Naomba ushauri wako juu ya kipi nifanye kwa hiki kilichotukumba kwenye ndoa

Naomba ushauri wako juu ya kipi nifanye kwa hiki kilichotukumba kwenye ndoa

Watembelee wasio na watoto utaona faida za watoto

Watembelee wenye matatizo mazito kwenye ndoa zao utaona wepesi wa tatizo lako

Usi sahau Kila mtoto huja na sahani yake

Kuna wakati unacho kipata wengine wanakikosa sio kwasababu wewe una bahati Ila nikwasababu ya watoto

Kwa hiyo kumchukia mkeo kwa kuku zalia nikusahau kilicho kufanya umuowe badilika mkuu
 
watu wazima wawili wasio na akili wamekutana, ina mana mkeo ameshindwa kutumia uzazi wa mpango? mlivyomwagiana ndani mlijua mtavuna mapera? ole wenu mkaitoe, sasa mliwapangaje watoto mkashindwa kupangilia kwa hapa? haya bahat ishakua imetokea mimba imo wajibikeni nyote, msiwaze sjui itakuaje ushatokea hio komaeni
Sawa sawa. Ahsante
 
Poleni na hongera pia,
Lea mimba mpaka mkeo ajifungue,
Mmepanga yenu Mungu nae kapanga ya kwake,
Mshukuru Mungu na fungueni mioyo yenu mumtolee huyo malaika Roho ya kukataliwa,
Nenda kampe faraja mke wako,
Unachanganyikiwa na kupata sonona wakati mzigo ni wako.
Be a man,
Be responsible 💪
Nashkuru sana mkuu. Nitafanya hivyo
 
Ni kwel usemayo chief. Kuhusu uhakika wa mimba kuwa yangu, hilo sina shaka. Mapokeo tu ndio yamekua na mtanziko
Lipokeee Sasa,be a man ...kumbuka mtoto aliyepo tumboni ni kiumbe hai...Sasa ana miezi kadhaa! Hayo masononoke yatamuathiri na yeye! Hebu tulieni...nikioata nafasi baadaye ntakupa mkasa Fulani...DM ,Kwa kuwa Nina uhakika kibosile unayemhusu yupo humu! Atajisikia vibaya...lakini tuliza akili...mwambie Shemeji ,hayo mambo ya kawaida...watu wanapata watoto at 45 ,!
 
Mtoe out halafu msifu Kwa kufyatua hao wnne alionao na huyo atafyatua tu!!

Sisi me ni shock obsorber sio stress inducers!!

Tangu mwanzo ungeua wasiwasi wake angekua fine!!

Mtoe out kabisa halafu msifu aachane na stress!
Ni kwel kaka nikiri kabusa mimi ndio nimemsababishiankwa namna flan kuwa hiv, hil ni kosa nilifanya japo sikukusudia, but i will do my best kusahihisha.
Ahsante sana
 
Hayo yalishanipata mimi kwa mtoto wa mwisho na tukakaa chini na mke wangu na kukubaliana na hali. kwanza nilifikiri jinsi ya kumlea Mungu akanionyesha kuwa yeye ndiye anatulisha. La pili nikamwambia Mungu anipe mvulana maana nilikuwa na wasichana wawili na kijana mmoja na nikampa Jina la kiume. Kweli alizaliwa mtoto wa kiume. Mungu akamjalia akili na akawa anasomeshwa kwa scholarship kuanzia form six mpaka degree na amekuwa baraka kwetu sana. Ninakushauri kaa na mke wako mjue kwamba is a blessing to you na atakuja kuwa faraja kwenu.
Nimekuelewa sana mkuu. Ahsante sana
 
USHAURI.
Kaa na wife vzr onyesha furaha kama ni mtu wa dini Anza kumpa matumaini na Imani hata kama ni kubumba.

Mwambie kwako wewe unafuraha sana kuwa na mtoto mwingine wa5 hivyo Mungu ndiye alipanga iwe hivyo.

Kwa Wakati huu Sasa onyesha uzezeta kuliko kipindi cheto za mimba zilizo pita.

