Naomba ushauri wenu juu ya haya magari ya kutumia Umeme yaliyoingia nchini, nimeyapenda kwa mazingira ya sasa

Naomba ushauri wenu juu ya haya magari ya kutumia Umeme yaliyoingia nchini, nimeyapenda kwa mazingira ya sasa

Yaani watembea km 200 tu betri imeisha, kisha uchaji betri kwa karibu saa 10! Duh, kwa hiyo hayo masaa 10 unakuwa umepaki wasubiria betri lijae au unakuwa upo kwenye mwendo betri lajichaji automatically?!

Pengine labda itabidi uwe na betri zaidi ya moja (angalau tatu hivi) ukizingatia na umeme wetu wa kuunga unga
Inafaa uwe na betri 2
 
Nafikiri hiyo ndo future. Betri zitakuwepo tu na vituo vya kuzijaza zinapoisha. Ukiingia kwenye kituo unampa empty betry anakupa full betry. Huko mbeleni nadhani binadamu wataachana na magari ya mafuta.
Ulaya sasa hivi magari ya umeme yapo kila kona. Makampuni mengi ya magari sasa hivi wanatoa matoleo mapya mengi ya magari ya umeme. Kuna nchi zimeshajiwekea baada ya miaka 15 kutoka sasa magari yote yatakuwa ya umeme. Ila kwa Tanzania sihsauri mtu anunue gari ya umeme kwa sasa. Hasara ni kubwa kuliko faida.
 
Ulaya sasa hivi magari ya umeme yapo kila kona. Makampuni mengi ya magari sasa hivi wanatoa matoleo mapya mengi ya magari ya umeme. Kuna nchi zimeshajiwekea baada ya miaka 15 kutoka sasa magari yote yatakuwa ya umeme. Ila kwa Tanzania sihsauri mtu anunue gari ya umeme kwa sasa. Hasara ni kubwa kuliko faida.
Ukinunua uwe na backup car. D4 engine na hybird zenyewe bado zinaogopeka.
 
Magari mengi ya umeme betri zake ziko fixed na kuitoa ni shughuli. Haziwekwi kama betri za tochi!
Hio haifai bora wabuni mfumo wa betri 2 sawa na baadhi ya magari yenye tank 2 za diesel.

Pili...why hizo gari hazima mfumo wa otoneta ziwe zinajichaji ukiwa una drive?
 
Nimeyakagua pale maonesho ya Sabasaba

La Mwanza ni Nissan saloon linatumia umeme 100%
Ni mtumba
Betty ikiwa full.unatembea km 200
Betry inachajiwa kwa saa 8 hadi 15

Ya pili ni Toyota
Inatumia Umeme na Petrol
Lita moja ya Petrol un atembea km 25

Hawapo barabarani hayana muungurumo zaidi ya kupiga honi tu

Bei yake moja

Ushauri tafadhali lipi litafaa zaidi katika mazingira ya Tanzania

Natanguliza shukrani
Chukua la umeme na mafuta maana ishu iko kwenye battery.. Battery ikifa sio chini ya million mbili kwa moja..!
Ishu nyingine hapo ni converter nayo ikifa ni shida.. Yaani inayobadili umeme kwenda mafuta na kinyume chake
 
Back
Top Bottom