mimi mtakatifu
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 248
- 539
Nipo kwenye miangaiko ya maisha kwa muda wa miaka miwili sasa baada ya kupoteza kazi.
Maisha yamekuwa magumu sana nimetumia akili, maarifa na kila ujanja lakini hali inazidi kuwa mbaya.
Kila kitu sasa nimekuwa nakipata kwa shida iwe kula iwe mahitaji yoyote ya kila siku.
Mimi ni mkiristo na nimekuwa nikimuomba Mungu kila siku anitoe kwenye hii hali lakini imefika sasa naona giza mbele yangu yani nimekuwa wa kulala bila kujua kesho nikiamka nitapata wapi hela ya kula japo milo miwili ya siku.
Kwa muda mrefu watu kadhaa wamekuwa wakishauri niende kwa mganga wa kienyeji naweza kupata msaada uko. Mimi ni mgeni eneo ilo so nimekuwa nnasita pia kuna hofu fulani nnayo maana ni ulimwengu ambao uwa nausikia tu na kuna story za kuogopesha.
Ila nimekata shauri niende tu maana sina alternative kwa sasa......nachohitaji mganga wa kunisaidia kupata kazi na kufungua milango ya kuingia kwenye biashara.
Waliowai kupata kazi au deals za kimaisha baada ya kwenda kwa mganga, naombeni mnisaidie ushauri nini cha kufanya na nini cha kuepuka kufanya kupitia ulimwengu huu.
Pia wapi nitampata mtaalam sahihi wa kunisaidia asiwe mbabaishaji.
Maisha yamekuwa magumu sana nimetumia akili, maarifa na kila ujanja lakini hali inazidi kuwa mbaya.
Kila kitu sasa nimekuwa nakipata kwa shida iwe kula iwe mahitaji yoyote ya kila siku.
Mimi ni mkiristo na nimekuwa nikimuomba Mungu kila siku anitoe kwenye hii hali lakini imefika sasa naona giza mbele yangu yani nimekuwa wa kulala bila kujua kesho nikiamka nitapata wapi hela ya kula japo milo miwili ya siku.
Kwa muda mrefu watu kadhaa wamekuwa wakishauri niende kwa mganga wa kienyeji naweza kupata msaada uko. Mimi ni mgeni eneo ilo so nimekuwa nnasita pia kuna hofu fulani nnayo maana ni ulimwengu ambao uwa nausikia tu na kuna story za kuogopesha.
Ila nimekata shauri niende tu maana sina alternative kwa sasa......nachohitaji mganga wa kunisaidia kupata kazi na kufungua milango ya kuingia kwenye biashara.
Waliowai kupata kazi au deals za kimaisha baada ya kwenda kwa mganga, naombeni mnisaidie ushauri nini cha kufanya na nini cha kuepuka kufanya kupitia ulimwengu huu.
Pia wapi nitampata mtaalam sahihi wa kunisaidia asiwe mbabaishaji.