Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Ndio maana Mimi najaribu Kwa mara nyingine ila Kwa makubaliano ya kungawia 40% ya faidaNi kweli sababu mtu mwenye exposure kukuingizia hela ndefu halafu umlipe 140K ni ngumu. Utapigwa utachakaa
natamani kukufundisha mengi juu ya huo ufugaji lakini ni mambo mengi na nikianza hapa kumaliza ni ngumu kupitia reply moja kikubwa ukitaka kufuga kwanza ni vyema kujua namna ya kuwakinga mifugo yako na magonjwa,wadudu udumavu na ubora wa kile unacho kifugaAsantee mkuu.
Dah..unaweza pata ugonjwa wa moyo..pole sanaMimi hata sikuagwa nikiambiwa baada ya siku tatu kuku wamefungiwa Banda.
Ikabidi nimtume mtu akawahamushie Kwa Kwa jamaa yangu; niliemtuma nae akanipiga na kitu kizito; huko nako nilikopelekwa ikawa shida.
Nilianzw na kuku wa kienyeji 20 mpaka kijana anaondika walikuwa 170+ niliokuja kuambulia ni 15 tu
unafahamu ni kiasi gani cha chakula utapaswa kuwalisha hao kuku 5000 kwa siku wakiwa na miezi sita kwa mfano?Asantee mkuu.
EEeeenHeeeee!Sawa mkuu wangu naheshimu Sana maandiko yako,lakini naahidi kuleta progress juu ya hii project na picha kadri mradi utakavyokua unaendelea. Nilichojifunza na ambacho kimenisaidia nikuwa watu wengi wenye elimu hufikiri zaidi kabla ya kutenda na hatimae kutotenda kabisa.
LOOooh!Ndio maana Mimi najaribu Kwa mara nyingine ila Kwa makubaliano ya kungawia 40% ya faida
Kwa mtindo huo utafanikiwa, sikuhizi biashara ya kumsindikiza mtu kwenye utajiri hakuna 😀!Ndio maana Mimi najaribu Kwa mara nyingine ila Kwa makubaliano ya kungawia 40% ya faida
Ukiwaza sana utakata tamaa kabisa.Sawa mkuu wangu naheshimu Sana maandiko yako,lakini naahidi kuleta progress juu ya hii project na picha kadri mradi utakavyokua unaendelea. Nilichojifunza na ambacho kimenisaidia nikuwa watu wengi wenye elimu hufikiri zaidi kabla ya kutenda na hatimae kutotenda kabisa.
Ni dm aisee, maana kwenye miradi ya kuku kuna mengi sana na lazima machache uyajue. Kufika kuku 5k ndan ya mwana mmoja sio shiida ila ni kipato chako tuu japo hao kuku n wengi sana sana hivo waza gharama za chakula, wafanyakaz na materials mengine kwaajili ya hilo shamba lako.Heshima yenu wakuu
Umri wangu ni miaka 28/32, Sina mtoto wala mke na biashara kadhaa kama 3 tofauti na pia najilipa mshahara wa Mil 1.8 per month kama Gross huu nikwaajili ya matumizi yangu binafsi nakufanya saving Kwa ajili ya kuanzishia biashara mpya Sasa nimeamua niingie katika ufugaji wa kuku.
Mimi binafsi nahitaji nianze ufugaji wa kuku chotara, ambao wanataga na kuatamia, pamoja na kuku wakienyeji. Ingawa Kuna Comment ya mkuu Kalamu niliwahi isoma hapa jukwaani akiisema kuku wakienyeji hawalipi na wafugaji wengi wanafuga ufugaji wa bila faida hasa wa mazoea.
Sasa siku za hivi karibuni naona wafugaji wengine wanafakiwa kuuza kuku mmoja bei ya elfu 30 Jogoo, na jike wanauza elfu 25. Baada yakufanya utafiti kidogo nimeamua ni fanye ufugaji na target yangu ni kuku 5000, kufikia December 2025. Mpaka Sasa nakuku wanane tu, wawili wa kienyeji, sasso 5 na kroila 1. Nimeanza kuku wachache Hawa nikiwa nikiwa naandaa mabanda yakamilike ndio niongenze kuku wengine.
