Naomba ushauri nimekwama kimapenzi, niufuate moyo wangu au akili?

Naomba ushauri nimekwama kimapenzi, niufuate moyo wangu au akili?

Wasanii wa kike wa Bongo Movie wapo wapi wake waichukue hi script wakatengeneze movie wapige nayo hela

BTW, nakushauri piga chini huyu chawa wako endelea na shughuli zako atakuja mwingine atakayekidhi vigezo vyako
 
Wasanii wa kike wa Bongo Movie wapo wapi wake waichukue hi script wakatengeneze movie wapige nayo hela

BTW,nakushauri piga chini huyu chawa wako endelea na shughuli zako atakuja mwingine atakayekidhi vigezo vyako
😁😆😄
 
66DB1C98-0C6B-49B3-BB41-30ECB2E9F6F8.jpeg
Foo kabisa 😅😅😅
 
Hanifer Mjanja nmeamin kwel ww n mjanja 🤕🤒 but if this is true then you need prayers friend coz you out of your senses*
 
Hello JF, nina miaka 27, sijaolewa bado ila nina mchumba na kashajitambulisha kwetu. Mimi nafanya kazi kwenye NGO ya kimataifa (ni daktari kitaaluma) nina kipato kizuri tu, huyu kaka yeye hana kazi, nimejaribu kumpa mtaji kila mara anakula mpaka sasa hivi nimechoka. Tuko kwenye mahusaino huu ni mwaka wa nne sasa. Mimi ndiyo namhudumia kwa kila kitu tunaishi kwangu lakini Kaka nalazimika kuigiza kuwa naishi kwake ili tu
Dah ama kweli wee elimu haijakusaidia
 
Duh!!! Pole sana
Ngoja abadilishe documents zako ziwe zake ndio utalijua jiji. Huyo ni Marioooo, wewe hakupendi. Nenda kaombewe, na pia washirikishe ndugu zako na ukiweza waje kuishi nawe kwa sasa. Na hapo wakusaidie kumuondoa. Hakikisha unapeleka kwingine unapopaamini documents zako zote.
 
Hello JF, nina miaka 27, sijaolewa bado ila nina mchumba na kashajitambulisha kwetu. Mimi nafanya kazi kwenye NGO ya kimataifa (ni daktari kitaaluma) nina kipato kizuri tu, huyu kaka yeye hana kazi, nimejaribu kumpa mtaji kila mara anakula mpaka sasa hivi nimechoka. Tuko kwenye
Siamini, hii ni story tu. Kama ni kweli, basi umechanganyikiwa.
 
Hello JF, nina miaka 27, sijaolewa bado ila nina mchumba na kashajitambulisha kwetu. Mimi nafanya kazi kwenye NGO ya
Dada, tubu na urudi kundini (kama ni Mkristo), hiyo miaka 4 ya kwenye mahusiano maana yake mlianza mahusiano na ukiwa 23 yrs. Hadi umefika 27 yrs hujafahamu kama huyo jamaa ni mume au mwanaume?

Vv
 
Hello JF, nina miaka 27, sijaolewa bado ila nina mchumba na kashajitambulisha kwetu. Mimi nafanya kazi kwenye NGO ya kimataifa (ni daktari kitaaluma) nina kipato kizuri tu, huyu kaka yeye hana kazi, nimejaribu kumpa mtaji kila mara anakula mpaka sasa hivi nimechoka. Tuko kwenye mahusaino huu ni mwaka wa nne sasa. Mimi ndiyo namhudumia kwa kila kitu tunaishi kwangu lakini Kaka nalazimika kuigiza kuwa naishi kwake ili tu kumlindia heshima yake.
Pamoja na kufanya kazi na NGO za kimataifa lakini naona akili ni ya kijijini.
Mtu
1. Mzinzi
2. Unamhudumia
3. Unajinunulia zawadi
4. Unajilipia magari.
5. Anakula mitaji ya biashara
Huoni kuwa uko na tapeli? Sio amebakisha tu kukuroga alale na wanawake wengine na ulipe mshahara.
Dada unawaza nini? Amka acha kujifanya uko NGO za kimataifa.

Mungu atakusaidia. Jipe moyo
 
Ningekua karibu na wewe kama ni kweli usemayo ningekuzaba bonge la.kofi. mpaka uzinduke huko kuzimu ulipo.
 
Back
Top Bottom