Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
[emoji3][emoji3] imebidi nicheke maana hilo nalitegemea ila silipi kipaumbele. Pia nataka kumsaidia huyo kijana huku namimi nikineemeka. Naanza kumpa kuku 20 wa kienyeji nione anawahandle vipi, hicho ndio kitakuwa kipimo chakeNipo paleee utapigwa za kichwa hutaamini bongo hii hii ubia
Mie waliwah ondoka wawili ghafla.....kifupi unaagwa asbh ....hatari mno ...Hapo pa wafanyakazi kuacha ghafla palisha nipiga na kitu kizito[emoji3]
Hio nichangamoto Mzee inatakiwa uwe tayari kukabiliana nazo.Hapo pa wafanyakazi kuacha ghafla palisha nipiga na kitu kizito[emoji3]
Wasainishe mikataba na Taratibu yakuacha kazi, iwe kutoa taarifa mwezi mmoja kabla yakuacha kazi. Sio mtu anaamka asubuhi mjomba wake anaumwa anaacha kazi, kazi zikienda Kwa utaratibu huo hatupigi hatua.Mie waliwah ondoka wawili ghafla.....kifupi unaagwa asbh ....hatari mno ...
Hahhaa huwajui wabongo mkuu...Wasainishe mikataba na Taratibu yakuacha kazi, iwe kutoa taarifa mwezi mmoja kabla yakuacha kazi. Sio mtu anaamka asubuhi mjomba wake anaumwa anaacha kazi, kazi zikienda Kwa utaratibu huo hatupigi hatua.
Ni kweli sababu mtu mwenye exposure kukuingizia hela ndefu halafu umlipe 140K ni ngumu. Utapigwa utachakaaHongera sana kwa udhubutu .
Ni wazo zuri sana maana utatoa ajira kwa vijana wenzio pia .
Ila jitahidi kuwa muangalifu sana kwa hao utakaowaajiri , ikipendeza wachukue watu wenye elimu ndogo sana ila wape ujuzi na jitahidi kuzingatia maslahi yao kwa moyo wote pasina kuwazungusha hakika utafika mbali .
Vijana wenye ujuzi na uhitaji wa kujituma kwenye miradi ya aina hiyo wapo ukiwahitaji karibu ikiwa utawiwa .
Hongera sana kijana .
Lazima uchakaeNi kweli sababu mtu mwenye exposure kukuingizia hela ndefu halafu umlipe 140K ni ngumu. Utapigwa utachakaa
Ninacho amini kutoka kwako; ni kweli wewe ni kijana mdogo usiyekuwa na uzoefu wowote katika maswala haya ya ufugaji. Sina hakika sana na hizo biashara zako nyingine ulizozitaja hapo mwanzo.Mkuu unapoanza biashara ambayo huifahmu kiundani, kunakua na darasa ambalo utaruhusu kufanya makosa nakujirekebisha nandio maana naamua project kuipeleka polepole. Ninauwezo wakufanya kama Jamaa anachosema lakini nafahamu changamoto zakuzalisha kuku wengi Kwa pamoja ambo soko lake nachangamoto zake sijazijua vizuri. Kwahio nahitaji mradi ukue polepole na nikabiliane na changamoto zinazojitokeza huku nikiendelea kupata uzoefu. Hata wewe mkuu wangu naamini hukuanza na kuku elfu 2 Kwa pamoja.
Ninajua unapolenga, lakini kama nilivyosema, wengine tupo hivyo. Nikiona umekengeuka nitakwambia waziwazi umekengeuka; na hasa ninapoona kukengeuka kwako ni kwa maksudi au kwa kutaka kupotezea watu muda wao.Msaidieni mleta mada pale anapoonekana hayuko vizuri aweke sawa wapi arekebishe wapi aboreshe nk Msianze kumpa setbacks mapema yote hii.
Huwa nachukia sana mwalimu anayemwambia mwanafunzi 'wewe hata ufanyaje utafeli tu! 🙄..... Hatuwezi kuendelea kwa style hii!!!
Mkuu nikweli ndio maana wahindi wanatuta mtu mwenye elimu ndogo labda ya veta wanamlipa elfu 7 Kwa siku. Kisha wanamtrain anafanya kazi nyingi hasa za operation lkn kazi hio hio unakuta wameajiri mtu mwenye degree wanamlipa million Moja. Watu wote hao wawili wanafanya kazi lakini malipo ni tofauti, utajikuta baada ya muda kwenda yule mwenye degree anajidharau Kwa sababu anaona kazi zake zinafanywa hata na mtu wa Veta au mtu mwenye certificate. Unajua Kwa Nini wanafanya hivyo?. Ufundi au utaalamu unafundishika.Ni kweli sababu mtu mwenye exposure kukuingizia hela ndefu halafu umlipe 140K ni ngumu. Utapigwa utachakaa
Hawahawa wabongo mbona wanafanya kazi kwa wahindi miaka nenda Rudi na hawaondoki Kwa mishahara ya elfu tano Kwa siku mkuu au unazungumzia wabongo wa wapi?.Hahhaa huwajui wabongo mkuu...
