mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
Hizi hazipo tena sokoni.Mm natumia A50 nilinunua laki 5 mpya. Inavigezo hvyo vyote. Camera nzuri, inakaa na chaji na inakua updated regulary
Check screen on time hyo:
View attachment 1561892
Camera sample:
View attachment 1561894
Ulinunua refurbished ww au yenye global rom! Hii simu mwezi wa 1 ilikua kwenye promotions za Aliexpress na kuna sellers walikua wanaiuza mpya ndani ya box unakuja kuifungua ww mwenyewe ilikua around 230k - 250k Global version.....Hiyo Simu sikuwa na bahati nayo , niliagiza AliExpress ikaja na faulty ikazima Siku hiyo hiyo niliyoichukua posta na seller alihoma kufanya refund ,Ila kwa camera kweli ipo vizuri
Tafuta zile simu za promotions za mitandao kama tecno s2, tecno y3/y3+ sijui kama zipogo bado au ununue smart kitochi ubakiwe na chenji ya manunuzi ya bando....Msaada hiv kwa bajet ya lak 1 napata simu gani??? Compony yeyote ila
Hiyo Simu sikuwa na bahati nayo , niliagiza AliExpress ikaja na faulty ikazima Siku hiyo hiyo niliyoichukua posta na seller alihoma kufanya refund ,Ila kwa camera kweli ipo vizuri
Nimeona GsmArena wamesema Lcd display waliyoitumia kwny zero 8 ni ya low quality to cut costs[emoji41]..tatizo la infinix ni kutoupgrade android versions na skin yao ina tons of blotwares...but specs zake nimezipenda wamejitahidi sana safari hii.nimeicheki ni helio p22, ndio hii soc imetumika sana kwenye samsung, tecno, inifinix na wengine wengi, huwa mimi nairecomend kama unataka tu simu inayokaa na chaji ila perfomance yake si kubwa.
pia kuna hii infinix wamejitahidi, inaitwa Zero 8 nimeona gsmarena wamei review, angalau kidogo wametumia soc ya heshima, ila still hawajafikia viwango vya hao wachina wakubwa. helio G90T kwenye hii infinix unaweza ukacheza almost game yoyote na pia kurun apps nzito nzito.
Hii kitu naijua namaanisha mfano simu ilikua Android ten je inapata update mpyainayofuatia na zile daily updates zao lenovo wenyewe za kufix matatizo mbalimbali na kuimarisha securityMkuu umemaanisha kupata google saved settings za previous android? Kama ni hivyo basi jibu ni ndiyo....mimi nilikuwa natumia Tecno before hii hapa, ila siku nilipoingiza google account humu kwa Lenovo ika-backup kila kitu mpaka Wi-Fi passwords na apps zote nilizokuwa natumia kwenye Tecno ya mwanzo
Tuma wattsup no. yako pmmzee njoo nikupe Google Pixel 2 xl , icheki youtube ni kali kuliko hizo simu zote unazotaja hapo trust me
Ndio kwaaaanza imeingia sokoni official mchana wa leo, na ni kwa india na Europe..Tafuta samsung m51
Kwa hiyo ukiagiza online hutaipata siyo mkuu au watakutumiaNdio kwaaaanza imeingia sokoni official mchana wa leo, na ni kwa india na Europe..
Na kwa hio pesa hata azidishe mara mbili haipati.
Ni Redmi note 9 au note 9S? Redmi note 9S nayo ina 128GB ROM+6GB RAMNjoo kariakoo nikupe Redmi Note 9 128gb kwa 600k. Mpya, sealed. Unaweza kunichek 0625547767.
True.. Hapo nilikua namaanisha Redmi Note 9s 128+6GBNi Redmi note 9 au note 9S? Redmi note 9S nayo ina 128GB ROM+6GB RAM
Vp kuhusu note 9 pro max ya 6gb 128gb unayo mkuu?True.. Hapo nilikua namaanisha Redmi Note 9s 128+6GB
Chukua hio ndio itakuwa zaidiVp kuhusu note 9 pro max ya 6gb 128gb unayo mkuu?
Kwa kigezo kipi hyo redmi 9s iizid note 9 pro max?Chukua hio ndio itakuwa zaidi
Device mbili zenye spec mbili tofauti hapo kuna moja nadhan redmi 9 ni mediatek ilihali 9pro ni sd ( snapdragron)Kwa kigezo kipi hyo redmi 9s iizid note 9 pro max?
Mkuu sijakuelewa ww umetoa ushauri nichukue ipi cjakusoma maana hapa tunaongelea kati ya redmi note 9s na note 9 pro max,sasa hyo redmi 9 imeingiaje?Device mbili zenye spec mbili tofauti hapo kuna moja nadhan redmi 9 ni mediatek ilihali 9pro ni sd ( snapdragron)
Inaanza 9a inakuja redmi 9s inakuja note 9s kisha kuna 9pro max, jinsi namba inavyobadilika kutoka hio 9a na performance inazidi mzee kama unahela chukua yenye pro max mwishoMkuu sijakuelewa ww umetoa ushauri nichukue ipi cjakusoma maana hapa tunaongelea kati ya redmi note 9s na note 9 pro max,sasa hyo redmi 9 imeingiaje?
Note 9 pro max sina mkuu.Vp kuhusu note 9 pro max ya 6gb 128gb unayo mkuu?