Hanifer Mjanja
JF-Expert Member
- Dec 10, 2019
- 217
- 329
- Thread starter
- #41
Ya kutembelea๐ mungu alikupa miguu ya nini _๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kutembelea๐ mungu alikupa miguu ya nini _๐๐๐๐
Asante kwa ushauriUfuate moyo wako lkn usiache akili zako kando. Hiyo shauku yako ya kuolewa imeshakupeleka siko
Maneno kuntu. AsanteHanifer Mjanja sasa wewe ni mjanja wa kitu gan?
Mda umetosha sasa wa kupuuza akili yako na kuendekeza hisia zikuongoze. Ruhusu akili zako kufanya kaz sasa.
Wewe dada/kaka usijilazimishe kuwa kwenye mahusiano na mtu ambaye unaona kabisa hana sifa za kuwa mme/ mke bora wala mama/ baba bora maana baada ya yote ayo ni kujenga familia iliyo imara je hio ndio familia unayoitaka siku moja kuiona ukiijenga ya baba mpumbavu?
Tatepa kwako, uhalisia kwangu. How i wish it was TATEPA for real.Tatepa
I wish ingekua chai my dear.chai kavu hakuna anaeweza kuvumilia huo ujinga
Asante kwa ushauri dearHata huo moyo wako nao inabidi tuufanyie upembuzi yakinifu...yaani kwa hali hiyo bado moyo wako unamtaka huyo mwanaume suruali? Anyways...fuata akili
I real wish it was a dry tea dear.It looks like a tea, dry black tea
Tupatie vitafunwa tafadhari bwana daktari
Elimu haina nafasi kwenye mapenzi.Darasa la saba anamwongoza daktari
Hii tunaita kupatwa kwa moyo
Natamani ingekua chai my dear, but its my realityDaktari, ulipitaje medical school kwa akili hii? Unahitaji kuonwa na psychiatrist. Sidhani kama uko sawa mentally. Inanukia kama chai lakini.
Usinitukane dear. Mapenzi yanaweza kukufanya ukafanya vitu hadi ukaonekana mjinga kabisa.Tumia Moyo maana huna akili
Asante kwa ushauri wako. Nitaufanyia kazi.Pamoja na kufanya kazi na NGO za kimataifa lakini naona akili ni ya kijijini.
Mtu
1. Mzinzi
2. Unamhudumia
3. Unajinunulia zawadi
4. Unajilipia magari.
5. Anakula mitaji ya biashara
Huoni kuwa uko na tapeli? Sio amebakisha tu kukuroga alale na wanawake wengine na ulipe mshahara.
Dada unawaza nini? Amka acha kujifanya uko NGO za kimataifa.
Mungu atakusaidia. Jipe moyo
I really need prayers...!!!๐ฅฑ๐ฅฑHanifer Mjanja nmeamin kwel ww n mjanja ๐ค๐ค but if this is true then you need prayers friend coz you out of your senses*
๐คฃ๐คฃ shenzi zakeniliandika nikafuta nikafuta nikafuta tena nikafuta baada ya kujua umeleta uzi wa idd makengo mxiiuuuu๐๐ฃ๐ฃ
Elimu haihusiani na mapenzi mkakaDah ama kweli wee elimu haijakusaidia
Sasa wee sii daktari u ashindwa vipi kutibu moyo wako?Elimu haihusiani na mapenzi mkaka
Nitafute inbox nikushauriHello JF, nina miaka 27, sijaolewa bado ila nina mchumba na kashajitambulisha kwetu. Mimi nafanya kazi kwenye NGO ya kimataifa (ni daktari kitaaluma) nina kipato kizuri tu, huyu kaka yeye hana kazi, nimejaribu kumpa mtaji kila mara anakula mpaka sasa hivi nimechoka. Tuko kwenye mahusaino huu ni mwaka wa nne sasa. Mimi ndiyo namhudumia kwa kila kitu tunaishi kwangu lakini Kaka nalazimika kuigiza kuwa naishi kwake ili tu kumlindia heshima yake.
Namfanyia kila kitu ila ni mtu wa wanawake mpaka nachoka, anaweza kuongea na wanawake wengine mbele yangu bila kujali hisia zangu. Najaribu kuigiza kwenye mitandao, mpaka kufikia hatua nimefungua account Instagram kwa jina lake, najipost kwenye ukurasa wake ili watu wajue tu kuwa nina furaha. Ninajinunulia zawadi, nalipia tutoke out naye ili tu watu wajue ananijali lakini hakuna kitu, nimechoka na sijui nifanye nini.
Mwezi uliopita nilimpeleka kwetu, nikajilipia mahari, nikanunua pete na kugharamia kila kitu ili tu anioe kwani nyumbani kila siku wananipigia kelele kuhusu ndoa. Baada ya kuvalishana pete nikamuomba tuende Zanzibar, mimi nikalipia kila kitu lakini akagoma kwenda, kwakua nilishawaambia marafiki zangu nilimbembeleza sana akakubali ila kwa sharti aende na mwanamke wake.Nilikubaliana na sharti lake, nikamlipia hoteli yeye na mwanamke wake, akalala naye mimi nimelala mwenyewe yeye akaja kwangu kupiga picha tu.
Nimerudi niemchoka, najihisi kuchanganyikiwa kwani anataka kunioa ila sioni kama nitakua na furaha. Nilikua naamini kuwa labda atabadilika ila kila nikitafakari, akili inaniambia hakuna kitakachobadilika, ila moyo hautaki. Mama yangu anampenda, ndugu zangu wanampenda, wanajua amesoma kumbe ni darasa la saba, wanajua na kazi nzuri kumbe hata gari anayoendesha na kuzunguka wanawake zake ni yangu, nisaidieni ushauri nifanye nini? Niufuate moyo wangu au akili yangu?
Huna haja ya kuomba uongozi, hiyo ndoa ukiingia majuto yake yatakuwa makubwa kuliko uliyoyapitia/unayoyapitia.Asante kwa ushauri wako. Nitaufanyia kazi.
Kwa kweli nasali sana kuomba uongozi wa roho mtakatifu.