Je Kwa maono yenu wazoefu wa ufugaji kuku, kufuga kuku mchanganyiko wa kienyeji pure, sasso, kuchi, kroila pamoja na Mbegu nyinginezo inaleta tija?.
Je ushauri wenu ni nini juu ya Mimi kufikia target ya kuku elfu 5 ndani ya mwaka 1 na miez 6?.
Sina uzoefu wowote katika ufugaji, lakini nategemea kuwaweka vijana wakike wawili ambao wao niwazoefu katika uangalizi wakuku na ntakua nawalipa kiasi Cha pesa kulingana na makubaliano yangu na wao.
Mabanda yapo mawili Kila Moja nalijenga sehemu tofautina yako mwishoni ili niweze kujua yupi anafanya kazi nzuri ili niongenze nguvu Kwa muangalizi mzuri zaidi.
Budget yangu ni 462,000/= Tzsh. Kwa Kila mwezi ndani ya miezi sita yakwanza, hii nipamoja nakunnua chakula pamoja na kuku wakubwa, vifaranga na chakula bila kusahu dawa na chanjo zake.
Hii 462,000 Tzsh, ninje na makubaliano ya mishahara yao.
Mpango wangu nikuku watakatakapofika 1500/2000 nisinunue kuku yeyote bali wazaliane wao Kwa wao tu.
Nimepanga kuwalipa Kila muangalizi shilling elfu 70 Kila baada ya week 2, nikiwa namaana tare 16 ntawalipa elfu 70 Kila mmoja na tare 2 ntawalipa elfu 70 Kila mmoja, hii iweze kuwasaidia wao katika suala la matumizi binafsi madogo madogo. Pia Kila mtu atakua anakaa mahala hapo kwenye Banda husika, ingawa Mimi Niko mbali kidogo na Banda husika lakini nikihitaji kufika naweza kufika ndani muda mchache usiozidi nusu saa.
Nilikua naomba ushauri wenu juu ya mradi wangu huu, kuhusu masoko ya kuwauza nimepanga hapo baadae kufungua butcha za kuuza nyama za kuku , hizi butcha nimepanga kuzifungulia Dar es Salaam Kwa hapo baadae hasa 2026 kwahio ntaweza kuuza jumla na reja reja, pia ntahitaji kununua kuku wengine kutoka Kwa wafugaji wenzangu kadri soko la wanunuzi wa jumla wakuku litakavyoongezeka.
Mradi wangu naufanyia Tanga mjini wa ufugaji, maana ndipo nimeona aridhi inanunulika Kwa bei rahisi kidogo kulinganisha na Dar es Salaam.
Nimeambatanisha Banda langu mojawapo nalolimalizia pamoja na picha kuku za kuku wangu 3.
Naamini haitokua rahisi kufikia kuku elfu 5, lakini naamini pia haishindikani kufikia malengo.
Asante wakuuu wangu na karibu niweze pata mchango na mawazo yenu kama hamtojali.
Wew unataka ujue Ela aliyonayo bank ili iweje kama sio Uchawi na chukiUmeniita, nami nipo hapa.
Kwanza nitoe dukuduku. Huwa sipendi ubabaishaji katika mambo muhimu kama hili unalozungumzia hapa.
Stori yako haikunyooka sana, pamoja na kuwepo kwa mambo yanayoonekana kuwa ya maana.
Nitoe mfano: Umesema umri wako ni miaka mingapi?
Umesema unazo biashara nyingine zinazokuingizia pato la kukulipa mshahara wa Tsh. ngapi? Hizi biashara zinaendeleaje, na itakuwa vipi utakapojitumbukiza kwenye ufugaji wa holela usiokuwa na mpangilio kama huu ulioeleza hapa!
