Pascal Mayalla alishauri sio kila ukweli usemwe.Fata moyo wako unaempenda. Sio kufata mtoto. Kama binti mwenye mimba ndiye unamkubali chukua huyo, kama ni huyo wa mkoani nenda kamwambie atakusamehe
Amwambie mchumba ameteleza, waendelee na mipango, huyu mjamzito amwambie atalea mtoto!..sitaki kusema makosa yako kwasababu yashatokea....ila natoa ushauri kutokana na hali ilivyo....
hapo jambo bora zaidi ni kumwambia yule mchumba ako uliyetaka kumuoa hali halisi....mwambie kama atafute mtu mwengine wewe tayari kuna.mtu mwengine ushampa mimba
Kama ulikuwa kwenye mawazo yangu hakuna kuachia watu chenji aoe huyo alomtia mimbaHalafu kwenye nyuzi za kuwakandia single maza mnajazana ?
Mkuu mwenye mimba yake kasema anampenda huruma inatoka wapi halafu upumbavu sehem ya pili ni kulala na mwanamke bila kuvaa condom wakati huna lengo la kuitwa babaUsioe mwanamke kwa kumuonea huruma mfano kwa sababu ya mimba
Halafu huyo mchumbako mbona huko alipo watu wanajipigia tu unamwogopea nini sasa?
Wanawake ni wapumbavu sana anaona kabisa yuko siku za hatari na bado anakubali kutombwa kavu mtaishia kuwa single moms
New single mom in town anakuja
ImagineeeeeeeHalafu kwenye nyuzi za kuwakandia single maza mnajazana ?
Yaani atelekeze mimba au sijaelewa?Just imagine ndo huyo mchumba wako yeye ndo amefanya hiki ulichofanya wewe? Ungechukua maamuzi Gani?
Huwezi kumsaliti unayempenda Mkuu! Tunawasaliti wale tunaowatamani kwani hata wakijua tuaamini hakuna madhara tutakayopata.
Ushauri wangu ni kuwa muwazi kwa huyu uliyempa mimba kuwa una mchumba ila ulimficha ... Sikiliza atakachosema!
Asilimia 85 ya wabunge wa CCM hawatarudi 2025
Gusa achia iingiee....lol"Gusa Achia,,Twende Kwao"
Mkuu mwenye mimba yake kasema anampenda huruma inatoka wapi halafu upumbavu sehem ya pili ni kulala na mwanamke bila kuvaa condom wakati huna lengo la kuitwa baba
Hapana huo ni ukatili! Amuweke wazi tu kuwa alikuwa na mtu ila amlishindwa kumweleza.Yaani atelekeze mimba au sijaelewa?
kwa mimi kipaumbele ni mtoto so ningedili na mama kijacho. But kwanza ningewaweka wazi wote kilichotokea kisha ningefocus na mama kijacho. Huyo mchumba kwa miaka mitatu mliyozini hakupata hata mimba mwenzie kamuovateki kaja juzi na mimba juu. Watu wanajua kujiongeza.Habari yenu ndugu zangu.
Niende kwenye mada.
Mimi nina mchumba wangu toka mwaka juzi tupo kwenye uchumba na mwakani tumepanga kufunga ndoa.
Sasa mwaka jana mwezi wa 6 nilipata transfer nikahamia mkoa mwingine (Kaskazini hukuhuku).
Sikuweza kuhama na mchumba wangu kwasababu hatukuwa tunaishi pamoja hata hapo awali na alikuwa na mishe zake anafanya kwahyo nikamuacha huko mkoani (nilipohamia ni mkoa jirani tu na alipo yeye).
Sasa mwezi wa 9 nikakutana na binti mmoja katika mazingira ambayo yalifanya tubadilishane namba na hatimaye tukaanza kuwasiliana na kujikita tupo kwenye mahusiano ya rasharasha.
Kadri siku zilivokuwa zinaenda mapenzi yakaanza kukolea.
Wiki iliyopita alianza kunambia anajisikia vibaya mara kichwa mara kichefu chefu mara tumbo.
Majuzi kaenda kupima kaambiwa ana mimba ya wiki mbili kasoro na highly probably ni mimba yangu kwahesabu nilizopiga na hata hivo binti hana mambo mengi.
Nipo nawaza mchumba wangu itakuwaje, ananipenda nampenda hajanikosea anajua kabisa ni lazima nitamuoa na tayari huku binti naye nishampa ujauzito na yeye ananipenda sana tu sielewi cha kufanya.
Binti kashaanza kusema mimba hatoi na ofcourse na mimi sitaki aitoe kibaya zaidi anasema anahitaji kupajua kwetu na kujua ndugu zangu in case ikitokea lolote basi ajue anaanzia wapi.
Huyu mchumba wangu simu kila mara sijui kanusa nini yani simu na meseji ni almost kila muda na huyu Binti nilichokosea sikumwambia kwamba nina mchumba na tuna mpango wa kuja kufunga ndoa.
Plz naomba ushauri nifanye nini katika hali kama hii, nataka kucheza fair.
View attachment 3194170
Akili yako imeganda, nililala naye tar27 mwez wa 12 haya mpka siku naleta huu uzi ni muda gani? Unafikiria kwamba hao wanawake wakijinga mnaowapata ndo kila mtu anawapata wa hivo? Mwanamke humjui kaa kimyaTayari kichwa panzi umeshabambikiwa MIMBA.
Hicho kipimo kwa akili yako hapo kinasomaje ujauzito wa wiki mbili??!!!stuka umepigwa na umbumbu wako๐๐๐ yaani wamekusoma kuwa ww mgeni wakakupa na MIMBA.
Ungekuwa unahudhuria vikao vya wanaume haya yote yasingekukuta. Haya pambana kuleo watoto wa wanaume wenzako.
Mkiwa wageni sehemu mtulie kwanza kusoma mazingira. Kimeshakuramba unakuja JF kutupigia kelele.
#Kataa ndoa,ndoa ni utapeli!!!
We mshamba tu, ungekuwa mjanja na mzoefu wa wanawake usingekuja kuomba ushauri hapa kwa ujinga ulioufanya.Akili yako imeganda, nililala naye tar27 mwez wa 12 haya mpka siku naleta huu uzi ni muda gani? Unafikiria kwamba hao wanawake wakijinga mnaowapata ndo kila mtu anawapata wa hivo? Mwanamke humjui kaa kimya
Haaya poa MkuuWe mshamba tu, ungekuwa mjanja na mzoefu wa wanawake usingekuja kuomba ushauri hapa kwa ujinga ulioufanya.
Nini hicho kiingie mtani!!iingiee
Ukioa mwanamke kwa sabab ana mimba yako au mtoto wako. Anakua mzigoPascal Mayalla alishauri sio kila ukweli usemwe.
Nakumbuka niliambiwa nisioe mwanamke kwa sababu tu nimempa mimba. Bali awe amefikisha vigezo vingine ambavyo nilikuwa navyo kwa ajili ya mwenza.