Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba mbili kwanzaaa.... Hilo la kurudisha kishika uchumba mpaka waombe waoKama nilivyoeleza awali kupitia Uzi ambao niliuweka week hii
Nimeamua kuwaambia ukoo wangu, Kuanzia Mama sina Baba R.I.P
Mashangazi, Baba Mdogo na wajomba nia yangu ya dhati kuiomba msamaha familia ya ambaye alikuwa mchumba wangu,
Naenda kuomba msamaha nikitegemea maswali magumu,
Naenda Kuomba msamaha nikijua maumivu na uchungu hata hasara waliyopata kutoka Mbeya hadi Ngara,
Hatua ya Kwanza
Nimeamua niangalie upepo ndani ya familia yangu, idadi ya wanaonisapot,
Niangalie mtazamo wao juu ya kwanini nasukumwa kuomba msamaha,
Tatu naangalia dhamira yangu na msukumo wa moyo wa dhati,
Nne Nimeamua kuwashirikisha ndugu na kuwaambia sitaenda moja kwa moja kwa wakwe ila ntaenda kwa mshenga
Tutaenda timu ya watu 7 watu wazima sita na mimi nikiwa wa saba, katika timu hiyo mama aneendelea kugoma kutoshiriki, Nimepata shangazi mama mdogo na baba mkubwa,na wengine
Tutaelekea kwa mshenga kuomba radhi, na kueleza sababu za kutokuwapo kwenye send off alafu tumuombe atuombee msamaha,
Baada ya wao kujua tunaomba msamaha kup kwa mshenga
Nimeandaa kishika uchumba walicholipa na nimeandaa wazee 5 na wanisindikize Mbeya kutoka Ngara kwenda kuomba msamaha na pia kabla ya kufika kwenye familia ya wakwe, tutapitia kwenye parokia iliyokaribu kumuona kiongozi wa dini atupe mwongozo na kumuomba atupe ushirikiano kufika kule, pia tutaomba aambatane na wazee wa heshima wa Kanisa, hii nitaifanya tu hata wasipotoa jibu pitia kwa Mshenga
Nikifika nitakuwa na maombi mawili
1.Kuomba kusamehewa na kurudisha kishika uchumba chao
Ama
2.Kuomba kusamehewa na kuendelea na mchakato wa harusi kama watakua bado hawajapata mtu.
Naombenii mawazo yenu mengine pia
asante
Hii CHAI ila kwa mtindo wa Series S01E2.Kama nilivyoeleza awali kupitia Uzi ambao niliuweka week hii
Nimeamua kuwaambia ukoo wangu, Kuanzia Mama sina Baba R.I.P
Mashangazi, Baba Mdogo na wajomba nia yangu ya dhati kuiomba msamaha familia ya ambaye alikuwa mchumba wangu,
Naenda kuomba msamaha nikitegemea maswali magumu,
Naenda Kuomba msamaha nikijua maumivu na uchungu hata hasara waliyopata kutoka Mbeya hadi Ngara,
Hatua ya Kwanza
Nimeamua niangalie upepo ndani ya familia yangu, idadi ya wanaonisapot,
Niangalie mtazamo wao juu ya kwanini nasukumwa kuomba msamaha,
Tatu naangalia dhamira yangu na msukumo wa moyo wa dhati,
Nne Nimeamua kuwashirikisha ndugu na kuwaambia sitaenda moja kwa moja kwa wakwe ila ntaenda kwa mshenga
Tutaenda timu ya watu 7 watu wazima sita na mimi nikiwa wa saba, katika timu hiyo mama aneendelea kugoma kutoshiriki, Nimepata shangazi mama mdogo na baba mkubwa,na wengine
Tutaelekea kwa mshenga kuomba radhi, na kueleza sababu za kutokuwapo kwenye send off alafu tumuombe atuombee msamaha,
Baada ya wao kujua tunaomba msamaha kup kwa mshenga
Nimeandaa kishika uchumba walicholipa na nimeandaa wazee 5 na wanisindikize Mbeya kutoka Ngara kwenda kuomba msamaha na pia kabla ya kufika kwenye familia ya wakwe, tutapitia kwenye parokia iliyokaribu kumuona kiongozi wa dini atupe mwongozo na kumuomba atupe ushirikiano kufika kule, pia tutaomba aambatane na wazee wa heshima wa Kanisa, hii nitaifanya tu hata wasipotoa jibu pitia kwa Mshenga
Nikifika nitakuwa na maombi mawili
1.Kuomba kusamehewa na kurudisha kishika uchumba chao
Ama
2.Kuomba kusamehewa na kuendelea na mchakato wa harusi kama watakua bado hawajapata mtu.