Sasa ukitaka nishiriki kwenye kutoa ushauri katika ufugaji, nyoosha stori yako ieleweke vizuri. Habari yako ina michongo mingi isiyo eleweka.
Ukilazimisha kufuga kwa kutegemea mpangilio huu ulioweka hapa nikwambie bila kusita, kwamba hufiki popote.
Kwa sasa nitakuacha na hayo machache.
N.B. Naona hapo mkuu 'Fursa Kibao' kakutia mori!
Kama unategemea kufuga kwa namna hiyo aliyoeleza hapo, utafuga kwa kusadikika tu!
Kumbuka, usinilaumu. Si nia yangu kukukatisha tamaa, lakini andiko lako kama ulivyoliwasilisha, lina maswali mengi yasiyoeleweka. Kwa kifupi ni kwamba siamini kuwa wewe uko tayari kufuga kuku.
Mwaga nondo hapaKuku 100 watakuchelewesha;Anza na mia 300 angalau. Bajeti ulioitaja hapo inatosha Hadi kuku 500 Kwa mwezi.
Usitake kujifunza utaumia. Tumia wataalamu hakikisha vifaranga vinapata chanjo zote nitakuwekua list hapa ya chanjo na mda wa kuchanja
Hio bei ya kuku ni ya wapi hio? Fanya utafiti ili usije lia baadae.Heshima yenu wakuu
Umri wangu ni miaka 28/32, Sina mtoto wala mke na biashara kadhaa kama 3 tofauti na pia najilipa mshahara wa Mil 1.8 per month kama Gross huu nikwaajili ya matumizi yangu binafsi nakufanya saving Kwa ajili ya kuanzishia biashara mpya Sasa nimeamua niingie katika ufugaji wa kuku.
Mimi binafsi nahitaji nianze ufugaji wa kuku chotara, ambao wanataga na kuatamia, pamoja na kuku wakienyeji. Ingawa Kuna Comment ya mkuu Kalamu niliwahi isoma hapa jukwaani akiisema kuku wakienyeji hawalipi na wafugaji wengi wanafuga ufugaji wa bila faida hasa wa mazoea.
Sasa siku za hivi karibuni naona wafugaji wengine wanafakiwa kuuza kuku mmoja bei ya elfu 30 Jogoo, na jike wanauza elfu 25. Baada yakufanya utafiti kidogo nimeamua ni fanye ufugaji na target yangu ni kuku 5000, kufikia December 2025. Mpaka Sasa nakuku wanane tu, wawili wa kienyeji, sasso 5 na kroila 1. Nimeanza kuku wachache Hawa nikiwa nikiwa naandaa mabanda yakamilike ndio niongenze kuku wengine.
Je Kwa maono yenu wazoefu wa ufugaji kuku, kufuga kuku mchanganyiko wa kienyeji pure, sasso, kuchi, kroila pamoja na Mbegu nyinginezo inaleta tija?.
Je ushauri wenu ni nini juu ya Mimi kufikia target ya kuku elfu 5 ndani ya mwaka 1 na miez 6?.
Sina uzoefu wowote katika ufugaji, lakini nategemea kuwaweka vijana wakike wawili ambao wao niwazoefu katika uangalizi wakuku na ntakua nawalipa kiasi Cha pesa kulingana na makubaliano yangu na wao.
Mabanda yapo mawili Kila Moja nalijenga sehemu tofautina yako mwishoni ili niweze kujua yupi anafanya kazi nzuri ili niongenze nguvu Kwa muangalizi mzuri zaidi.
Budget yangu ni 462,000/= Tzsh. Kwa Kila mwezi ndani ya miezi sita yakwanza, hii nipamoja nakunnua chakula pamoja na kuku wakubwa, vifaranga na chakula bila kusahu dawa na chanjo zake.
Hii 462,000 Tzsh, ninje na makubaliano ya mishahara yao.
