Ukikubali kuendeshwa utaendeshwa...kuna vitu vingine inabidi uwe na msimamo, mara nyingi wanaoendekeza mapenzi kama hayo yako huishia pabaya, akikuambua muanze kutumia unga utakubali pia ?Daaah mkuu namuachaje sasa..
Huu nao mtihani mzito
Mkuu shughuli anayo ya kumfanya awe Bize sana tuu..umekua teja wa mapenzi sio gentleman, na umezamishwa kwenye ulevi right?
dah! pole sana gentleman? hiyo ndiyo hali ya dunia, usisikitike sana.
mna shughuli za kufanya kweli, mathalani biashara? kama hamna, basi ni muhimu mkawa na kitu cha kufanya, na mfanye kwa bidii sana, ili angalau mkose muda wa kwenda kwenye kufakamia mapombe.
Muhimu zaidi,
inafaa umpelekee moto walau afululize kuzaa watoto mathalani wawili waliofuatana karibu karibu, na hapo utakua umemuwajibisha kwa faida na atakua na muda mchache sana wa kwenda kufakamia mapombe badala yake malezi ya watoto yatamkeep busy,
Akileta kimbelembele unamuongeza cha tatu chap kwa haraka na itapendeza zaidi?
au, je, unapitia changamoto ya nguvu za kijinsia na hiyo shughuli imekua ngumu ?π
Yakikukuta utajua tofauti ya 20 na twentyMwanakulitaka mwanakulifind,
Utalipata unalolitafuta
Samahani mkuu ushawahi kuwana uhusiano na mtu aliekizidi umriUkikubali kuendeshwa utaendeshwa...kuna vitu vingine inabidi uwe na msimamo, mara nyingi wanaoendekeza mapenzi kama hayo yako huishia pabaya, akikuambua muanze kutumia unga utakubali pia ?
Kumpiga chini mwanamke ambaye in some how amekua source ya income kwanko..Kama kweli wewe ni mwanaume jasiri utampiga chini huyo mwanamke, ukishindwa basi utaonesha udhaifu mkubwa.
Nifanyaje ili aache mkuu ndo hapa napambana ujueeeeSwali bado lipo kwako. Je hiyo tabia ya ulevi utaweza kuivumilia (hata asipoacha)? Kama utaweza endelea kama hauwezi achana nae. Ni hela kubaki na maumivu ya kuachana kuliko maumivu ya muda wote ya makosa ya ulevi (ngono zembe, dharau, kurudi usiku, magonjwa, n.k)
Utaahira ni kutegemea mwanamke kama source of income kwakoKumpiga chini mwanamke ambaye in some how amekua source ya income kwanko..
Huoni huo ni utaaira
hiyo ndiyo muhimu gentleman,Mkuu shughuli anayo ya kumfanya awe Bize sana tuu..
Ila siku za weekend kama hizi kwangu ndo shida huwaza..
Kama sasa kashanitafuta anasema nikanywe supu tusepe...
Najua hapa nikienda mpaka sa nne usiku seriously nachoka
Kuhusu mtoto daaah hiyo nayo changamoto mkuu wangu
Mkuu kutaabika hakuna tuzo ujueUtaahira ni kutegemea mwanamke kama source of income kwako
Siwezi kuachana nae...Demu mlevi wa nini kaka achana nae utakufa. Achana nae
Mkuu kuwa kibenteni ni fedheha kubwaMkuu kutaabika hakuna tuzo ujue
Mkuu wewe ni marioo ?Samahani mkuu ushawahi kuwana uhusiano na mtu aliekizidi umri
70% population ya Tanzania ni vijana chini 35%.....kuna haja kuwekeza sanq kwenye vijana.....baada miaka 20 Rais anatakiwa awe 40yrsNakimbilia 25 hukooo
Kaka kuumia hakuna tuzo ujue...Mkuu kuwa kibenteni ni fedheha kubwa
Ndo mana jukwaa la siasa walitaka wakupige ππππ
Pombe jau mkuu ooohPole sana ndugu yangu π π hata Mimi Nina tabia ya kunywa pombe hovyo na kuacha ila narudia Tena pombe ππ