Right Way In Light
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,322
- 3,461
- Thread starter
- #21
Nafikikri hizi sitapendeleaIla zile njia za madawa kwa mwanamke kiasi atabadilika kimaumbile kama kunenepa na siku zake kuvurugika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikikri hizi sitapendeleaIla zile njia za madawa kwa mwanamke kiasi atabadilika kimaumbile kama kunenepa na siku zake kuvurugika.
Ahsante chief..Mkuu mtoto/watoto ni baraka. wewe andaa mazingira ya Kupokea hauwezi jua ndo atakufungulia nyota ya mafanikio
Pia, unaweza amua kutumia condom. Hakikisha unakuwa na box kabisa chumbani, sio kununua rejereja.Nafikikri hizi sitapendelea
Kondom hapana, nafikiri nitafunga mimi uzazi.Pia, unaweza amua kutumia condom. Hakikisha unakuwa na box kabisa chumbani, sio kununua rejereja.
Bado cjaona sababu za moja kwa moja ya kujipa presha wala kulaumiana kwasabu ulipo mwagia ndani ulitegemea nni mkuuu limesha tokea kama kuitoa hiyo mimba hamko tayari kubalini matokeo and move one binafsi naona ni jambo la kawaida bado haijabeba uzito wa kukupa stress……… ni seme tu hilo ni jambo la kumshukuru MUNGU na mkatoe sadaka ya shukrani jumapiliWakuu heshima kwenu.
Polen na hongereni kwa majukumu yenu ya kila siku.
Niko kwenye hali fulani ya mkanganyiko kidogo. Nasema kidogo kwasababu ni kama niko njia panda japo kuna njia ambayo kwa mujibu wa misingi ya imani na utamaduni na maadili yangu najua nitaiendea njia hiyo japo naona ni ngumu sana ndio lengo la kusogea kwenu nipate mawili matatu.
Mimi ni mwanaume. Umri wangu ni 35 years.
Nina mke yeye ni 36 years na Mungu katubariki kuwa na watoto wa 4 mpaka sasa hivi katika kipindi chote cha miaka 14 toka tujuane na mpaka kufunga ndoa. Tuna miaka 10 toka siku tufunge ndoa rasmi.
Mwanangu wa kwanza ana 13years yuko form 1, wapil yuko class 3 , wa 3 yuko class 1 na wa 4 ana mwaka mmoja na miez kama 9 sasa.
Katika hawa woote watoto wanne, ni mmoja tu wa kiume wa tatu kuzaliwa alieko clasa 1.
Sasa hapa juz kati tumekuja kufaham kuwa wife kanasa mimba tena. Ni baada mwezi kupita bila kuona kawaida ya kike ya kila mwezi na tukaamua kufanya vipimo tukagundua imoo.
Shida sio mtoto, shida ni mipango. Sikua na mpango wa kuzaa baada ya kufunga miaka 35 ya umri.
Hii imenifanya kuwa na reaction tofaut katika mapokeo ya taarifa ya ugen huu. Na suala hil hata kwa wife pia lilimtoa machozi. Kiukwel hii taarifa ilitupa shock na imezua mgogoro mkubwa na wife, amenishushia lawama sana hasa kwakua nilipopata majibu haya sikuchukua hatua ya kum comfort. Nafikir ni kwakua hata mimi ilinichanganya. Amekua akinishutumu sana japo najua hii yote yaweza kuwa ni shock ya tukio ambalo hakuna aliyetegemea..
Kwa imani yangu, nimekua nikimuomba Mungu anipe amani na uamuzi sahihi na pia utayari wa kupokea suala hilibkwa mikono miwili. Anisaidie kusiwe na athari yoyote kiroho kwa mtoto kwa jiona kama hatuko tayari kumpokea. Namuomba sana Mungu anisaidie na aingilie kati, pia amsaidie wife aweze kukubaliana na hili, naelewa sana jinsi ambavyo inam frustrate pengine kila anapofikiri kuanza safar ndefu ya miezi 9 yenye kila aina ya vikwazo kiafya na kihisia.
Naelewa ni namna gani huwa inatu consume kusubiri mtoto kuzaliwa na majibu ya maombi yetu kuwa mtoto azaliwe salama mwenye afya njema bila kasoro. Haya yote tunayajua kwa watoto hawa wa 4 tuliojaaliwa.
Sasa sisi tukawa tunahesabu mambo haya tumekwisha yamaliza na hatuta rudi tena huko zaid ya kukaa na kulea watoto na kuwaandalia future yao.
Wakuu nachanganyikiwa japo nimeanza kukubaliana na hili.
Naomba ushauri wenu na kutiwa moyo.
Nafikiri baada ya hili kupita kama Mungu akitujaalia kumaliza mwendo salama, mmoja wetu atapaswa kufunga uzazi, hakuna namna.
Ahsanten na karibun kwa ushauri.
Siku njema
Sawa kiongozi wangu, nafikiri nimekuelewa.Bado cjaona sababu za moja kwa moja ya kujipa presha wala kulaumiana kwasabu ulipo mwagia ndani ulitegemea nni mkuuu limesha tokea kama kuitoa hiyo mimba hamko tayari kubalini matokeo and move one binafsi naona ni jambo la kawaida bado haijabeba uzito wa kukupa stress……… ni seme tu hilo ni jambo la kumshukuru MUNGU na mkatoe sadaka ya shukrani jumapili
Mzigo unakula kama kawaida, una ejakulate shahawa tu mbegu hazitoki.Kondom hapana, nafikiri nitafunga mimi uzazi.
SWali moja. Ukifunga uzazi unakua hushushi mzigo ule kwenye mambo yetu yale au inakuaje yan?? Na haina atharinyoyote kwa mwanaume ku enjoy sex akifunga uzazi??
Ahsante kwa elimuMzigo unakula kama kawaida, una ejakulate shahawa tu mbegu hazitoki.
Zinabaki kwenye mbupu na baada ya muda zinachukuliwa na mwili kwa matumizi mengine.
Mtoe out halafu msifu Kwa kufyatua hao wnne alionao na huyo atafyatua tu!!Ahahahahah... mkuu kwa namna nyingine umefanya nicheke. Ila usemayo ni sahihi.
Niseme tu, suala la wife kutokuabali hili kirahisi ndio linanipa hofu nafikiri. Namuelewa though kwann yuko hiv. Ninkitu kigumu sana uzazi
Ulitakiwa kuomba tukutengenezee ratiba ya tendo mapema, kwa hapo ulipofika sidhani kama kuna point of return any moreShida sio mtoto, shida ni mipango. Sikua na mpango wa kuzaa baada ya kufunga miaka 35 ya umri.
Hii imenifanya kuwa na reaction tofaut katika mapokeo ya taarifa ya ugen huu.
Hata hivyo watoto watano si wengiYaani umri huo Kaka mkubwa mnadinyana alafu mnaogopa kupata mtoto wa tano ,hapa naona unatamani tukushauri muitoe hiyo mimba Ila Mimi nakushauri msitoe mimba ,lea huyo kiumbe akikuwa fungeni uzazi hiyo ni mistake mshaifanya kubalini uhalisia tu .
Kabisa ,lijamaa ni Kama linaogopa mzigo wa maleziHata hivyo watoto watano si wengi
Sawa. Nao ni mchango wa mawazo, ahsanteUlitakiwa kuomba tukutengenezee ratiba ya tendo mapema, kwa hapo ulipofika sidhani kama kuna point of return any more