Ingia jikoni pika, kateembeen pamoja hata kama huna Hela tokaen mjini mkadhurule huko maporini.

Jifanye hiyo mimba imerudisha mapenzi yenu upyaaa muda mwingine mvamie osha vyombo,

Mkuu sikufundishi yte hayo ni baadhi tu na ukizingatia wanaume Huwa hatushindi nyumbani Kwa sababu ya majukumu hivyo muda ukiwa upo fanya haya.

Naongea Hivi nilimshauri jamaa yangu baada ya mke wake kunywa dawa mara1 aitoe na haikutoka Ile mimba ndo akanishirilisha Mimi.

Jibu langu nilimwambia WEWE NI MWANAUME MPUMBAVU SIKU ZOTE SIKUJUA KAMA NINA RAFIKI MPUMBAVU KIASI HIKI!!

Nikampa mfano vipi mkeo akifa anatoa hiyo mimba? Hasara itakuwa kwake au kwako?

Nikampa hizo nondo mara kadhaa nikawa namuazima gari angu kipindi hiko akale Bata nae. Now mtoto anamiaka2 mzuri mchangamfu sana nilimuita jina BAHATI (Good luck) Hadi Leo.

Ni ushauri tu ukiamua uuchambie yote sawa tu
Daahh mkuu, nakushukuru sana. Ubarikiwe sana mkuu wangu
 
Yaani umri huo Kaka mkubwa mnadinyana alafu mnaogopa kupata mtoto wa tano ,hapa naona unatamani tukushauri muitoe hiyo mimba Ila Mimi nakushauri msitoe mimba ,lea huyo kiumbe akikuwa fungeni uzazi hiyo ni mistake mshaifanya kubalini uhalisia tu .
Naunga mkono hoja.

Tena huyo mtoto akizaliwa atakuwa tofauti sana na wenzake inawezekana akawa ndio furaha kuu ktk familia.
 
Watembelee wasio na watoto utaona faida za watoto

Watembelee wenye matatizo mazito kwenye ndoa zao utaona wepesi wa tatizo lako

Usi sahau Kila mtoto huja na sahani yake

Kuna wakati unacho kipata wengine wanakikosa sio kwasababu wewe una bahati Ila nikwasababu ya watoto

Kwa hiyo kumchukia mkeo kwa kuku zalia nikusahau kilicho kufanya umuowe badilika mkuu
Nimekuelewa vizur ndugu yangu, simchukii wife, ila yeye ndio kama ana hasira na mimi. Mi simchukii kabisa mkuu
 
Lipokeee Sasa,be a man ...kumbuka mtoto aliyepo tumboni ni kiumbe hai...Sasa ana miezi kadhaa! Hayo masononoke yatamuathiri na yeye! Hebu tulieni...nikioata nafasi baadaye ntakupa mkasa Fulani...DM ,Kwa kuwa Nina uhakika kibosile unayemhusu yupo humu! Atajisikia vibaya...lakini tuliza akili...mwambie Shemeji ,hayo mambo ya kawaida...watu wanapata watoto at 45 ,!
Sawa sawa chief. Ahsante sana
 
B
Hapana kaka. Katika angle hiyo wala sina niogopacho, kama unacholenga ni majukumu yanayohusu fedha malazi mavazi na makaz na elimu, hapo hakuna kinachoniwazisha hata kidogo
Basi nakuomba mpokee mwanao mpya ,kaa na shemeji kubali imekuwa no way ,mpokee mtoto akishajifungua basi nitakuwa hapa kukupa njia Safi na salama ya uzazi wa mpango .

Asante by boss wa Kijiji cha mpitulu
 
Ahahahahah... mkuu kwa namna nyingine umefanya nicheke. Ila usemayo ni sahihi.

Niseme tu, suala la wife kutokuabali hili kirahisi ndio linanipa hofu nafikiri. Namuelewa though kwann yuko hiv. Ninkitu kigumu sana uzazi
Mtoe wife out sehemu nzuri, then mpongeze kwa bahati ambayo Mungu amewajalia. Kuanzia hapo ishi naye kama alipopata mimba ya mtoto wenu wa kwanza.
 
Back
Top Bottom