Naomba ushauri wa biashara ya malori

Naomba ushauri wa biashara ya malori

Yote 9. Usisahau COMPRENSIVE INSURANCE. From day 1.
Mie ilinunua truck and trailer mwaka 2005. Nikakata third party nikisema likirudi safari ndio nikate compressive. Likaanguka trip ya kwanza pale mteremko wa TUKUYU. Sijawahi kunyanyuka tena kibiashara.
Au lile lililoanguka WAMI lilikuwa trip ya kwanza bila insurance.
Ahsante Mkuu, kama gari yangu binafsi nimekata comprehensive nikijua manufaa yake basi bila shaka hii gari ya biashara itafuata mkumbo huo. Ahsante kwa kunikumbusha.
 
Tafuta Howo mpya gharama za uendeshaji ni ndogo kuliko European trucks. Biashara ikikuwa ndio uende huko kwa European trucks. Trailer la double tyres ndio linabeba mzigo zaidi kutokana na sheria mpya za Tanroads(mizani) ...hawataki singles kwente barabara zao hivyo wamepunguza uzito unaoruhusiwa kwenye axles za single tyres.
Mkuu nimeulizia HOWO na FAW mpya kabisa. Naona zimesimama sana bei. Hapo kwenye trailers sasa nimekuelewa vema. Ahsante
 
Umemshauri vizuri ndio maana mm nimemwambia ukitaka kuingia kwenye hizo mishe za scania angalau uingize laki5 kwa siku nazani hajaelewa namaanisha nini atapoingia atajua,
Kwann matajiri wengi wanadaka michina kama,volvo,man,howo,faw,nk sio kwamba scania hawazipend ishu uendeshaji wake ni gharama sana hasa ikipata hitilafu ila ni za kudumu mwenye nina scania 4 na howo5,lakini pind ikiharibika scania unakuta umedunduliza mtaji wa, kwenye howo tatu kutengeneza scania moja japo ukitengeza ni mkataba ila nataka nizitoe nidake faw
Volvo na MAN sio gari za kichina Mkuu.
 
Mkuu mm Sina utaalamu Sana wa hayo magari japo na watu wangu wengi wanayo Kuna mmoja alinunua horse pekee Ila trailer akakodisha Ila safari zake nyingi Ni za trip town Hapa Hapa Ila chakushauri tafute Gari nzuri na imara japo ulivosema Gari hii Ni ya kwanza BC uhakikishe Una Nunua yenye hali nzuri Sana na tafuta dereva mwaminifu mzuri sio haya janja janja Mara aibe mafuta na spare zingne, ikiwezkana funga camera kabsa Kama wanavofanya superdoll, siku zote kwenye hizi biashara hakikisha Una Kama 1-5mil hio weka pembeni kwaajili ya emergency na let's say kwa siku umelaza 300k faida BC nusu weka kwa ajili ya Gari matengenezo n.k all in all nakutakia mafanikio mema
 
Mkuu mm Sina utaalamu Sana wa hayo magari japo na watu wangu wengi wanayo Kuna mmoja alinunua horse pekee Ila trailer akakodisha Ila safari zake nyingi Ni za trip town Hapa Hapa Ila chakushauri tafute Gari nzuri na imara japo ulivosema Gari hii Ni ya kwanza BC uhakikishe Una Nunua yenye hali nzuri Sana na tafuta dereva mwaminifu mzuri sio haya janja janja Mara aibe mafuta na spare zingne, ikiwezkana funga camera kabsa Kama wanavofanya superdoll, siku zote kwenye hizi biashara hakikisha Una Kama 1-5mil hio weka pembeni kwaajili ya emergency na let's say kwa siku umelaza 300k faida BC nusu weka kwa ajili ya Gari matengenezo n.k all in all nakutakia mafanikio mema
Ahsante sana Mkuu, nimepokea vema ushauri wako
 
Hizo pia ni gari za Europe
Hata mimi naunga mkono chukua scania used europe 124 na trela ya kukodi kwanza usome game maana una uhakika wa mizigo.
Ila inata mda wa kifuatilia Sana Ili wengine wasitajirike badala yako.
Kata bima kubwa,
Biashara zote ni changamoto mafanikio ni kutokata tamaa
 
Achana na hiyo biashara!
Kama utaziweza hizi changamoto try!
1-Ale dereva!
2-Ale msaidizi!
3-Ile gari!
4-Ile serekali!
5-Ale dalali!
6-Ale Trafic
Kitakacho fika kwako sound!....

Wekeza kwenye kilimo cha Kitaalamu!
Heheee..umeanza vzr ila uliposema kilimo nimeshituka.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nilikuwa mbishi kwenye biashara hiyo hadi niliitwa betri na vijana!
Kilichotokea magari yalipo haribika walaji woote wakasepa na kuniacha na magari yangu mabovu kunguru wanayanyea[emoji24]
[emoji24][emoji24]
😀😀😀
 
Back
Top Bottom