Naomba ushauri nimekwama kimapenzi, niufuate moyo wangu au akili?

Yan ulimlipia hotel alale na Mwanamke wake [emoji15]
Hebu acha kutupanga bhana, ndio nini sasa ili iweje [emoji48]
 
Pambafffffff

Unatuchukuliaje wewe mkumbaaff?
 
Pole sana. Je umelidhia kuwa mke wa pili?, Au nini mipango yake huyo ndugu.
 
Mrejesho ๐Ÿ˜๐Ÿ‘€๐Ÿ‘€๐Ÿ‘€
 
Wewe sio Hanifer Mjanja, bali Hanifa Mjinga. Unaziniwa mwaka wa nne sasa, na unafurahia. Kwa nini msifunge ndoa?

Utaziniwa hadi uchakae na atakaeolewa ni mwingine.
 
Hakunaga utumbafu wa kiwango hiki hata kama wewe ni zezeta, yaani eti ulipie safari ya Zenji halafu aje na mwanamke wake wewe uishie kupiga picha!?. Unatuonaje lakini kutupiga fix za kitaahira 'namuna' hii??[emoji24]
Hata Iddi Makengo hawezi kuandika stort ya hivi
 
Huyu Leo kaamua kutunywesha chai Tena ya Moto kupitiliza, Duniani Hakuna mwanaume mwenye tabia za hovyo namna hiyo.
 
Chai
 
Utakua umerogwa si bure, kweli penye miti hakuna wajenzi
 
Unaakili fupi kweli hivi wewe ni wa kumlipia mwanaume wako na mchepuko wake kwenye function yako. Your not serious.


Lakini ningekuwa na uhusiano na wewe ningekuwa mbali sana.
 
Ukilitafakari juu juu andiko hili unaeza ona kama ni chai, lakini in some strange way, wanawake hasa walio katika/around umri wa mleta maada, wanakuwaga obsessed sana na kuolewa. SANA. Na wako tayari kufanya lolote in their grasp kumhold mwanaume awaoe, hata kama anamapungufu yanayoonekana wazi.

Ningeweza kusema hii ni chai kama nisingekuwa nimeshuhudia kitu cha namna hii kikitokea kwa mwanamke nnaemfahamu kabisa. Katika scenerio hii, the ending is alway, ALWAYS worse.
 
Acha ujinga kimbia kimbia hapo unachunwa tu hakuna mapenzi mwanaume anasaidiwa lakini sio kwa kiwango hicho acha kujivika majukumu ambayo sio ya kwako,amka
 
[emoji419]Pole dada yangu kwa kudate na yahoo boy,ila ushauri wangu ni kuwa dalili zote mbaya(RED FLAGS) kwa huyo mwanaume wako umeziona labda nikutajie: He is lazy|Hakupendi|Hakuheshimu|Hawezi kuwa mume na baba bora kwa watoto wako LAKINI pia na wewe una shida kwa sababu umekubali kumlea na kumfuga huyo mwanaume hivyo be ready to be punished by him...HIVYO fanya hivi; Kwanza withdraw all of the supports you have been granted him||mtoe kabisa kichwani kwako na moyoni||walk away||and move on[emoji41]!!!! You know what you are doing...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