johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nimeyakagua pale maonesho ya Sabasaba
La Mwanza ni Nissan saloon linatumia umeme 100%
Ni mtumba
Betri ikiwa full unatembea km 200
Betry inachajiwa kwa saa 8 hadi 15
Ya pili ni Toyota
Inatumia Umeme na Petrol
Lita moja ya Petrol unatembea km 25
Hawapo barabarani hayana muungurumo zaidi ya kupiga honi tu
Bei yake moja
Ushauri tafadhali lipi litafaa zaidi katika mazingira ya Tanzania
Natanguliza shukrani
La Mwanza ni Nissan saloon linatumia umeme 100%
Ni mtumba
Betri ikiwa full unatembea km 200
Betry inachajiwa kwa saa 8 hadi 15
Ya pili ni Toyota
Inatumia Umeme na Petrol
Lita moja ya Petrol unatembea km 25
Hawapo barabarani hayana muungurumo zaidi ya kupiga honi tu
Bei yake moja
Ushauri tafadhali lipi litafaa zaidi katika mazingira ya Tanzania
Natanguliza shukrani