Naomba ushauri nimewakosea sana wanaoenda kuwa wakwe zangu kutokana na mkanganyiko wa familia yangu/Sikutokea siku ya Send off

Naomba ushauri nimewakosea sana wanaoenda kuwa wakwe zangu kutokana na mkanganyiko wa familia yangu/Sikutokea siku ya Send off

Wanawake wengi huwa hawajipi nafasi kuchunguza yale wayasikiayo.. hukurupuka. Ila unapaswa kuongea na muhusika mkuu ambaye ni mchumba wako huyo mkishayaweka sawa ndipo unaweza panga safari hiyo tarajiwa..
 
Kama nilivyoeleza awali kupitia Uzi ambao niliuweka week hii



Nimeamua kuwaambia ukoo wangu, Kuanzia Mama sina Baba R.I.P
Mashangazi, Baba Mdogo na wajomba nia yangu ya dhati kuiomba msamaha familia ya ambaye alikuwa mchumba wangu,

Naenda kuomba msamaha nikitegemea maswali magumu,

Naenda Kuomba msamaha nikijua maumivu na uchungu hata hasara waliyopata kutoka Mbeya hadi Ngara,

Hatua ya Kwanza
Nimeamua niangalie upepo ndani ya familia yangu, idadi ya wanaonisapot,

Niangalie mtazamo wao juu ya kwanini nasukumwa kuomba msamaha,

Tatu naangalia dhamira yangu na msukumo wa moyo wa dhati,

Nne Nimeamua kuwashirikisha ndugu na kuwaambia sitaenda moja kwa moja kwa wakwe ila ntaenda kwa mshenga

Tutaenda timu ya watu 7 watu wazima sita na mimi nikiwa wa saba, katika timu hiyo mama aneendelea kugoma kutoshiriki, Nimepata shangazi mama mdogo na baba mkubwa,na wengine

Tutaelekea kwa mshenga kuomba radhi, na kueleza sababu za kutokuwapo kwenye send off alafu tumuombe atuombee msamaha,

Baada ya wao kujua tunaomba msamaha kup kwa mshenga

Nimeandaa kishika uchumba walicholipa na nimeandaa wazee 5 na wanisindikize Mbeya kutoka Ngara kwenda kuomba msamaha na pia kabla ya kufika kwenye familia ya wakwe, tutapitia kwenye parokia iliyokaribu kumuona kiongozi wa dini atupe mwongozo na kumuomba atupe ushirikiano kufika kule, pia tutaomba aambatane na wazee wa heshima wa Kanisa, hii nitaifanya tu hata wasipotoa jibu pitia kwa Mshenga

Nikifika nitakuwa na maombi mawili

1.Kuomba kusamehewa na kurudisha kishika uchumba chao

Ama

2.Kuomba kusamehewa na kuendelea na mchakato wa harusi kama watakua bado hawajapata mtu.

Naombenii mawazo yenu mengine pia

asante
Namba mbili kwanzaaa.... Hilo la kurudisha kishika uchumba mpaka waombe wao

Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
 
Lipa gharama zote ulizowasababishia pamoja na kishika uchumba. Binafsi hutakiwi kusamehewa. Wanawake kama ninyi ndio mnasababisha wanaume wafe kwa stress za mapenzi. Unajua maumivu kiasi gani ulimsababishia huyo jamaa?
 
Duh...dunia, duara!

Omba msamaha usio na masharti.....utapata amani. I.e. Usiweke tegemeo la kuendelea na mchakano wa ndoa kama sababu ya kuomba radhi. Kama unaamini ulikosea, omba radhi tu bila kujali kama utaolewa nae ama la.
 
