Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,171
- 15,760
Hahah[emoji1][emoji1] Ahsante. Ukipata kwa bei hiyo nishtue na mimi nije kufunga mzigo.
Mwamba amekariri bei za Tecno na infinix
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah[emoji1][emoji1] Ahsante. Ukipata kwa bei hiyo nishtue na mimi nije kufunga mzigo.
s
Nisamehe sana mkuu wangu,nilitania tu!s
Acha ukuda Unajua sisi ndiyo salary yangu kwa mwezi
Nimepokea msamaha wako ila jua hiyo ndiyo nakunja mfukoni mwisho wa mwezi. Na ndugu zako wanaenda chooni na chuo pia shule.
Sana mkuu!Nimepokea msamaha wako ila jua hiyo ndiyo nakunja mfukoni mwisho wa mwezi. Na ndugu zako wanaenda chooni na chuo pia shule.
Note 8 still good2020Na mimi naomba ushauri kati ya Huawei p30 lite na Samsung galaxy note 8 ipi bora, bei naona haitofautiani sana
Mimi nakushauri uachane na Samsung why usinunue hata Xiaomi , Oppo , Huawej za kisasa ?
Redmi note 9s
Huwa kikawaida Xiaomi ana Midrange nzuri kushinda brand nyingi, redmi note 9s specs zake ni nzuri kushinda simu yoyote ya around laki 4.Hii simu ni nzuri kuliko Tecno na Infinix?
Simu za Huawei kwa sasa hazina mapungufu yoyote baada ya Mmarekani kuweka vikwazo?
Kama huawei haina mapungufu sababu ya vikwazo, kwa bajeti ya 350,000 - 400,000 simu gani ni nzuri? Kwa bajeti ya 450,000 - 550,000 simu gani inafaa?
Huwa kikawaida Xiaomi ana Midrange nzuri kushinda brand nyingi, redmi note 9s specs zake ni nzuri kushinda simu yoyote ya around laki 4.
Huawei wanakuwa vizuri kwenye highend ama midrange za bei kubwa (Honor) hizi simu zetu za chini ya laki 5 si nzuri sana. Na mapungufu bado kuathiri sana Lowend zao maana wanatumia processor za zamani kubypass ban.
Kwa Around 350k mpaka 400k Tafuta Hii poco mpya Xiaomi poco M3 around $129 itakuwa, unaipata kwa hio bei, ama redmi note 8 nayo inapatikana kwa hio budget.
Kama budget inafika 400k mpaka 500k tafuta hio redmi note 9s.
Hapo nimeongelea kama perfomance ni priority.
Ikiwa multimedia ni priority, simu yenye display kali na camera nzuri consider Samsung simu kama A50.
vp kuhusu hizi oppo mkuu??Huwa kikawaida Xiaomi ana Midrange nzuri kushinda brand nyingi, redmi note 9s specs zake ni nzuri kushinda simu yoyote ya around laki 4.
Huawei wanakuwa vizuri kwenye highend ama midrange za bei kubwa (Honor) hizi simu zetu za chini ya laki 5 si nzuri sana. Na mapungufu bado kuathiri sana Lowend zao maana wanatumia processor za zamani kubypass ban.
Kwa Around 350k mpaka 400k Tafuta Hii poco mpya Xiaomi poco M3 around $129 itakuwa, unaipata kwa hio bei, ama redmi note 8 nayo inapatikana kwa hio budget.
Kama budget inafika 400k mpaka 500k tafuta hio redmi note 9s.
Hapo nimeongelea kama perfomance ni priority.
Ikiwa multimedia ni priority, simu yenye display kali na camera nzuri consider Samsung simu kama A50.
Oppo ni nzuri, ila most of time wanauza simu ghali, ama kurelease simu nzuri na zinazopatikana sokoni kuwa mbaya, kuwa makini sana na simu za oppo na vivo kariakoo.vp kuhusu hizi oppo mkuu??
Hapo kwenye kipengere cha mwisho hapo umenigusa,Huwa kikawaida Xiaomi ana Midrange nzuri kushinda brand nyingi, redmi note 9s specs zake ni nzuri kushinda simu yoyote ya around laki 4.
Huawei wanakuwa vizuri kwenye highend ama midrange za bei kubwa (Honor) hizi simu zetu za chini ya laki 5 si nzuri sana. Na mapungufu bado kuathiri sana Lowend zao maana wanatumia processor za zamani kubypass ban.
Kwa Around 350k mpaka 400k Tafuta Hii poco mpya Xiaomi poco M3 around $129 itakuwa, unaipata kwa hio bei, ama redmi note 8 nayo inapatikana kwa hio budget.
Kama budget inafika 400k mpaka 500k tafuta hio redmi note 9s.
Hapo nimeongelea kama perfomance ni priority.
Ikiwa multimedia ni priority, simu yenye display kali na camera nzuri consider Samsung simu kama A50.
Mi nilitoka Note 5 (2015) kwenda oneplus 5T (2017) japo zote ni flagship ila nilipata shida sana kuzoea Kioo.Hapo kwenye kipengere cha mwisho hapo umenigusa,
Maana nilishazoea kutumia flagships za zamani kama S6 Edge Plus na S7 Edge (Super Amoled), siku nikasema ngoja nijaribu hizi latest midrange si ndo nikaikwapua A21s sa hivi naichukia japo naikubali ukaaji wa chaji lakini kwenye Display (Pls TFT) naona hovyo tu, hii itamfaa aliyezoea kutumia TECNO
KAMA KUNA MTU MWENYE 350K AJE KKOO NIMUUZIE
NI TOLEO LA 4GB RAM NA 64GB INTERNAL STORAGE