Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
[emoji28][emoji28]Kwan kizuri kula na nduguyo, application yake si ndio kama hii??...
Nitafute mkuu tumshughulikieNinae jamaa mmoja wa dizain hiyo huwa anapenda kila dem ninaetoka nae yan kma huyo alieelezewa hapo juu. Mahamba sana yule jamaa nataka nimpige tukio mojaa kummkee yulee. Anaona nacheka usoni kumbe kuna jambo nitamfanyie hatosahau
Huyo sasa ndiye rafiki wa kweli. Anakusaidia kuchuja pumba na mchele. Anakusaidia kuchagua wife material kwani in the real life, mwanamke yeyote hukutana na wanaume wengi watakaomtongoza. Shida iko wapi kama demu anakupenda? Demu kama anakupenda na ni mwaminifu hata akitongozwa hawezi kukubali. Sana sana atakuja kukuambia. Na akikubali basi piga chini huyo hakufai.Habari mwanaJF, naomba ushauri rafiki yangu huwa na tabia ya kutongoza kila binti niliye naye kwenye mahusiano
Ni rafiki ninayefanya naye kazi kituo kimoja pia tulikutana kazi japo pia tunakaa jirani kwenye nyumba za kampuni
Kipindi cha nyuma nilikuwa na demu ambaye alimjua pia baadhi ya mambo alikuwa anajua coz ni rafiki yuko karibu na mimi ila nilipokuja kujua kuwa amemtongoza pia kala mzigo, nilijikuta hisia zinaisha kabisa na yule demu nilimpenda ila sijui kama na yeye alinipenda kwa mara ya mwisho alikuja gheto kwangu sikuweza kufanya chochote, niliachana naye pia sikumwambia kitu rafiki ila nilianza kuweka mipaka
Niliingia tena na mahusiano binti mwingine, hali ilirudi ile ile ila cha ajabu huwa anajifanya kunipa ushauri na kuniambia usimuache huyu demu anakupenda sana ila nilijikuta namuacha kwani nilishindwa kufanya naye sex zaidi ya mara mbili
Sasa juzi nikiwa na binti niliyenaye kwa sasa, rafiki yangu alinipigia simu akiniomba nimuazime pikipiki, nilimwambia nimeenda kijijini ila haikuwa ni kweli nilikuwa out na mpenzi wangu, sasa nilishangaa nilipooneshwa sms aliyomtumia mpenzi wangu wakati huo nikiwa naye ila kwa kipindi cha nyuma aliniambia kuwa jamaa anamsumbua
Nilichati naye na nikamuomba 20,000/=, cha ajabu aliniomba nimuazime 30,000/= baada ya kumtumia alituma kwenye namba ya mpenzi wangu, nilijikuta naumia na kujaa hasira sana.
Naomba ushauri maana huyu binti nampenda sana pia nimeshafika kwao nahitaji kumuoa , nifanyeje ili yasinikute yaliyopita? Maana rafiki yangu najua tabia zake ana madem wengi pia huwa ananunua wale dada poa
Naombeni ushauri maana kila nikikumbuka najaa na hasira...
ππππkavurugwaaMtoa mada signal zinayumba..
huyo sio rafiki ni adui,vunja urafiki nae na umpake sawasawa kwa kumuonesha ushahidi woteHabari mwanaJF, naomba ushauri rafiki yangu huwa na tabia ya kutongoza kila binti niliye naye kwenye mahusiano
Ni rafiki ninayefanya naye kazi kituo kimoja pia tulikutana kazi japo pia tunakaa jirani kwenye nyumba za kampuni
Kipindi cha nyuma nilikuwa na demu ambaye alimjua pia baadhi ya mambo alikuwa anajua coz ni rafiki yuko karibu na mimi ila nilipokuja kujua kuwa amemtongoza pia kala mzigo, nilijikuta hisia zinaisha kabisa na yule demu nilimpenda ila sijui kama na yeye alinipenda kwa mara ya mwisho alikuja gheto kwangu sikuweza kufanya chochote, niliachana naye pia sikumwambia kitu rafiki ila nilianza kuweka mipaka
Niliingia tena na mahusiano binti mwingine, hali ilirudi ile ile ila cha ajabu huwa anajifanya kunipa ushauri na kuniambia usimuache huyu demu anakupenda sana ila nilijikuta namuacha kwani nilishindwa kufanya naye sex zaidi ya mara mbili
Sasa juzi nikiwa na binti niliyenaye kwa sasa, rafiki yangu alinipigia simu akiniomba nimuazime pikipiki, nilimwambia nimeenda kijijini ila haikuwa ni kweli nilikuwa out na mpenzi wangu, sasa nilishangaa nilipooneshwa sms aliyomtumia mpenzi wangu wakati huo nikiwa naye ila kwa kipindi cha nyuma aliniambia kuwa jamaa anamsumbua
Nilichati naye na nikamuomba 20,000/=, cha ajabu aliniomba nimuazime 30,000/= baada ya kumtumia alituma kwenye namba ya mpenzi wangu, nilijikuta naumia na kujaa hasira sana.