Kwahilo mkuu usiwaze nimefanya baadhi ya project nikiwa bado niko chuo ambazo wenzangu wote walishauri kua zitafeli lakini mpaka Leo zimesimama. Kwahilo hakuna wakunikatisha tamaa naamini naweza kuchelewa kufika lakini ntafika japo Kwa jasho na damu.Msaidieni mleta mada pale anapoonekana hayuko vizuri aweke sawa wapi arekebishe wapi aboreshe nk Msianze kumpa setbacks mapema yote hii.
Huwa nachukia sana mwalimu anayemwambia mwanafunzi 'wewe hata ufanyaje utafeli tu! 🙄..... Hatuwezi kuendelea kwa style hii!!!
Sawa mkuu wangu naheshimu Sana maandiko yako,lakini naahidi kuleta progress juu ya hii project na picha kadri mradi utakavyokua unaendelea. Nilichojifunza na ambacho kimenisaidia nikuwa watu wengi wenye elimu hufikiri zaidi kabla ya kutenda na hatimae kutotenda kabisa.Ninacho amini kutoka kwako; ni kweli wewe ni kijana mdogo usiyekuwa na uzoefu wowote katika maswala haya ya ufugaji. Sina hakika sana na hizo biashara zako nyingine ulizozitaja hapo mwanzo.
Mategemeo yangu ni kwamba, hata uzoefu tu wa hizo biashara unazodai zinazalisha pato, zingeweza kukupa mwanga tofauti kabisa na haya unayotaka kuyafanya kwenye ufugaji wa kuku.
Kwa mfano: huwezi kwenda kuanza biashara na kufanya utafiti hapo hapo kwa mambo ambayo wengine walishayafanya siku nyingi na taarifa zake zipo wazi.
Wewe hutakuwa mtu wa kwanza kufanya biashara ya hawa kuku, ya nini upoteze muda na upate hasara kwa jambo ambalo tayari linajulikana?
Hili ndilo linalonipa mashaka kuhusu ukweli wa habari yako ya hii biashara na mada nzima kama ulivyoileta hapa.
Nadhani umeamua tu, kuleta andiko, watu wajifurahishe kujibu vyovyote wanavyoona wao.
You're not serious.
usisahau kumshauri na ratio ya majogoo iwe vizuri pia,lakini kama anataka kuwa na hao kuku hata ndani ya miezi saba anaweza anunue mashime ya kutoa mayai 500 kisha nunu mayai kwenye farm kubwa inayo aminika kwajili ya mayai ya kuangua hapokwenye kuchua mayai ni elimu ndogo inahitajika .asilogwe anunu hayo matetea yanze kumtagia kwani kulisha hayo matetea na garama ya kuyanunua bora anze na kununu mayai kwanza badae atachagua wapi abaki naoKwanza kuku chotara usinunue kwa wafugaji, kama kuroiler nunua moja kwa moja kwenye kampuni yao AKM Gliters, saso ile kampuni nimesahau jina au tanbro wa interchick, pia ukitaka mradi ukue haraka nunua incubator , tengeneza mabanda ya kulelea vifaranga ya kisasa ambayo vifaranga havitapata magonjwa kirahisi..
kwa kuku wa kienyeji nunua matetea ata mia mbili kidogo kidogo, wakiwa wanataga mayai unaweka kwenye incubator usiwaruhusu walalie wakitaka kulalia wanaweka kwenye maji ili zile dalili za kulalia zipotee baada ya wiki mbili anaanza kutaga tena .
Asantee mkuu.usisahau kumshauri na ratio ya majogoo iwe vizuri pia,lakini kama anataka kuwa na hao kuku hata ndani ya miezi saba anaweza anunue mashime ya kutoa mayai 500 kisha nunu mayai kwenye farm kubwa inayo aminika kwajili ya mayai ya kuangua hapokwenye kuchua mayai ni elimu ndogo inahitajika .asilogwe anunu hayo matetea yanze kumtagia kwani kulisha hayo matetea na garama ya kuyanunua bora anze na kununu mayai kwanza badae atachagua wapi abaki nao
kingine kuku ni usafi usafi usafi yani usafi,chanjo,na umakini katika ulishaji kifupi anze na shule kwanza walau
Mimi hata sikuagwa nikiambiwa baada ya siku tatu kuku wamefungiwa Banda.Mie waliwah ondoka wawili ghafla.....kifupi unaagwa asbh ....hatari mno ...
Shida inakuja pale unapokuwa mbali kimajukumuHio nichangamoto Mzee inatakiwa uwe tayari kukabiliana nazo.