Naombenii mawazo yenu mengine pia
asante
Next time kama ukiolewa epuka majungu, sio kila unaloambiwa uliamini bila kumsikiliza muhusika
Huo ndio utu! Tujifunze kutokana na makosa, natumaini umejifunza kuwa mawasiliano katika uhusiano wowote ni muhimu.Kama nilivyoeleza awali kupitia Uzi ambao niliuweka week hii
Nimeamua kuwaambia ukoo wangu, Kuanzia Mama sina Baba R.I.P
Mashangazi, Baba Mdogo na wajomba nia yangu ya dhati kuiomba msamaha familia ya ambaye alikuwa mchumba wangu,
Naenda kuomba msamaha nikitegemea maswali magumu,
Naenda Kuomba msamaha nikijua maumivu na uchungu hata hasara waliyopata kutoka Mbeya hadi Ngara,
Hatua ya Kwanza
Nimeamua niangalie upepo ndani ya familia yangu, idadi ya wanaonisapot,
Niangalie mtazamo wao juu ya kwanini nasukumwa kuomba msamaha,
Tatu naangalia dhamira yangu na msukumo wa moyo wa dhati,
Nne Nimeamua kuwashirikisha ndugu na kuwaambia sitaenda moja kwa moja kwa wakwe ila ntaenda kwa mshenga
Tutaenda timu ya watu 7 watu wazima sita na mimi nikiwa wa saba, katika timu hiyo mama aneendelea kugoma kutoshiriki, Nimepata shangazi mama mdogo na baba mkubwa,na wengine
Tutaelekea kwa mshenga kuomba radhi, na kueleza sababu za kutokuwapo kwenye send off alafu tumuombe atuombee msamaha,
Baada ya wao kujua tunaomba msamaha kup kwa mshenga
Nimeandaa kishika uchumba walicholipa na nimeandaa wazee 5 na wanisindikize Mbeya kutoka Ngara kwenda kuomba msamaha na pia kabla ya kufika kwenye familia ya wakwe, tutapitia kwenye parokia iliyokaribu kumuona kiongozi wa dini atupe mwongozo na kumuomba atupe ushirikiano kufika kule, pia tutaomba aambatane na wazee wa heshima wa Kanisa, hii nitaifanya tu hata wasipotoa jibu pitia kwa Mshenga
Nikifika nitakuwa na maombi mawili
1.Kuomba kusamehewa na kurudisha kishika uchumba chao
Ama
2.Kuomba kusamehewa na kuendelea na mchakato wa harusi kama watakua bado hawajapata mtu.
Naombenii mawazo yenu mengine pia
asante
[emoji23]mbongo anakushauri na dongo juu,,,feminist to be.Kwan wee ni MUHAYA ???.
Sijaona mantiki yako ya kwenda ukweni kuomba msamaha ukiwa na machaguzi mawili
Et naomba nisameheni , kama mtapenda kunisamehe ili tuendelee na ndoa, au mnisamehe ila niwarudishie kishika uchumba chenu...
Hii inaonyesha ,Bado huna Dhati thabiti ya kuomba msamaha na kile kikichofanya usitokee ndicho kinaendelea kukuweka njia panda kama katoto (kitindamimba ) ka shetani .
Ushauri wangu...
Nenda kwa kusudio la kumuomba msamaha mchumba wako ,asamehe yalotokea muendelee na mchakato.
Ili yeye na wakwao ndio wabaki wenye kuamua !!!!.
Nmefarijika tu kujua wee ni binti wa miaka 29 . .... Umebakiza miaka 2-3 , nawee uaanze kujiita Feminist!!!.