Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Daah hongera mkuu...... Hiyo hata mwezi unaisha haifiki mshahara...kwangu hela ya mboga hio mkuu
Nakubali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah hongera mkuu...... Hiyo hata mwezi unaisha haifiki mshahara...kwangu hela ya mboga hio mkuu
usikubali kulipwa mshahara Karen hiiDaah hongera mkuu...... Hiyo hata mwezi unaisha haifiki mshahara...
Nakubali
Amuoe, huyo mwingine awaachie wanaume wenzake 😹😹Nshamuambia ndo wana kuwa source ya single maza......
Wakija humu ni kujikuta saints
Amuoe....
ni kweli sasa mkuu hiyo capital bado haifiki.... Mzee wanguusikubali kulipwa mshahara Karen hii
Hapo ndo aamue mwaka huu hatutak kesi za kuzalisha na kukimbia 😂Amuoe, huyo mwingine awaachie wanaume wenzake 😹😹
Kama ni yako lea kisha uje utoe mlioKwahiyo mimba siyo yangu au sio?
Mmnh ,. Hapo maanake jamaa kamcheat mpenzi wakeHuo tunaita uchoyo.
Kizuri kula na wenzio
Mpka anakubebea mimba we oa huyo na uleee mtoto wako maisha yaende hapoHabari yenu ndugu zangu.
Niende kwenye mada.
Mimi nina mchumba wangu toka mwaka juzi tupo kwenye uchumba na mwakani tumepanga kufunga ndoa.
Sasa mwaka jana mwezi wa 6 nilipata transfer nikahamia mkoa mwingine (Kaskazini hukuhuku).
Sikuweza kuhama na mchumba wangu kwasababu hatukuwa tunaishi pamoja hata hapo awali na alikuwa na mishe zake anafanya kwahyo nikamuacha huko mkoani (nilipohamia ni mkoa jirani tu na alipo yeye).
Sasa mwezi wa 9 nikakutana na binti mmoja katika mazingira ambayo yalifanya tubadilishane namba na hatimaye tukaanza kuwasiliana na kujikita tupo kwenye mahusiano ya rasharasha.
Kadri siku zilivokuwa zinaenda mapenzi yakaanza kukolea.
Wiki iliyopita alianza kunambia anajisikia vibaya mara kichwa mara kichefu chefu mara tumbo.
Majuzi kaenda kupima kaambiwa ana mimba ya wiki mbili kasoro na highly probably ni mimba yangu kwahesabu nilizopiga na hata hivo binti hana mambo mengi.
Nipo nawaza mchumba wangu itakuwaje, ananipenda nampenda hajanikosea anajua kabisa ni lazima nitamuoa na tayari huku binti naye nishampa ujauzito na yeye ananipenda sana tu sielewi cha kufanya.
Binti kashaanza kusema mimba hatoi na ofcourse na mimi sitaki aitoe kibaya zaidi anasema anahitaji kupajua kwetu na kujua ndugu zangu in case ikitokea lolote basi ajue anaanzia wapi.
Huyu mchumba wangu simu kila mara sijui kanusa nini yani simu na meseji ni almost kila muda na huyu Binti nilichokosea sikumwambia kwamba nina mchumba na tuna mpango wa kuja kufunga ndoa.
Plz naomba ushauri nifanye nini katika hali kama hii, nataka kucheza fair.
View attachment 3194170
Na unga mkono hoja, aache tamaa kama ya bwana fisi atakuja kupasuka msamba.Amuoe, huyo mwingine awaachie wanaume wenzake 😹😹
Bas ni yako mkuuKama ni yako lea kisha uje utoe mlio
Mkuu usilete utaniHizi IDs mara nyingi zinaakisi yaliyomo
Mleta mada anajiita MtotoKautaka eti 😂😂😂
Kwa hiyo MtotoKautaka ukampa,,, sasa vimistari vimekolea namna hiyo 😂
Nashukuru sanaChief jaribu hivi.
Mwambie ukweli huyo mwanamke kuwa una mchumba wako wa siku nyingi, na ulipanga kuoana nae ila sababu ya umbali ukajikuta unaanza mahusiano mengine yaliyopelekea yeye kubeba mimba.
Ukimaliza huko, kama mchepuko kaelewa somo, fanya chapu muoe mchumba wako wa mwanzo( ila tu kama unampenda ,usioe kwa kumuonea huruma muda uliompotezea).
Mkishaoana ndio badae uje kumwambia ukweli wote kua una mtoto ila mchepuko ulikuficha kuhusu hiyo mimba, so now mchepuko kaniambia kuhusu mtoto wangu nmeona sio mbya nikakuomba msamaha.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app