Naomba ushauri nimekwama kimapenzi, niufuate moyo wangu au akili?

Kwa ni kipim kinachokufanya wewe uvimilie ata kwa kukuvunjia sheria. acha kuudanganya ulimwengu wa njee ukweli utabaki kuwa ukweli hakupendi ndio maana ana nguvu za kukudanganya kukuletea wanawake ndani usitake kuforce mahusiano yakayokuumiza kesho yako ili tu uwalidhishe nyumbani fanya maamuzi kwaajili ya kesho yako
 
Umetuona sisi ni maboya wa kutunywesha hii chai?
 
Nadhani utakua Daktari wa mijusi kama uwezo wako wa kuchambua na kutafakari umeishia hapo
 
Hata sijamaliza kusoma natamani hata mpalange awe amuachana chana kisokolokwembe pumbavu
 
Duh,we kwelii umekwama. Umelogwa wewe si bure,stuka
 
Chai ya iliki hii
 
Ukamlipia hotel yeye na mwanamke wake? Umejinunulia pete? Umejilipia mahari? Unajipost mitandaoni kwa account fake?

Well, you are not only very stupid, you need your head examined. You have lost your mind completely
 
PIGA CHINI HUYO UMBWA

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Endelea kulea bomu, mpaka siku litakapokulipukia. Unataka MUNGU akuoneshe vipi kwamba huyo sio mumeo. Acha kuwa kipofu kwa jambo lililowazi. Muda haurudi nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…