Naomba ushauri nifanye nini katika hali kama hii, nataka kucheza fair

Naomba ushauri nifanye nini katika hali kama hii, nataka kucheza fair

Habari yenu ndugu zangu.

Niende kwenye mada.

Mimi nina mchumba wangu toka mwaka juzi tupo kwenye uchumba na mwakani tumepanga kufunga ndoa.

Sasa mwaka jana mwezi wa 6 nilipata transfer nikahamia mkoa mwingine (Kaskazini hukuhuku).

Sikuweza kuhama na mchumba wangu kwasababu hatukuwa tunaishi pamoja hata hapo awali na alikuwa na mishe zake anafanya kwahyo nikamuacha huko mkoani (nilipohamia ni mkoa jirani tu na alipo yeye).

Sasa mwezi wa 9 nikakutana na binti mmoja katika mazingira ambayo yalifanya tubadilishane namba na hatimaye tukaanza kuwasiliana na kujikita tupo kwenye mahusiano ya rasharasha.
Kadri siku zilivokuwa zinaenda mapenzi yakaanza kukolea.

Wiki iliyopita alianza kunambia anajisikia vibaya mara kichwa mara kichefu chefu mara tumbo.

Majuzi kaenda kupima kaambiwa ana mimba ya wiki mbili kasoro na highly probably ni mimba yangu kwahesabu nilizopiga na hata hivo binti hana mambo mengi.

Nipo nawaza mchumba wangu itakuwaje, ananipenda nampenda hajanikosea anajua kabisa ni lazima nitamuoa na tayari huku binti naye nishampa ujauzito na yeye ananipenda sana tu sielewi cha kufanya.

Binti kashaanza kusema mimba hatoi na ofcourse na mimi sitaki aitoe kibaya zaidi anasema anahitaji kupajua kwetu na kujua ndugu zangu in case ikitokea lolote basi ajue anaanzia wapi.

Huyu mchumba wangu simu kila mara sijui kanusa nini yani simu na meseji ni almost kila muda na huyu Binti nilichokosea sikumwambia kwamba nina mchumba na tuna mpango wa kuja kufunga ndoa.

Plz naomba ushauri nifanye nini katika hali kama hii, nataka kucheza fair.

View attachment 3194170
Kaa chini mfanye kikao kizito wewe pamoja na akili yako, baada ya hapo Owa unaemkubali zaidi!!
 
Ucheze fair kivipi wakati umeshamwambia huyo mchepuko utafunga nae ndoa?Rudi upesi kwa mchumba wako wa kwanza umueleze kosa lako na umuombe msamaha.Akusamehe au asikusamehe usithubutu kurudi Kwa yule mchepuko isipokuwa matumizi lazima umtumie kwa kubeba kiumbe chako.Ukirudi tu Kwa mchepuko utakuwa ukapanda makusudi kumuumiza mwenzio na Wala hujutii kosa lak😵gopa chozi la mwanamke.
Huu ni ushauri mzuri ila akimkuta mwanamke ana misimamo anaweza akampoteza huyo mchumba wake.

Kuna wanawake Wana misamamo sana. Wengine wanaweza kukusamehe lakini upendo na trust ikashuka mkaishi tu kwa mazoea ila si kwa mapenzi.

Kikubwa nadhani aanze kumueleza mchepuko ukweli. Na amuombe tu awe msiri
Kufanya hivi atajua msimamo wa mchepuko.

Kwa msimamo huo utampa dira ya namna ya kumuingia mchumba ake

Asilimia 85 ya wabunge wa CCM hawatarudi bungeni 2025
 
Huu ni ushauri mzuri ila akimkuta mwanamke ana misimamo anaweza akampoteza huyo mchumba wake.

Kuna wanawake Wana misamamo sana. Wengine wanaweza kukusamehe lakini upendo na trust ikashuka mkaishi tu kwa mazoea ila si kwa mapenzi.

Kikubwa nadhani aanze kumueleza mchepuko ukweli. Na amuombe tu awe msiri
Kufanya hivi atajua msimamo wa mchepuko.

