Mkuu Bavaria, naomba unisaidie mawasiliano ya hao wakenya. Nahitaji kupata mizinga aina ya langstrong Kwa ajili ya ufugaji nyuki kwenye shamba langu jipya.
Alohen company hapo mafinga mizinga yenu ni sh. ngapi?
Kama huna uwezo wa kununua siyo lazima uchangie hii ni global market hiyo biashara na uzalendo huwa haviendani watu wanataka mafanikio we umekuja kujaza mipasho hapa hela inashukaje hapo kwa mfanoNinyi ndio mnasababisha thamani ya shilingi yetu kushuka. Kwani hapo Tanzania hakuna wachonga mizinga ya nyuki? Hakuna misitu? Ama unatafuta fahari tu.
Uingize na nyuki wa kichina kabisaKulingana na bei ya mizinga ya kisasa kuwa ya gharama ya chini hapa Tanzania, nimeona bora ni-import toka China moja kwa moja.
Kupitia Alibaba nimeona mizinga ya "Langstroths" ambayo ni bora kwa ufugaji wa nyuki kisasa.
Naomba kujua kama kuna kodi yeyote inalipiwa kwa kuingiza hiyo mizinga Tanzania.
Na pia, najuaje ubora wa hiyo mizinga kwa kuangalia online? Kuna utaalamu wowote unatumika?
Shukrani.
UNAWEZA KUNIELEKEZA HUKO TAWIRI ARUSHA NI WAPI NIKITOKEA KIJENGEMizinga mizuri kwa standard ya ukweli ipo TAWIRI Arusha. Achana na Mchina
MM NATAKA MIZINGA ILA SIJAJUA SIZE ZAKE NA PIA UFUGAJI WAKE WAWEZA NISAIDIA KUNIPA MWONGOZO KIDOGO KWA HILIMkuu nyuki wa Tanzania ukiwaletea mizinga ya China hawataingia! Hivyo ili usijepata hasara wewe sema wataka mizinga mingapi,size gani and your offer then nakupatia mizinga bora inayoendana na mazingira yetu.
Mi mihambo,ebu elewa anacho hitaji mleta Uzi.labda nikufafanulie kuna mizinga ya kisasa ya aina kuu mbili ambayo ni top bar na commercial bee hive.hii aina ya commercial ndo inayotakiwa tuwe nayo ili tuzalishe kifaida.
Huyu kahitaji mizinga aina ya langstroths hii ni commercial hive nyuki wakiingia kama ni msimu WA maua baadavya siku, tisini mzinga umejaa na utakuwa unavuna kila baada ya wiki tatu.
Sasa wewe mihambo picha ya mizinga yako ni aina ya top bar,hii sana utavuna Mara moja kwa mwaka.hiyo bei ya laki moja unayouza ni kubwa ukilinganisha na mzinga wenyewe.
Langstroths bee hive ni aina ya mzinga bora WA kisasa ambao kwa hapa bongo bei ni kubwa bora uagize China itafika hapa kwa gharama nafuu kuliko utengeneze hapa.
Mfano langstroth hive two layer kwa suchuo cha sua ni 180000 na Tawiri ni zaidi ya hapo.wakati China mzinga huo huo kwa China unaununua 50000 za Tanzania tena umetengenezwa kwa ubora zaidi.
Kuhusu saizi ya nyuki ni tofauti na wahuku kwetu.kuna jamaa yangu aliagiza tukichofanya tuliwapa vipimo vya kihunzi cha nyuki wetu ambacho ni 32mm na bee spance ni 8mmm.wakatutengenezea kwa vipimo hivyo.
Mi ni mdau WA ufugaji nyuki tuache lobgolongo nakushauri kabisa agiza mizinga China wape vipimo vya nyuki WA kwetu huku watakutengenezea.utanunua utasafirisha ,utaitoa bandarini mpaka shambani bado utaokoa pesa nyingi kuliko kununua bongo.
Nakushauri top bar achana Nayo nunua .commercial hive
Sorry Mkuu,-Mshikaji anaongelea Alibaba na siyo Aliexpress
-Nimemshauri atumie PayPal kwa usalama wa fedha zake! Naongea haya kwa uzoefu, maana hata mimi nimeshanunua mara nyingi sana kwa njia tofauti na PayPal na kuna mara nyingi nimepata items zangu, lakini pia nishalizwa! Na siyo mimi tu, nenda ubalozi wa China hapa nchini, wana kitengo cha biashara mbali kidogo na ubalozi wao....hapo ndipo utaonana na watanzania kibao wanaokuja kwa malalamiko ya kuibiwa fedha zao na baadhi ya wezi wanaojitangaza huko alibaba!
-Kitengo chao cha biashara, kinashauri pia, kabla ya kufanya malipo ni vyema uchukue profoma au invoice yenyewe, uwapelekee ili wa verify kuwa kama supplier wako ni genuine ama la!
Sorry Mkuu,
Kwani Muuzaji feki hawezi kumiliki Paypal
Kulingana na bei ya mizinga ya kisasa kuwa ya gharama ya chini hapa Tanzania, nimeona bora ni-import toka China moja kwa moja.
Kupitia Alibaba nimeona mizinga ya "Langstroths" ambayo ni bora kwa ufugaji wa nyuki kisasa.
Naomba kujua kama kuna kodi yeyote inalipiwa kwa kuingiza hiyo mizinga Tanzania.
Na pia, najuaje ubora wa hiyo mizinga kwa kuangalia online? Kuna utaalamu wowote unatumika?
Shukrani.
Naomba tuwasiliane 0762276275Mizinga mingi inayouzwa Tanzania inatoka hukohuko China.
Wakija wanatupiga bei ya juu sana.
Mfano nimeona Langstroth beehive Alibaba unauzwa $35 ila hapa bongo mtu anakuambia anakuuzia 220,000.
Let say nataka kufungua bee farm ya mizinga 500-1000. Unadhani nitakuwa nimesave kiasi gani kwa kuagiza mwenyewe?
Naweza kupata ekari 60Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.
Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.
Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
what are the safe rules mkuu?Si kuwa akiwa ana PayPal Hatoiba....La msingi anunue Aliexpress ambako unaweza kumjua TOP RATED SELLER na kuangalia Feedback za nyuma za hiyo items kwa walionunua kabla yako
na unanunua na CREDIT CARD tu bila WASIWASI wowote wala huibiwi.....nimenunua huko Bunch of items LA msingi ujue RULES za kuwa safe
Mizinga hiyo inaweza kutengenezwa hapa Tanzania, ila tatizo ninaloliona ni upatiakanaji wa mbao bora kutoka katika miti iliyokomaa. Misitu yenye miti ya aina hii yawezekana imewekwa kama hifadhi. Ukipata mbao utaalamu upoNinyi ndio mnasababisha thamani ya shilingi yetu kushuka. Kwani hapo Tanzania hakuna wachonga mizinga ya nyuki? Hakuna misitu? Ama unatafuta fahari tu.