Naomba ushauri maana huyu binti nampenda sana pia nimeshafika kwao nahitaji kumuoa , nifanyeje ili yasinikute yaliyopita? Maana rafiki yangu najua tabia zake ana madem wengi pia huwa ananunua wale dada poa
Naombeni ushauri maana kila nikikumbuka najaa na hasira...
Ni ujana tu, wakikua wataachaHuyo sio rafiki yako nashangaa kwanini unamuita rafiki
Equation x mzabzab Ivan Stepanov Depal Joanah Glenn
njoon mumshauri mtu huku
NakaziaHuyo jamaa yako sio tatizo ila wewe ndio tatizo inakuaje unaacha mianya anawajua mademu zako na mawasiliano anakuwa nayo? Jichunguze kwanza unapokosea na ubadilike vinginevyo utaendelea kuchapiwa mpaka akili ikukae sawa.
Mimi pia imenifikirisha huenda si kweliMie naomba kujua Mipaka aliyoweka baada ya demu wake wa kwanza kuliwa na rafiki yake ni ipi na ipi
Mipaka hiyo iliweka mazingira gani hadi rafiki yake anamiliki namba ya huyu demu mpya
Kama hakuna majibu basi uzi wote huu ni chai....yenye chumvi
Wewe nawe taburalasa tu! Huyo hana urafiki na wewe hata kidogo! Kama ana mke nenda umegongee atakuheshimu! Au mkuu alishakujua wewe huwafikishi kilele cha Kibo ndiyo maana anajichukulia mizigo?Habari mwanaJF,
Naomba ushauri rafiki yangu huwa na tabia ya kutongoza kila binti niliye naye kwenye mahusiano.
Ni rafiki ninayefanya naye kazi kituo kimoja pia tulikutana kazi japo pia tunakaa jirani kwenye nyumba za kampuni.
Kipindi cha nyuma nilikuwa na demu ambaye alimjua pia baadhi ya mambo alikuwa anajua coz ni rafiki yuko karibu na mimi ila nilipokuja kujua kuwa amemtongoza pia kala mzigo, nilijikuta hisia zinaisha kabisa na yule demu nilimpenda ila sijui kama na yeye alinipenda kwa mara ya mwisho alikuja gheto kwangu sikuweza kufanya chochote, niliachana naye pia sikumwambia kitu rafiki ila nilianza kuweka mipaka.
Niliingia tena na mahusiano binti mwingine, hali ilirudi ile ile ila cha ajabu huwa anajifanya kunipa ushauri na kuniambia usimuache huyu demu anakupenda sana ila nilijikuta namuacha kwani nilishindwa kufanya naye sex zaidi ya mara mbili.
Sasa juzi nikiwa na binti niliyenaye kwa sasa, rafiki yangu alinipigia simu akiniomba nimuazime pikipiki, nilimwambia nimeenda kijijini ila haikuwa ni kweli nilikuwa out na mpenzi wangu, sasa nilishangaa nilipooneshwa sms aliyomtumia mpenzi wangu wakati huo nikiwa naye ila kwa kipindi cha nyuma aliniambia kuwa jamaa anamsumbua.
Nilichati naye na nikamuomba 20,000/=, cha ajabu aliniomba nimuazime 30,000/= baada ya kumtumia alituma kwenye namba ya mpenzi wangu, nilijikuta naumia na kujaa hasira sana.
Naomba ushauri maana huyu binti nampenda sana pia nimeshafika kwao nahitaji kumuoa , nifanyeje ili yasinikute yaliyopita? Maana rafiki yangu najua tabia zake ana madem wengi pia huwa ananunua wale dada poa.
Naombeni ushauri maana kila nikikumbuka najaa na hasira.
πππππππ€Tongoza dada yake au ndugu yake yeyote wa kike, hakikisha unampata uone kama atatongoza na huyo.
Huyo sio rafiki kaambali nae tena sanaTongoza dada yake au ndugu yake yeyote wa kike, hakikisha unampata uone kama atatongoza na huyo.
Tafuta tu pesa aisee, huyo achana nae.Huyo sio rafiki kaambali nae tena sana
Lakini ata mim nina rafiki angu sometimes nashindwa kumwelewa hadi aasa lakn yete yupo upande wapesa kwasababu tulikua tume panga kusafiri nje ya nchi so hii fursa anaitumia kunila pesa sana me pia naomben ushauli niishi vip na huyu mtuππ½