Naomba ushauri nimewakosea sana wanaoenda kuwa wakwe zangu kutokana na mkanganyiko wa familia yangu/Sikutokea siku ya Send off

Huu uzi niliuona toka jana ila sikutaka kuufungua. Kila nikipita nauona unatrend hivyo nimeona acha na mimi niufungue nione kuna nini. Ninachoweza kuchangia ni hiki "Mleta mada wewe ni fala na katiri sana, hustahili kuishi kwenye jamii ya watu waliostaarabika, na ndio maana aliyekuzalisha alikuacha".
 
Hufai kuwa mke wewe,unamaamuzi ya papara ,nadhani Mungu kamuepusha jamaa na majanga makubwa dhidi yako,unakataa kuolewa na mtu mwenye mke huku ukiwa huna ushahidi kuwa ana mke au laah,huku wewe ushahidi upo wazi kuwa una mtoto.

Tena kwa ubaya zaidi hutaki wakwe zako wajue kuwa ushawahi zaa,hujui kuwa hili litaleta baraa katika familia ya Mme pindi wakijua kuwa ulishawahi zalishwa.

Mwisho nakushauri uachane na kijana Wa watu,tafuta mtu Wa saizi yako,tambua pia ukweni hawana imani na wewe tena vyovyote iwavyo kamwe hawawezi kukuamini na kukuona wewe mtu Wa thamani kwa haya uliyofanya.
 
Naona umeamua kuja kuthibitisha hapa sababu ya kuzalishwa na kuachwa. Kwa namna yoyote ile huyo jamaa hatakiwi kukukubali tena. Pole sana
 
Mungu akupige laana we dada yaani uvimbe hata jipu katkati ya matak* Jinga sana we dada alafu unataka ushairiwe nini sasa...
 
Usithubutu kuolewa nae kwanza kwa mwanaume timamu hawezi kukuoa tena..


Kaombe msamaha familia yao endelea na maisha yako..

Nahisi km jini mkata kamba aliwapitia hivi
 
Kwanini mlivyopata habari jamaa kaoa hamkuwaambia wahusika ili wasitishe safari? Wewe na ukoo wako mnatabia mbaya

naunga hoja mkono mlishindwa vip kutoa taarifa kwa wahusika hasira hasara dada umevuna ulichopanda
 
Ulivyopata habari tu kama kaoa ama la ungemface kumuuliza, upumbavu ni wako...
ashafeli kuwa mke bila kuingia kwenye ndoa sikulaumu ila umewapa watu kuyapokea yao hvi unafikri kijan watu alipitia wakat gani embu jiulize.......
 
Waelezee ukweli wakwe zako kwanini ulikimbia, sababu za wewe kukimbia zinaeleweka, kuoa au kuolewa siku hiz ni bahati, kajaribu bahati yako ndoa ni kujipanga coz waliopo kwenye ndoa wanatamani kutoka
Angewaambia tatizo kuliko kuwaacha kwenye mataa

Wanyakyusa hatupendi dharau

Asijisumbue
 
Na kama mjomba ndio alifanya hayo lazima yametoka kwa mama asiyeitaka ndoa
 
Sijui wanawake wamekaririshwa na nani hii aina ya wivu. Wewe una mtoto ambaye hukuzaa na huyo mume mtarajiwa. Kwa upendo wake akaamua kukupokea wewe na mwanao na alijua kabisa hapa sio hadhi yake. Wewe kusikia tu ana mke tena bila uthibitisho unamblock na hasara ya maandalizi kwa upande wa mume mtarajiwa. Wamechangishana weee ila ukaona ni jambo dogo tu usimtafute na kujidhihirishia. Wallah ningekuwa mimi huyo mwanaume eti unakuja kuniomba msamaha ungeangukia kwa watuhumiwa wa uhujumu uchumi. Kuna watu wana maudhi hata unajiuliza walizaliwa kwa ajili gani. By the way baba wa mtoto ulimpa taarifa kuwa unaolewa?
 
Yani wewe single maza afu unauchukia uke wenza.... Mungu anakuona ujue.

Ila Mungu hamtupi mja wake,hakuna kinachotokea kwa bahat mbaya....uyo jamaa ashukuru sana.
 
Mpaka hapo wewe jiandae kuwa single mother tu, sahau habari za ndoa,maana kwa ulichowafanyia ndugu zangu has ka nakwambia maumivu yao utayabeba mpaka unazeeka!

Ila pole kwa kufanyia kazi habari za kuambiwa bila kufanya uchunguzi binafsi

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
 
Mama yako anaona mbali Kuna kitu kikubwa Sana hapo umeepushiwa bila kujua just move on haikua riziki yako!!
 
Wa kwanza kulaumiwa ni wewe wa pili ni ndugu zako hamkuwa na umoja ili kumaliza jambo lenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…