Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

Hii ndo namna vitoto vya 2000 vinavyoingia kwenye mapenzi, mada za namna hii kinatuletea sisi sijui kinataka tukishauri nn na huyo mtoto mwezake?!.
Anyway, ukikua utaacha utoto
Mkuu mimi sio mtoto wa 2000..
Niwie radhi mkuu
 
Usimuache,muombee kwa Mungu kila siku bila ya kuchoka atamchomoa,na ataacha kabisa...
Asante mkuu mana ni wewe wa kwnza umeingizia suala la mungu katika hili daah asante sana naendelea kumuomba mungu
 
Be you. Ukifanya jambo ambalo si lako ila unalifanya kwa kusudio la kumfurahisha mpenzi,kaka siku ukiachika maumivu yake yatakuwa makali sana. Majuto yake yatakutesa sana. Kama si mtumiaji na hutaki kuwa mtumiaji basi una machaguo mawili;
1. Mkubaliane yeye aendelee kuwa mtumiaji na wewe ukubaliane nalo jambo ilo
2. Uachane nae ikiwa bado mapema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…