CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,048
- 7,608
Nimekumic shemejiPia yaeza mimba hio mjomba hongera sana madam!
Hausikii kichefuchefu???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekumic shemejiPia yaeza mimba hio mjomba hongera sana madam!
Hausikii kichefuchefu???
Miss you more jamani kule nimezuiliwa kwa miezi kadhaa Ndiomana!!!!Nimekumic shemeji
@cocastic mchumba babu yako si yuko nyasa[emoji848][emoji848] mbona unaangalia wanamsumbua shemeji,, kuwa mwepesi[emoji16]Miss you more jamani kule nimezuiliwa kwa miezi kadhaa Ndiomana!!!!
Pole by the wayMiss you more jamani kule nimezuiliwa kwa miezi kadhaa Ndiomana!!!!
Nishapoa mkuu shukrani ✌️✌️✌️!Pole by the way
Niimemmiso mnoooo huyo kiumbe !!@cocastic mchumba babu yako si yuko nyasa[emoji848][emoji848] mbona unaangalia wanamsumbua shemeji,, kuwa mwepesi[emoji16]
Sikuhizi unaandika kwa tafsida sana boss lady. Tumekukumbuka kuleVipi saivi hali yako??? Umepata nafuu???
Ulihutagi service mdogo wangu najua ulisoma Cuba so ushaelewa![emoji6]
Huwa inatokea sometimes sema inatakiwa ujichanganye na watu/ marafiki ambao watakukeep bize in One way or another!
Pia mida mingine inahitaji upewe service moja matraaatraaaaa sana uchovu wote uishe!!
Au pia yaeza kuwa ni ujauzito!!
Pole sana na bila shaka unaendelea vema saii!
Bado aiseeVipi saivi hali yako??? Umepata nafuu???
Ulihutagi service mdogo wangu najua ulisoma Cuba so ushaelewa![emoji6]
Huwa inatokea sometimes sema inatakiwa ujichanganye na watu/ marafiki ambao watakukeep bize in One way or another!
Pia mida mingine inahitaji upewe service moja matraaatraaaaa sana uchovu wote uishe!!
Au pia yaeza kuwa ni ujauzito!!
Pole sana na bila shaka unaendelea vema saii!
🤣🤣🤣🤣🤣!Sikuhizi unaandika kwa tafsida sana boss lady. Tumekukumbuka kule
Lol pole sana basi itakua ni hali ya hewa tu!Bado aisee
Lkn mimba Sina nilipima natak nikafanye vipimo zaidi maybe upweke sijui ngoja nijaribu kujichanganya na watu
Nipo boss ila sio kama zamani. Tangu tragedy ya mwaka jana, sijawa kama nilivyokua. Ila nipo somehow.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!
Brian upogo kumbe???? Kimya sana mkuu natumai uko good!!
Kule niko likizo mkuu mpaka miezi ya mbelee huko!
Nimewamiss pia wapendwa!!
Fanya mpango akakufanyie service ya miezii kadhaa mdogo wangu usijeugua chekacheka bure🤗😂!!Bado aisee
Lkn mimba Sina nilipima natak nikafanye vipimo zaidi maybe upweke sijui ngoja nijaribu kujichanganya na watu
Nipo boss ila sio kama zamani. Tangu tragedy ya mwaka jana, sijawa kama nilivyokua. Ila nipo somehow.
Good to see you
Una stress bado,Bado aisee
Lkn mimba Sina nilipima natak nikafanye vipimo zaidi maybe upweke sijui ngoja nijaribu kujichanganya na watu
Few knew but I thought you did too.Mwaka jana ulipatwa nanini mkuu ????? Pole sana tunakukumbuka sana kulee
Pole sana mkuu!!Few knew but I thought you knew too.
Last year was tragic but the most of all is I lost my father.
NashukuruPole sana mkuu!!
C.c sophy27Pia yaeza kuwa mimba hio mjomba hongera sana madam!
Hausikii kichefuchefu???