Kwa msimamo huo utampa dira ya namna ya kumuingia mchumba ake

Asilimia 85 ya wabunge wa CCM hawatarudi bungeni 2025
Huu ushauri ni mzuri lakini hiyo sentensi yako ya mwisho umeandika ukiwa unaelekea kusinzia.
 
Habari yenu ndugu zangu.

Niende kwenye mada.

Mimi nina mchumba wangu toka mwaka juzi tupo kwenye uchumba na mwakani tumepanga kufunga ndoa.

Sasa mwaka jana mwezi wa 6 nilipata transfer nikahamia mkoa mwingine (Kaskazini hukuhuku).

Sikuweza kuhama na mchumba wangu kwasababu hatukuwa tunaishi pamoja hata hapo awali na alikuwa na mishe zake anafanya kwahyo nikamuacha huko mkoani (nilipohamia ni mkoa jirani tu na alipo yeye).

Sasa mwezi wa 9 nikakutana na binti mmoja katika mazingira ambayo yalifanya tubadilishane namba na hatimaye tukaanza kuwasiliana na kujikita tupo kwenye mahusiano ya rasharasha.
Kadri siku zilivokuwa zinaenda mapenzi yakaanza kukolea.

Wiki iliyopita alianza kunambia anajisikia vibaya mara kichwa mara kichefu chefu mara tumbo.

Majuzi kaenda kupima kaambiwa ana mimba ya wiki mbili kasoro na highly probably ni mimba yangu kwahesabu nilizopiga na hata hivo binti hana mambo mengi.

Nipo nawaza mchumba wangu itakuwaje, ananipenda nampenda hajanikosea anajua kabisa ni lazima nitamuoa na tayari huku binti naye nishampa ujauzito na yeye ananipenda sana tu sielewi cha kufanya.

Binti kashaanza kusema mimba hatoi na ofcourse na mimi sitaki aitoe kibaya zaidi anasema anahitaji kupajua kwetu na kujua ndugu zangu in case ikitokea lolote basi ajue anaanzia wapi.

Huyu mchumba wangu simu kila mara sijui kanusa nini yani simu na meseji ni almost kila muda na huyu Binti nilichokosea sikumwambia kwamba nina mchumba na tuna mpango wa kuja kufunga ndoa.

Plz naomba ushauri nifanye nini katika hali kama hii, nataka kucheza fair.

View attachment 3194170
Una uhakika yule uliyemuacha Mkoani unampenda kweli?
Mbona ni kama Unataka kumuacha?
Na huyo wa pili Kisa cha kulazimisha kwenda kwenu ni nini?
Nasimama na mdada uliyemsaliti 😜
 
Chief jaribu hivi.

Mwambie ukweli huyo mwanamke kuwa una mchumba wako wa siku nyingi, na ulipanga kuoana nae ila sababu ya umbali ukajikuta unaanza mahusiano mengine yaliyopelekea yeye kubeba mimba.

Ukimaliza huko, kama mchepuko kaelewa somo, fanya chapu muoe mchumba wako wa mwanzo( ila tu kama unampenda ,usioe kwa kumuonea huruma muda uliompotezea).

Mkishaoana ndio badae uje kumwambia ukweli wote kua una mtoto ila mchepuko ulikuficha kuhusu hiyo mimba, so now mchepuko kaniambia kuhusu mtoto wangu nmeona sio mbya nikakuomba msamaha.



Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
SIKUAMINI NA LEO TENA NIMETOKA KUCHUKUA VIPIMO NIMEMPIMA HOME IMO WAZEE NASHINDWA KUELEWA CHA KUFANYA NAANZAJE KUMWAMBIA UKWELI MCHUMBA WANGU NA NAJIULIZA HII DISAPPOINTMENT NITAIHENDO VIPI
Hii ndio sababu tukipokuwa shule ilikuwa nilazima usome biology.

Ukisex bila kutumia kinga tegemea mimba kutokea.
 
Back
Top Bottom