Fred Leonard
New Member
- Jan 3, 2024
- 4
- 10
Habari Ndugu wana jamii forum
Mimi ni kijana niliye hitimu kidato cha sita mwaka 2024 combination ya HGL nikiwa na ufaulu wa div 1.4
ninaomba ushauri juu ya uchaguzi wa kozi kati ya
1. Political science and public administration
2.law
3. Law enforcement
4. Social work
Zinahusu nini kiundani zaidi maana sina information za kutosha kuhusiana na hizo kozi
Na pia ushauri kua nichague kozi ipi kati yahizo au kama kuna kozi nyingine nzuri mnaweza nishauri ni zipi hizo ili niweze kusoma na
kuendelea na msomo yangu..
Asante sana nasubili maoni yenu ndugu wana jamii forum 🙏
Mimi ni kijana niliye hitimu kidato cha sita mwaka 2024 combination ya HGL nikiwa na ufaulu wa div 1.4
ninaomba ushauri juu ya uchaguzi wa kozi kati ya
1. Political science and public administration
2.law
3. Law enforcement
4. Social work
Zinahusu nini kiundani zaidi maana sina information za kutosha kuhusiana na hizo kozi
Na pia ushauri kua nichague kozi ipi kati yahizo au kama kuna kozi nyingine nzuri mnaweza nishauri ni zipi hizo ili niweze kusoma na
kuendelea na msomo yangu..
Asante sana nasubili maoni yenu ndugu wana jamii forum 🙏