EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Hapo sawa mkuuHakuna haja ya kujiattach kwa mtu. Mm Sio mgeni kwenye biashara mzee, nafahamu risk zilizopo. Niko na biashara nyingine na kazi pia. Nina uhakika wa kipato hvyo sitegemei kutetereka sana kama unavyodhania.
Mkuu hapo kwenye TATA umewaza kuhusu Spare maana sijaziona nyingi hizo gari mtaani."Kila unachokiona mbele yako kilishawahi kuwa kwenye truck"
Umeamua vyema kuwaza biashara hii.
Niongeze kidogo
Kuliko kununua gari used budget yako inatosha kuwapa TATA wakakupa gari mpya kwa 35m na trailer ukiunga unga utapata kwa 30m double tyres.
Super single ina changamoto nyingi sana kuliko unavyoweza kudhan!
Transcargo, Dangote hawana trailer za super single.
Ukiamua kuchukua gari used jitahidi kuipitia kila sehemu ikiingia barabaran usipate changamoto. Maghari yanayotoka Poland usichukue mengi yametumika sana.
Gari kutoka South Africa ukipata muungwana akakurekebishia kabla ya kulisafirisha ni gari bora kuliko mtumba wa Uingereza.
Ukiamua kuchukua Uingereza hakikisha MOT iko active hii gar imejaribiwa kwao na inafanya kazi katika barabara za Uk.
Scani 124 420, kuwa makina kuanzia 2002 hadi 2004 nying ni HPI ama red dot zinasumbua sana katika mazingira yetu.
6x2 chagua tag axle yaan teriaz nyuma ili uweze kubeba mzigo mkubwa.
Biashara ni nzuri ngumu, jitahidi ujibanze kwenye kampuni yenye kazi za uhakika. Kazi za dalali zitakufanya uchukie kazi.
Usimamizi jitahid mda mwigini uone gari nanufanye service.
Hayo machache kwa nilivyojionea barabaran.
Uzi naufatilia kwa ukaribu sana ukifika stage ya kuitaj TO tafadhar tuwasilianeMkuu hapo kwenye TATA umewaza kuhusu Spare maana sijaziona nyingi hizo gari mtaani.
TATA unapewa gari mpya, spare wanauza wao.Mkuu hapo kwenye TATA umewaza kuhusu Spare maana sijaziona nyingi hizo gari mtaani.
Kwamba huzioni au ? Labda mkoa ulipo Ila zipo nyingi sana ila mtaji uwe kuanzia m17 hivi sio laki tano tu hadi m4 kwa siku unalaza kutegemea umechanga vip karata zakoMkuu biashara nyingine iniingizie faida ya laki tano kwa siku yaani 15mil kwa mwezi? hahahaa Acha utani
Umemshauri vizuri ndio maana mm nimemwambia ukitaka kuingia kwenye hizo mishe za scania angalau uingize laki5 kwa siku nazani hajaelewa namaanisha nini atapoingia atajua,Tafuta Howo mpya gharama za uendeshaji ni ndogo kuliko European trucks. Biashara ikikuwa ndio uende huko kwa European trucks. Trailer la double tyres ndio linabeba mzigo zaidi kutokana na sheria mpya za Tanroads(mizani) ...hawataki singles kwente barabara zao hivyo wamepunguza uzito unaoruhusiwa kwenye axles za single tyres.
Samahani Mkuu, cummis ni nini?124 , 420 mwaka 1999 hadi 2001 cummis engine , utafurahi, unaweza jaribu na V8 164 ama R500 kwa kazi za kiume zina fanya vyema sana.
Nimemaanisha Cummins,Samahani Mkuu, cummis ni nini?
Halafu hiyo R500 unayomshauri jamaa hazifiki hata tano nchi nzima!
Superstar & world oil ni miongoni mwa wenye mbavu za kununua hii gari lakini hawana..
Muache jamaa atulize roho yake kwenye 124!!
Cummins ni ya wamarekani mzee, kwenye scania 4 series inatafuta nini asee?Nimemaanisha Cummins,
Mtaani scania engine isiyotumia pump tunaziita cummins. Wauza vipuri pia imezoeleka hivyo.Cummins ni ya wamarekani mzee, kwenye scania 4 series inatafuta nini asee?
Sawa mkuu, ngoja nisivuruge mtiririko wa uzi..Mtaani scania engine isiyotumia pump tunaziita cummins. Wauza vipuri pia imezoeleka hivyo.
Mkuu hizi 500k per day ni mapato au faida?Kwamba huzioni au ? Labda mkoa ulipo Ila zipo nyingi sana ila mtaji uwe kuanzia m17 hivi sio laki tano tu hadi m4 kwa siku unalaza kutegemea umechanga vip karata zako
Tudokeze mkuu , unaweza saidia mtu akanyanyukaKwamba huzioni au ? Labda mkoa ulipo Ila zipo nyingi sana ila mtaji uwe kuanzia m17 hivi sio laki tano tu hadi m4 kwa siku unalaza kutegemea umechanga vip karata zako
Laki 5 kwa siku ni 15 kwa mwezi. Hiyo sio kipato cha chiniKabla hajaingia huko hakikisha una njia zingine zinazo kuingizia mapato japo kima cha chini uingize laki5 kwa siku tofauti na hapo endelea kujiwekeza,sikukatishi tamaa ila naielewa vizuri hiyi biashara mwaka wa tano sasa ukiweza hilo karibu ni bonge la biashara
Mkuu,Kwamba huzioni au ? Labda mkoa ulipo Ila zipo nyingi sana ila mtaji uwe kuanzia m17 hivi sio laki tano tu hadi m4 kwa siku unalaza kutegemea umechanga vip karata zako
I hope atarudi kukujibu ulichouliza!Tudokeze mkuu , unaweza saidia mtu akanyanyuka
Ungemuwekea hapa hizo risks ili nayeye ajipimeBroo umemshauri vzr San huyu jamaa asije pata pressure buree Niko ktk magari ya mtu tunapanga kuyapiga minada yote , scani mende Bei iko poakama utaziitaji ukachongee body POA tu Ila Ni risk bussines ever