapa siku za karibuni ambayo yakanifanya nisiwe sawa hayakuwa mazuri
[emoji3]jaribu na kujifukiza, Covid bado ipoZile ni kama mbaazi tu[emoji58]