Kama nilivyoeleza awali kupitia Uzi ambao niliuweka week hii



Nimeamua kuwaambia ukoo wangu, Kuanzia Mama sina Baba R.I.P
Mashangazi, Baba Mdogo na wajomba nia yangu ya dhati kuiomba msamaha familia ya ambaye alikuwa mchumba wangu,

Naenda kuomba msamaha nikitegemea maswali magumu,

Naenda Kuomba msamaha nikijua maumivu na uchungu hata hasara waliyopata kutoka Mbeya hadi Ngara,

Hatua ya Kwanza
Nimeamua niangalie upepo ndani ya familia yangu, idadi ya wanaonisapot,

Niangalie mtazamo wao juu ya kwanini nasukumwa kuomba msamaha,

Tatu naangalia dhamira yangu na msukumo wa moyo wa dhati,

Nne Nimeamua kuwashirikisha ndugu na kuwaambia sitaenda moja kwa moja kwa wakwe ila ntaenda kwa mshenga

Tutaenda timu ya watu 7 watu wazima sita na mimi nikiwa wa saba, katika timu hiyo mama aneendelea kugoma kutoshiriki, Nimepata shangazi mama mdogo na baba mkubwa,na wengine

Tutaelekea kwa mshenga kuomba radhi, na kueleza sababu za kutokuwapo kwenye send off alafu tumuombe atuombee msamaha,

Baada ya wao kujua tunaomba msamaha kup kwa mshenga

Nimeandaa kishika uchumba walicholipa na nimeandaa wazee 5 na wanisindikize Mbeya kutoka Ngara kwenda kuomba msamaha na pia kabla ya kufika kwenye familia ya wakwe, tutapitia kwenye parokia iliyokaribu kumuona kiongozi wa dini atupe mwongozo na kumuomba atupe ushirikiano kufika kule, pia tutaomba aambatane na wazee wa heshima wa Kanisa, hii nitaifanya tu hata wasipotoa jibu pitia kwa Mshenga

Nikifika nitakuwa na maombi mawili

1.Kuomba kusamehewa na kurudisha kishika uchumba chao

Ama

2.Kuomba kusamehewa na kuendelea na mchakato wa harusi kama watakua bado hawajapata mtu.

Naombenii mawazo yenu mengine pia

asante
Hii CHAI ila kwa mtindo wa Series S01E2.
2457376_JamiiForums-621070314.jpg
 
Next time kama ukiolewa epuka majungu, sio kila unaloambiwa uliamini bila kumsikiliza muhusika

nilitaka kusema ivyo ivyo, umbea utakupeleka wapi dadangu unaona ulivyokucost ? next time punguza ujuaji na uwe na subira...wanawake kila anaemletea habari huwa wanamsikiliza kama vile zile habari za ukweli zote daaah huwa siwaelewi kwakweli
 
Dada you must be very desperate to get married. Wazo na tendo la kuomba msamaha ni nzuri sana. Do not expect to be trusted by either your boy friend or your in-laws. Omba msamaha na tafuta maisha elsewhere. Kufanya kosa siyo kosa ila kurudia ni kosa. Jipange upya my dearest single mum😭😭😭😭
 
Umeamua vyema, na nakupongeza kwa hilo ila suala la kutaka mchakato kuendelea hilo waachie wao waliseme.

Kazi yako kwa sasa ni kuomba msamaha tu.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
We chenga sanaa...

Mwanaume kama mimi nakusamehe ila ndoa hamna apo.
Labda kama jamaa naye awe chenga au umemzidi kipato au baadhi ya vitu otherwise you two have zero compactibility.

Na kama yeye ndo kakuzidi alafu awe hana mtoto na yeye!! am sorry my sister.
 
Ni Jambo la busara sana, ila mama yako mmh sisemi neno
 
singo maza mkurupukaji, hupaswi kuolewa, rudisha hela ya watu kwa TigoPesa
 
Kama nilivyoeleza awali kupitia Uzi ambao niliuweka week hii



Nimeamua kuwaambia ukoo wangu, Kuanzia Mama sina Baba R.I.P
Mashangazi, Baba Mdogo na wajomba nia yangu ya dhati kuiomba msamaha familia ya ambaye alikuwa mchumba wangu,

