Kwa mganga panahitaji pesa hakuna mganga atakutibia Bure,
wapo wa bure lakini kuwapata nauli itakatka pesa nzuri tu mpk kumfikia
Siwajui waganga mkuu,naongelea "hear say" so kama unauwezo wakulipa Mganga
akutibie kwann hiyo hela usijiongeze ukafanya biashara asee? Sikia nikwambie ndugu
Hata huko kwa waganga ni pagumu vile vile,malalamiko yako yameegemea zaidi ktk kupata
uhakika wa kesho,kula nk,kwann mkuu usijiajiri? kwann usifanye vibarua? mbona zipo kazi
vibarua vya elfu kumi,saba,tan,nk kwann usiende ukafanye? kote huko umekosa kazi kweli?
Au ku make ni shida kwako? siamini kama umekosa hata vbarua asee siamini mkuu,
Kuna biashara za mtaji ya 50k nyingi kuna za 100k nyingi,Kama upo Dar nina weza kuwa mganga wako
hatuto onana ila naweza kukupa kazi kwa mwezi 1 tu upate mtaji uanze Biashara,Ntakupa kazi ya mshahara wa 100,000 Naamini inakutosha kuanza biashara.
nataka Nikupe kazi ya kupata MTAJI mkuu,kwanini unakimbilia kwa waganga mkuu,unaona faida gani kujazwa chale mwilini mwako?
Hamna kitu inanikata stimu kama nikiona alama za chale mwilini mwa mtu,mkuu hvyo vialama vitajaa mwili wako wote,na hutopata la maana zaidi ya kuwekwa alama za kishenzi.
Kama kweli una nia ya kujiajiri karibu PM nikupe kazi ya kupata Mtaji kwa mwezi m1 tu,kula juu yangu,malazi juu yangu mwisho wa mwezi ntakupa 100k. (kama upo dar tu)
Kama haupo Dar,bado nakushauri kama ndugu yako,Kwa waganga unaenda yaongeza matatizo Amini nakuhakikishia. Heri utafute nauli Kama upo mkoni Uje Dar nikusaidie kwa namna nitakayo ona yafaa.
Shida yako ipo kwenye MWANZO tu,natamani kukusaidia kuanza huko kwngine ntakuacha ujiongeze,mKuu nipo Hapa Karibu uwe huru niambia matamanio yako ila kwa MGANGA hapana,sikusikilizi wala sikushauri.