Naomba ushauri wako nasaha juu ya kufikia malengo ya kuku elfu 5 ndani ya mwaka mmoja na miezi sita

wazo zuri.
 
Pole mkuu.
 
Asante kwa ushauri.
 
Nimechukua ushauri wako kaka.
 
Ni kweli sababu mtu mwenye exposure kukuingizia hela ndefu halafu umlipe 140K ni ngumu. Utapigwa utachakaa
Mkuu kheri kufanya kisha ukifeli utanya tena kuliko kutofanya kabisa. Mimi ndio naanza nahitaji nijibane na angalau kila siku nne za wiki nipo Tanga kwa sasa mpaka 2027, kwahio ntakua na uangalizi mzuri tu.
 
Mkuu biashara kama unaianza huwezi mlipa mtu hivyo, kwanza unakua huna uhakika wa mambo mengi nsa vingi tunavyoweka kwenye mpango kazi ground hua tofauti.
 
Ushauri mzur Sana huu
 
Mkuu kheri kufanya kisha ukifeli utanya tena kuliko kutofanya kabisa. Mimi ndio naanza nahitaji nijibane na angalau kila siku nne za wiki nipo Tanga kwa sasa mpaka 2027, kwahio ntakua na uangalizi mzuri tu.
Hapo utafanikiwa anza kusimamia mwenyewe tu
 
Ndio unatakiwa usimamie hadi uweze kulipa watu
Hao wenye elimu kubwa siwahitaji Kwa Sasa, nahitaji mtu alieishia form four tu na akafeli. Siku mambo yakiwa mazuri ntatafuta hao wanaohitaji mishahara mikubwa Sasa kulingana na namna mradi unavyozidi imarika.
 
EEEeeenHeeeee!
Ona huyu mlevi, sijui anatafuta kitu gani huku JF. Umeona wapi nikiuliza 'details' hizo unazodai wewe?

Sasa ushauri wako kwake ni nini, akalewe kama ulivyolewa wewe?

In fact, wewe siyo mlevi, wewe ni chizi.
Samahani lakini, Kwani wewe ni wakike?
 
The best thing ni kuanza. Anza,anza, anza.Umeanza na kuku wachache songa nao. Let them grow gradually while you are learning.
Aliekuambia eneo ni dogo mzingatie sana. Nimewahi ona you tube watu wanaofanya grazing, Yani unaziswaga tu kwenye eneo lako kubwa zinashiba it's a little bit crazy!
Andaa chakula chako, hasa mahindi yatapunguza gharama kwa robo nzima ya gharama ya chakula.
SASA sio waziri kwa maya, wanakula sana labda kwa ajili ya kuku wazazi tu.
Fuga ng'ombe wa maziwa walau 4tu, hawa huita wadudu na hasa kwa kuku wa kienyeji.
Farming is an art, every day you create new way to solve daily problems. Kufuga nayo ni hob,tayari unayo, hivyo furahia unachokifanya Mwanzoni hakilipi but it make you enjoy.
Mwisho, oa,oa is Kama hao mabinti ni watulivu chagua mmoja maana hobi zenu zitakuwa sawa yaani wafugaji. Miaka 32 si verma ukawa huna mke wala mtoto, hivyo vitu si muda mrefu vitahitaji sapoti ya mke na watoto. Utachelewa kufanya naturing kwa watoto na mke, ni muhimu Waone how you grow from zero to rich kuliko wazaliwe wakute wewe ni welloff.
 
Binafsi nimekusoma sana mkuu. Naiona comintment kubwa ndani yako. Shida ya Jf hasa jukwaa letu linakosa kabisa mrejesho sijui shida huwa ipo wapi. Mfano uzi maarufu wa nimeamua kulima mara ya pili hauna kabisa mrejesho zaidi ya miaka 10 sasa... nakutakia ufugaji mwema twende malawi tukatafute kuku next weak
 
Hatariii mkuu mapambano yanaendelea. Ingawa sio rahis lkn tunaendelea kupambana.
 

Attachments

  • VID-20240125-WA0004.mp4
    5.3 MB

Mkuu bado mapambano yanaendelea ingawa kufikia malengo bado sana, lakini sihaba kunajapo hatua Moja imepigwa.
Mwalimu bado naendelea kujifunza kupitia ukosowaji wako. Lakini dhamira ni ile ile kuku 5000 lazima wafikiwe ingawa sikwamuda ule niliotarajia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…