Naenda kuomba msamaha nikitegemea maswali magumu,

Naenda Kuomba msamaha nikijua maumivu na uchungu hata hasara waliyopata kutoka Mbeya hadi Ngara,

Hatua ya Kwanza
Nimeamua niangalie upepo ndani ya familia yangu, idadi ya wanaonisapot,

Niangalie mtazamo wao juu ya kwanini nasukumwa kuomba msamaha,

Tatu naangalia dhamira yangu na msukumo wa moyo wa dhati,

Nne Nimeamua kuwashirikisha ndugu na kuwaambia sitaenda moja kwa moja kwa wakwe ila ntaenda kwa mshenga

Tutaenda timu ya watu 7 watu wazima sita na mimi nikiwa wa saba, katika timu hiyo mama aneendelea kugoma kutoshiriki, Nimepata shangazi mama mdogo na baba mkubwa,na wengine

Tutaelekea kwa mshenga kuomba radhi, na kueleza sababu za kutokuwapo kwenye send off alafu tumuombe atuombee msamaha,

Baada ya wao kujua tunaomba msamaha kup kwa mshenga

Nimeandaa kishika uchumba walicholipa na nimeandaa wazee 5 na wanisindikize Mbeya kutoka Ngara kwenda kuomba msamaha na pia kabla ya kufika kwenye familia ya wakwe, tutapitia kwenye parokia iliyokaribu kumuona kiongozi wa dini atupe mwongozo na kumuomba atupe ushirikiano kufika kule, pia tutaomba aambatane na wazee wa heshima wa Kanisa, hii nitaifanya tu hata wasipotoa jibu pitia kwa Mshenga

Nikifika nitakuwa na maombi mawili

1.Kuomba kusamehewa na kurudisha kishika uchumba chao

Ama

2.Kuomba kusamehewa na kuendelea na mchakato wa harusi kama watakua bado hawajapata mtu.

Naombenii mawazo yenu mengine pia

asante
Huo ndio utu! Tujifunze kutokana na makosa, natumaini umejifunza kuwa mawasiliano katika uhusiano wowote ni muhimu.
Nimependa umekuwa na wazo kama nililotoa kwenye bandiko lako la awali, kuwa omba msamaha na rudisha kishika uchumba.
 
Ni vizuri kuomba msamaha Ila sidhni kama litakuwa Jambo jema kuolewa tena apoo maana sioni Amani ikiwa kwenye maisha yenu ya mbeleni ata kama ndoa itafungwa omba msamaha Rudisha pesa Yao angalia mbele labda wao ndyo wang'ang'anize mwanao akuowe tena Ila option iwe kwenda kuomba msamaha na kurudisha kishika uchumbw chao
 
Kwan wee ni MUHAYA ???.

Sijaona mantiki yako ya kwenda ukweni kuomba msamaha ukiwa na machaguzi mawili

Et naomba nisameheni , kama mtapenda kunisamehe ili tuendelee na ndoa, au mnisamehe ila niwarudishie kishika uchumba chenu...

Hii inaonyesha ,Bado huna Dhati thabiti ya kuomba msamaha na kile kikichofanya usitokee ndicho kinaendelea kukuweka njia panda kama katoto (kitindamimba ) ka shetani .


Ushauri wangu...


Nenda kwa kusudio la kumuomba msamaha mchumba wako ,asamehe yalotokea muendelee na mchakato.

Ili yeye na wakwao ndio wabaki wenye kuamua !!!!.




Nmefarijika tu kujua wee ni binti wa miaka 29 . .... Umebakiza miaka 2-3 , nawee uaanze kujiita Feminist!!!.
[emoji23]mbongo anakushauri na dongo juu,,,feminist to be.
 
Sipati Jambo Kama hili linskotokea umemchukua Bi mkubwa , Mama wadogo, wakubwa, shangazi, dada umewalundika kwenye coaster mpaka Ngara mda huo ushaingia gharama za kufa mtu..

Then wanafika Ngara simu zote hazipatikan, wanakuuliza huna jibu.
 
Back
Top Bottom