Mpango wangu nikuku watakatakapofika 1500/2000 nisinunue kuku yeyote bali wazaliane wao Kwa wao tu.
Nimepanga kuwalipa Kila muangalizi shilling elfu 70 Kila baada ya week 2, nikiwa namaana tare 16 ntawalipa elfu 70 Kila mmoja na tare 2 ntawalipa elfu 70 Kila mmoja, hii iweze kuwasaidia wao katika suala la matumizi binafsi madogo madogo. Pia Kila mtu atakua anakaa mahala hapo kwenye Banda husika, ingawa Mimi Niko mbali kidogo na Banda husika lakini nikihitaji kufika naweza kufika ndani muda mchache usiozidi nusu saa.
Nilikua naomba ushauri wenu juu ya mradi wangu huu, kuhusu masoko ya kuwauza nimepanga hapo baadae kufungua butcha za kuuza nyama za kuku , hizi butcha nimepanga kuzifungulia Dar es Salaam Kwa hapo baadae hasa 2026 kwahio ntaweza kuuza jumla na reja reja, pia ntahitaji kununua kuku wengine kutoka Kwa wafugaji wenzangu kadri soko la wanunuzi wa jumla wakuku litakavyoongezeka.
Mradi wangu naufanyia Tanga mjini wa ufugaji, maana ndipo nimeona aridhi inanunulika Kwa bei rahisi kidogo kulinganisha na Dar es Salaam.
Nimeambatanisha Banda langu mojawapo nalolimalizia pamoja na picha kuku za kuku wangu 3.
Naamini haitokua rahisi kufikia kuku elfu 5, lakini naamini pia haishindikani kufikia malengo.
Asante wakuuu wangu na karibu niweze pata mchango na mawazo yenu kama hamtojali.
EEEeeenHeeeee!Wew unataka ujue Ela aliyonayo bank ili iweje kama sio Uchawi na chuki
Personal details za biashara zake zingine zinakuhusu Nini !?
Wabongo kama ninyi wajinga sana
Wewe ni mzungu wa roho , haki na ibaki kwako daimaNinajua unapolenga, lakini kama nilivyosema, wengine tupo hivyo. Nikiona umekengeuka nitakwambia waziwazi umekengeuka; na hasa ninapoona kukengeuka kwako ni kwa maksudi au kwa kutaka kupotezea watu muda wao.
"Chukia" upendavyo, lakini kama huna nia ya kujifunza haitakusaidia chochote.
Haya, lete unachojua wewe.
Huna mchango kwa Taifa kaa pembeniEEEeeenHeeeee!
Ona huyu mlevi, sijui anatafuta kitu gani huku JF. Umeona wapi nikiuliza 'details' hizo unazodai wewe?
Sasa ushauri wako kwake ni nini, akalewe kama ulivyolewa wewe?
In fact, wewe siyo mlevi, wewe ni chizi.
Ukweli ni kwamba sina mudawa kupoteza na chizi.Huna mchango kwa Taifa kaa pembeni
Kwa hali ya hewa ya Tanga ni joto na hayo mabanda yako umeyajenga mafupi mno hili litapelekea kuku kutopata hewa nzuri na hupelekea vifo kwa kukuHeshima yenu wakuu
Umri wangu ni miaka 28/32, Sina mtoto wala mke na biashara kadhaa kama 3 tofauti na pia najilipa mshahara wa Mil 1.8 per month kama Gross huu nikwaajili ya matumizi yangu binafsi nakufanya saving Kwa ajili ya kuanzishia biashara mpya Sasa nimeamua niingie katika ufugaji wa kuku.
Mimi binafsi nahitaji nianze ufugaji wa kuku chotara, ambao wanataga na kuatamia, pamoja na kuku wakienyeji. Ingawa Kuna Comment ya mkuu Kalamu niliwahi isoma hapa jukwaani akiisema kuku wakienyeji hawalipi na wafugaji wengi wanafuga ufugaji wa bila faida hasa wa mazoea.
