Naomba ushauri: Simu gani nzuri ya Samsung kwa bajeti yangu

Naomba ushauri: Simu gani nzuri ya Samsung kwa bajeti yangu

Nataka kununua Simu.

Naomba ushauri toleo gani zuri la Samsung.

Bajeti yangu 300,000/= ~ 400,000/=.

Nazingatia zaidi good camera na muonekano.
Mimi nilikuwa na budget ndogo ila nataka simu kubwa....kwa 350,000/= nilijipatia Lenovo K5 Pro mpya kwenye box... 4GB RAM na 64GB ROM. Nakiri kuwa sijawahi jutia kuinunua maana ina powerful processor na Camera kali sana, na nikitoka hapa nataka Lenovo ya 128GB kabisa....
 
Mimi nilikuwa na budget ndogo ila nataka simu kubwa....kwa 350,000/= nilijipatia Lenovo K5 Pro mpya kwenye box... 4GB RAM na 64GB ROM. Nakiri kuwa sijawahi jutia kuinunua maana ina powerful processor na Camera kali sana, na nikitoka hapa nataka Lenovo ya 128GB kabisa....
Camera yake ngap
 
Samsung hapana mkuu hapo huwezi kupata Samsung yenye quality haswa upande wa camera na Charge mana flagship ni S series ambayo kwahiyo price ni uongo nakushauri Nunua Aliexperess au ebay check Xiaomi au Huawei
 
Samsung hapana mkuu hapo huwezi kupata Samsung yenye quality haswa upande wa camera na Charge mana flagship ni S series ambayo kwahiyo price ni uongo nakushauri Nunua Aliexperess au ebay check Xiaomi au Huawei
Mm natumia A50 nilinunua laki 5 mpya. Inavigezo hvyo vyote. Camera nzuri, inakaa na chaji na inakua updated regulary

Check screen on time hyo:

IMG_20200820_193715_949.jpg



Camera sample:
View attachment 1561894
 
NAOMBENI MSAADA NIMEPATA SIMUBILI MOJA NI SAMSUNG S9+ na nyingine ni nokia 7.2 kwa bei ya lak 5 hv simu ipi ni chukue au ipo simu bora kati ya hz mbili
 
Maduka yao yapo wapi kwa Dar nataka XR note 9.
iPhone Xr (64 gb) 1.45 m
Galaxy Note 9 (128 gb)
Single sim 850k
Duos/Hybrid 950k.

All are full Box with 12 Month Warranty

Contacts 0652332255

Location Infinix Building Kariakoo
 
NAOMBENI MSAADA NIMEPATA SIMUBILI MOJA NI SAMSUNG S9+ na nyingine ni nokia 7.2 kwa bei ya lak 5 hv simu ipi ni chukue au ipo simu bora kati ya hz mbili
I suggest S9+.
Muonekano Mzuri
Battery kubwa
Ram Kubwa
Display Quality super
Spares na Accessories are vast

Note.
-Make sure the device is Official,
Avoid custome and rooted device.
- Kagua vizuri display for any cracks and dents.

All the best chief
 
Fanya kutafuta samsung J7 prime finger print,4G, Charge fresh no betri heating camera nayo siyo mbaya nilinunua miaka miwili iliyopita kwa 450k kwa hiyo unaweza kuipata kwa bajeti yako
Ni nzuri ila Kuna better A and S choices kuliko especially when Camera, Ram and Android Version are concerned
 
I suggest S9+.
Muonekano Mzuri
Battery kubwa
Ram Kubwa
Display Quality super
Spares na Accessories are vast

Note.
-Make sure the device is Official,
Avoid custome and rooted device.
- Kagua vizuri display for any cracks and dents.

All the best chief
Jamaa amezingua eti amezema labla anipe A51 kwa lak 5 sada swali kati ya A 51 na nokia 7.2 nichukue ip???
 
Jamaa amezingua eti amezema labla anipe A51 kwa lak 5 sada swali kati ya A 51 na nokia 7.2 nichukue ip???
mzee njoo nikupe Google Pixel 2 xl , icheki youtube ni kali kuliko hizo simu zote unazotaja hapo trust me
 
Back
Top Bottom