Umemshauri vizuri ndio maana mm nimemwambia ukitaka kuingia kwenye hizo mishe za scania angalau uingize laki5 kwa siku nazani hajaelewa namaanisha nini atapoingia atajua,
Kwann matajiri wengi wanadaka michina kama,volvo,man,howo,faw,nk sio kwamba scania hawazipend ishu uendeshaji wake ni gharama sana hasa ikipata hitilafu ila ni za kudumu mwenye nina scania 4 na howo5,lakini pind ikiharibika scania unakuta umedunduliza mtaji wa, kwenye howo tatu kutengeneza scania moja japo ukitengeza ni mkataba ila nataka nizitoe nidake faw