Sasa siku za hivi karibuni naona wafugaji wengine wanafakiwa kuuza kuku mmoja bei ya elfu 30 Jogoo, na jike wanauza elfu 25. Baada yakufanya utafiti kidogo nimeamua ni fanye ufugaji na target yangu ni kuku 5000, kufikia December 2025. Mpaka Sasa nakuku wanane tu, wawili wa kienyeji, sasso 5 na kroila 1. Nimeanza kuku wachache Hawa nikiwa nikiwa naandaa mabanda yakamilike ndio niongenze kuku wengine.
Je Kwa maono yenu wazoefu wa ufugaji kuku, kufuga kuku mchanganyiko wa kienyeji pure, sasso, kuchi, kroila pamoja na Mbegu nyinginezo inaleta tija?.
Je ushauri wenu ni nini juu ya Mimi kufikia target ya kuku elfu 5 ndani ya mwaka 1 na miez 6?.
Sina uzoefu wowote katika ufugaji, lakini nategemea kuwaweka vijana wakike wawili ambao wao niwazoefu katika uangalizi wakuku na ntakua nawalipa kiasi Cha pesa kulingana na makubaliano yangu na wao.
Mabanda yapo mawili Kila Moja nalijenga sehemu tofautina yako mwishoni ili niweze kujua yupi anafanya kazi nzuri ili niongenze nguvu Kwa muangalizi mzuri zaidi.
Budget yangu ni 462,000/= Tzsh. Kwa Kila mwezi ndani ya miezi sita yakwanza, hii nipamoja nakunnua chakula pamoja na kuku wakubwa, vifaranga na chakula bila kusahu dawa na chanjo zake.
Hii 462,000 Tzsh, ninje na makubaliano ya mishahara yao.
Mpango wangu nikuku watakatakapofika 1500/2000 nisinunue kuku yeyote bali wazaliane wao Kwa wao tu.
Nimepanga kuwalipa Kila muangalizi shilling elfu 70 Kila baada ya week 2, nikiwa namaana tare 16 ntawalipa elfu 70 Kila mmoja na tare 2 ntawalipa elfu 70 Kila mmoja, hii iweze kuwasaidia wao katika suala la matumizi binafsi madogo madogo. Pia Kila mtu atakua anakaa mahala hapo kwenye Banda husika, ingawa Mimi Niko mbali kidogo na Banda husika lakini nikihitaji kufika naweza kufika ndani muda mchache usiozidi nusu saa.
Nilikua naomba ushauri wenu juu ya mradi wangu huu, kuhusu masoko ya kuwauza nimepanga hapo baadae kufungua butcha za kuuza nyama za kuku , hizi butcha nimepanga kuzifungulia Dar es Salaam Kwa hapo baadae hasa 2026 kwahio ntaweza kuuza jumla na reja reja, pia ntahitaji kununua kuku wengine kutoka Kwa wafugaji wenzangu kadri soko la wanunuzi wa jumla wakuku litakavyoongezeka.
Mradi wangu naufanyia Tanga mjini wa ufugaji, maana ndipo nimeona aridhi inanunulika Kwa bei rahisi kidogo kulinganisha na Dar es Salaam.
Nimeambatanisha Banda langu mojawapo nalolimalizia pamoja na picha kuku za kuku wangu 3.
Naamini haitokua rahisi kufikia kuku elfu 5, lakini naamini pia haishindikani kufikia malengo.
Asante wakuuu wangu na karibu niweze pata mchango na mawazo yenu kama hamtojali.
Halafu kitu kingine kuhusu sokoHeshima yenu wakuu
Umri wangu ni miaka 28/32, Sina mtoto wala mke na biashara kadhaa kama 3 tofauti na pia najilipa mshahara wa Mil 1.8 per month kama Gross huu nikwaajili ya matumizi yangu binafsi nakufanya saving Kwa ajili ya kuanzishia biashara mpya Sasa nimeamua niingie katika ufugaji wa kuku.
