Naomba Ushauri, nahisi ni tatizo

Naomba Ushauri, nahisi ni tatizo

Vipi saivi hali yako??? Umepata nafuu???
Ulihutagi service mdogo wangu najua ulisoma Cuba so ushaelewa![emoji6]

Huwa inatokea sometimes sema inatakiwa ujichanganye na watu/ marafiki ambao watakukeep bize in One way or another!

Pia mida mingine inahitaji upewe service moja matraaatraaaaa sana uchovu wote uishe!!
Au pia yaeza kuwa ni ujauzito!!

Pole sana na bila shaka unaendelea vema saii!
Sikuhizi unaandika kwa tafsida sana boss lady. Tumekukumbuka kule
 
Vipi saivi hali yako??? Umepata nafuu???
Ulihutagi service mdogo wangu najua ulisoma Cuba so ushaelewa![emoji6]

Huwa inatokea sometimes sema inatakiwa ujichanganye na watu/ marafiki ambao watakukeep bize in One way or another!

Pia mida mingine inahitaji upewe service moja matraaatraaaaa sana uchovu wote uishe!!
Au pia yaeza kuwa ni ujauzito!!

Pole sana na bila shaka unaendelea vema saii!
Bado aisee
Lkn mimba Sina nilipima natak nikafanye vipimo zaidi maybe upweke sijui ngoja nijaribu kujichanganya na watu
 
Bado aisee
Lkn mimba Sina nilipima natak nikafanye vipimo zaidi maybe upweke sijui ngoja nijaribu kujichanganya na watu
Lol pole sana basi itakua ni hali ya hewa tu!
Ila vipi Saivi unaendeleaje???
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!
Brian upogo kumbe???? Kimya sana mkuu natumai uko good!!
Kule niko likizo mkuu mpaka miezi ya mbelee huko!
Nimewamiss pia wapendwa!!
Nipo boss ila sio kama zamani. Tangu tragedy ya mwaka jana, sijawa kama nilivyokua. Ila nipo somehow.

Good to see you
 
Bado aisee
Lkn mimba Sina nilipima natak nikafanye vipimo zaidi maybe upweke sijui ngoja nijaribu kujichanganya na watu
Fanya mpango akakufanyie service ya miezii kadhaa mdogo wangu usijeugua chekacheka bure🤗😂!!
Ila utakua sawa tu Mungu ni mwema !
 
Bado aisee
Lkn mimba Sina nilipima natak nikafanye vipimo zaidi maybe upweke sijui ngoja nijaribu kujichanganya na watu
Una stress bado,


Fanya hv badilisha mlo wako wa ahsubuhi from carbohydrate (sugars) to protein and a lot of veggies

Anza kutumia kahawa

Fanya consistency ya kulala na kuamka, even on weekends

Excecise atleast 30 minutes per day (cardio is more than enough)

Expose yourself to what made u stressed or share it with another person
 
Fanya mazoezi, mazoezi ni tiba kwenye psychological na physiological issues.
 
Back
Top Bottom