Naomba ushauri wa biashara ya malori

Naomba ushauri wa biashara ya malori

Jaribu pia kwenda kwa MO Nyerere rd nyuma ya Pepsi uliza kwa MO yard Horse hutaamini ana scheme nenda ukatanue kichwa unalipa 30mil anayo pia trailers mbagala ukiona unaenda ofisini unalipa 39% plus bima hapo hapo mnakubalina payment mwezi .....hadi umalize anakupa warrant 6 months ....pita pita linganisha ....kuna fundi mkuu yard kwa nae sana akupe uzoefu plus engine bora kwa anaeanza kuunga unga ......tunajifunzakwa kuzungukia na info sahihi .....chukua hiyo kila heri .....matajiri wengi wapo huko ila hawataki share info za hivi ....
 
Jaribu pia kwenda kwa MO Nyerere rd nyuma ya Pepsi uliza kwa MO yard Horse hutaamini ana scheme nenda ukatanue kichwa unalipa 30mil anayo pia trailers mbagala ukiona unaenda ofisini unalipa 39% plus bima hapo hapo mnakubalina payment mwezi .....hadi umalize anakupa warrant 6 months ....pita pita linganisha ....kuna fundi mkuu yard kwa nae sana akupe uzoefu plus engine bora kwa anaeanza kuunga unga ......tunajifunzakwa kuzungukia na info sahihi .....chukua hiyo kila heri .....matajiri wengi wapo huko ila hawataki share info za hivi ....
Mkuu nakushukuru sana kwa Info.
Hapo kwa Mo kwa sasa nipo interested sana kwenye trailer. Nahitaji kufika hapo, sijui unanisaidiaje!!
 
Nikitaka kuagiza za UK naombei link namna ya kufanya
Law exports
Gwe trucks
Jge commercials
Msm commercials
Nr trucks
Hizi ni baadhi ya lampuni unaweza ku check nao, wana ,lori za kutosha. ,procedures z siku hizi ni straight foward
 
Mkuu nakushukuru sana kwa Info.
Hapo kwa Mo kwa sasa nipo interested sana kwenye trailer. Nahitaji kufika hapo, sijui unanisaidiaje!!
8th Floor, CRDB Building, Azikiwe Street, Dar es Salaam, Tanzania. PO Box 20660
+255 22 2127 398
+255 : 22 2129 891
+255 22 2127 268
info@moassurance.co.tz
Piga hizo simu akuelekeze uende yard Nyerere rd nyuma Pepsi kila mtu eneo hilo anawajua ana horse kama 700 hivi kila mwezi zinaingia...trailers ziko mbagala...kila la kheri
 
Kwa horse ya 6x2 trailet ya supper single ipo rated na Tanroad kubeba gross 48500kg , ya double ipo rated 50000 kg ni rahisi sana ku overload trela ya super single kuliko ya double bed
Mkuu, huu uzito ulioweka naamini ndio wanaita GMV sina hakika. Huu ni uzito wa horse + trailer ama ni trailer tupu?

Vipi kwenye horse maana kwenye horse ya 6X2 kuna yenye terias kati ambao huwa na super single na nyingine tairi moja tu ya kawaida na nyinginezo huwa na double tire. Je, hizi hubeba mzigo sawa pia. Nitashukuru kwa elimu yako.
 
Mkuu, huu uzito ulioweka naamini ndio wanaita GMV sina hakika. Huu ni uzito wa horse + trailer ama ni trailer tupu?

Vipi kwenye horse maana kwenye horse ya 6X2 kuna yenye terias kati ambao huwa na super single na nyingine tairi moja tu ya kawaida na nyinginezo huwa na double tire. Je, hizi hubeba mzigo sawa pia. Nitashukuru kwa elimu yako.
Kitaalam horse tupu huwezi kupata gvm, huwa uzito wake unaitwa tare,
Horse. Inapokuwa commected na trailer ndo tunapata Gvm
Horse ya 6x2 , tag au pusher ikiwa na super single inakuwa rated kubeba kg 16500, ikiwa na double inakuwab rated kubeba kg18900
 
Mimi binafsi ninge kushauri ungepata scania mende ya mchaga inarudisha pesa haraka na used ni 80-90m kwa Dar zipo, kwa wiki inaleta 1.8m, kuhusu mkopo kama kuna wezekano wa kununua mwenyewe subiri upate hiyo pesa au muelewane na mwenye gari umtangulizie tu, ila benki za hapa hazisaidie ila zinafilisi ndo zinapopata faida yao, biashara ya gari sio ya kuchukulia mkopo benki, risk analysis yake is above 50% don't risk mkopo
I second you,especially hapo kwenye kipengele cha mkopo wa benki.
Gari ikila mzinga ukalipaki watu wa benki hawaelewi wanataka pesa yao kila mwezi
 
Kwamba huzioni au ? Labda mkoa ulipo Ila zipo nyingi sana ila mtaji uwe kuanzia m17 hivi sio laki tano tu hadi m4 kwa siku unalaza kutegemea umechanga vip karata zako
Nipe connection mkuu, mtaji ninao wa kutosha ila ndio hivyo tena sina connect
 
biashara hii inatakiwa kwanza uwe mwanga kidogo vinginevyo yatakushinda , kuna jamaa yangu mmoja anakaa huko TZ mtu wa tanga anakwambia yeye magari yake 10 7 kati yake ni Fisi sio Fuso, dunia ina mambo sana hii, kaa chonjo unga robo.
Hahaaaaa ,unazingua mkuu
 
Kila la heri,. Njoo nikupe mizigo yakutoka Nairobi kuja Arusha. Ila ni chemicals zinaitajika kusafilishwa kwenye box body au container
 
Nenda kwa wachina chukua zako howo au faw brand new utanishukuru baadae horse ikitulia trailor Haina gharama ila msingi uwe trailer na Kama inaaanza maisha brand za scania potezea Bora uchukue dad usije ukakurupuka kwenye R-series utaimba kikwenu
 
Nenda kwa wachina chukua zako howo au faw brand new utanishukuru baadae horse ikitulia trailor Haina gharama ila msingi uwe trailer na Kama inaaanza maisha brand za scania potezea Bora uchukue dad usije ukakurupuka kwenye R-series utaimba kikwenu
Ahsante kwa ushauri wako. Nimeshanunua horse
 
Nunua Horse kwanza, halafu tumia trailer la kukodi ili uonekane mwenendo wa biashara yenyewe itakavyokuwa.
Nimeamua kununua iwe yangu kabisa maana hii ya kukodi ningekuwa nampa mtu kama Milioni kwa mwezi.
 
Unakubalije mtu akutie hasara? Alafu unamwacha tu, huna uchungu na mali yako au pengine ulisha ridhika

Kwa tafsiri yeyote yule mtu yeyote atakae fanya upuuzi huo kwenye mishe zangu apotee tu mazima, nitakula nae sahan moja

Mtu anakurudisha nyuma unamwangalia tu? Hata gari zako inawezekana kabisa watu walikusaidia kuziua kwa kukuuzia vipuli fake
Ndo hapo nashangaa, mtu akikurudisha nyuma ikiwezekana muumize
 
Back
Top Bottom