pharao
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 397
- 690
pyhton haikwepeki mzee, hakuna zaidi ya hiyo kwa eneo hili, Java ni takataka siku chache zijazoMimi nahisi AI kuwa advanced basi na Watalaamu wanatakiwa kuwa wengi hasa wenye uelewa zaidi ili kuzimanage, Ofcoz AI zitafanya mapinduzi makubwa lakini kwetu sisi ni fursa pia. As uwe mbunifu tu etc