Mimi binafsi nahitaji nianze ufugaji wa kuku chotara, ambao wanataga na kuatamia, pamoja na kuku wakienyeji. Ingawa Kuna Comment ya mkuu Kalamu niliwahi isoma hapa jukwaani akiisema kuku wakienyeji hawalipi na wafugaji wengi wanafuga ufugaji wa bila faida hasa wa mazoea.
Sasa siku za hivi karibuni naona wafugaji wengine wanafakiwa kuuza kuku mmoja bei ya elfu 30 Jogoo, na jike wanauza elfu 25. Baada yakufanya utafiti kidogo nimeamua ni fanye ufugaji na target yangu ni kuku 5000, kufikia December 2025. Mpaka Sasa nakuku wanane tu, wawili wa kienyeji, sasso 5 na kroila 1. Nimeanza kuku wachache Hawa nikiwa nikiwa naandaa mabanda yakamilike ndio niongenze kuku wengine.
Je Kwa maono yenu wazoefu wa ufugaji kuku, kufuga kuku mchanganyiko wa kienyeji pure, sasso, kuchi, kroila pamoja na Mbegu nyinginezo inaleta tija?.
Je ushauri wenu ni nini juu ya Mimi kufikia target ya kuku elfu 5 ndani ya mwaka 1 na miez 6?.
Sina uzoefu wowote katika ufugaji, lakini nategemea kuwaweka vijana wakike wawili ambao wao niwazoefu katika uangalizi wakuku na ntakua nawalipa kiasi Cha pesa kulingana na makubaliano yangu na wao.
Mabanda yapo mawili Kila Moja nalijenga sehemu tofautina yako mwishoni ili niweze kujua yupi anafanya kazi nzuri ili niongenze nguvu Kwa muangalizi mzuri zaidi.
Budget yangu ni 462,000/= Tzsh. Kwa Kila mwezi ndani ya miezi sita yakwanza, hii nipamoja nakunnua chakula pamoja na kuku wakubwa, vifaranga na chakula bila kusahu dawa na chanjo zake.
Hii 462,000 Tzsh, ninje na makubaliano ya mishahara yao.
Mpango wangu nikuku watakatakapofika 1500/2000 nisinunue kuku yeyote bali wazaliane wao Kwa wao tu.
Nimepanga kuwalipa Kila muangalizi shilling elfu 70 Kila baada ya week 2, nikiwa namaana tare 16 ntawalipa elfu 70 Kila mmoja na tare 2 ntawalipa elfu 70 Kila mmoja, hii iweze kuwasaidia wao katika suala la matumizi binafsi madogo madogo. Pia Kila mtu atakua anakaa mahala hapo kwenye Banda husika, ingawa Mimi Niko mbali kidogo na Banda husika lakini nikihitaji kufika naweza kufika ndani muda mchache usiozidi nusu saa.
Nilikua naomba ushauri wenu juu ya mradi wangu huu, kuhusu masoko ya kuwauza nimepanga hapo baadae kufungua butcha za kuuza nyama za kuku , hizi butcha nimepanga kuzifungulia Dar es Salaam Kwa hapo baadae hasa 2026 kwahio ntaweza kuuza jumla na reja reja, pia ntahitaji kununua kuku wengine kutoka Kwa wafugaji wenzangu kadri soko la wanunuzi wa jumla wakuku litakavyoongezeka.
Mradi wangu naufanyia Tanga mjini wa ufugaji, maana ndipo nimeona aridhi inanunulika Kwa bei rahisi kidogo kulinganisha na Dar es Salaam.
Nimeambatanisha Banda langu mojawapo nalolimalizia pamoja na picha kuku za kuku wangu 3.
Naamini haitokua rahisi kufikia kuku elfu 5, lakini naamini pia haishindikani kufikia malengo.
Asante wakuuu wangu na karibu niweze pata mchango na mawazo yenu kama hamtojali.