The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Usinde kutafuta miujiza mbali wakati miujiza uko nayo wewe au unatembea nayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je bado unajishughulisha na kilimo?Chukua zao moja hili ni uhakika.
Baada ya kusafisha heka 10 au zaidi panda mmea wa nyonyo castro oil huu unavuna baada ya miezi 3 na utaendelea kuvuna kwa mda wa miaka 2.
Heka moja ya nyonyo utapata gunia 15 ukizikamua utapata lita 500 za mafuta, so heka 10 ni lita elf 5.
Jifunze kutengeneza sabuni za mche za mawingu
Lita moja ya mafuta utapata miche 2 mara lita elf 5 utapata miche elf 10.
Uza mche kwa sh 1500 mara elf 10 utapata milioni 15.
Kilimo ndio njia rahisi ya kumtoa masikiniJe bado unajishughulisha na kilimo?
[emoji239][emoji239] Mara Paap! Amekula punje 3tu[emoji1787]Nenda tunduma ukadonoleshe kuku mahindi.
Ufugaji piaKilimo ndio njia rahisi ya kumtoa masikini
Nipo kwenye miangaiko ya maisha kwa muda wa miaka miwili sasa baada ya kupoteza kazi.
Maisha yamekuwa magumu sana nimetumia akili, maarifa na kila ujanja lakini hali inazidi kuwa mbaya.
Kila kitu sasa nimekuwa nakipata kwa shida iwe kula iwe mahitaji yoyote ya kila siku.
Mimi ni mkiristo na nimekuwa nikimuomba Mungu kila siku anitoe kwenye hii hali lakini imefika sasa naona giza mbele yangu yani nimekuwa wa kulala bila kujua kesho nikiamka nitapata wapi hela ya kula japo milo miwili ya siku.
Kwa muda mrefu watu kadhaa wamekuwa wakishauri niende kwa mganga wa kienyeji naweza kupata msaada uko. Mimi ni mgeni eneo ilo so nimekuwa nnasita pia kuna hofu fulani nnayo maana ni ulimwengu ambao uwa nausikia tu na kuna story za kuogopesha.
Ila nimekata shauri niende tu maana sina alternative kwa sasa......nachohitaji mganga wa kunisaidia kupata kazi na kufungua milango ya kuingia kwenye biashara.
Waliowai kupata kazi au deals za kimaisha baada ya kwenda kwa mganga, naombeni mnisaidie ushauri nini cha kufanya na nini cha kuepuka kufanya kupitia ulimwengu huu.
Pia wapi nitampata mtaalam sahihi wa kunisaidia asiwe mbabaishaji.
Kirahisi hivyo basi sawa..Jaribu hii ikusaidie kuondoa umasikini.
Njia rahisi ya kuondokana na umasikini kwa mtu asiye na kipato.
Ardhi still bado ndio mtaji rahisi wa kutokea kimaisha.
Nje ya mji mapori tele yamejaa hata bure au kukodi unaweza pata safisha angalau si chini ya heka 10,panda mazao yasiyo na changamoto mfano kunde, alizeti, mtama, nk.
Chukua zao moja hili ni uhakika.
Baada ya kusafisha heka 10 au zaidi panda mmea wa nyonyo castro oil huu unavuna baada ya miezi 3 na utaendelea kuvuna kwa mda wa miaka 2.
Heka moja ya nyonyo utapata gunia 15 ukizikamua utapata lita 500 za mafuta, so heka 10 ni lita elf 5.
Jifunze kutengeneza sabuni za mche za mawingu
Lita moja ya mafuta utapata miche 2 mara lita elf 5 utapata miche elf 10.
Uza mche kwa sh 1500 mara elf 10 utapata milioni 15.
Jinsi ya kutengeneza mashine ya kukamua mbegu za mafuta tafuta bomba inchi nne tafuta Nondo mm 12 ikunje mfano wa spring ingiza ndani ya bomba mbele ya bomba ziba acha tundu dogo.Toboa toboa Bomba vitundu vidogo Ili mafuta yamwagike chini, weka mshikio wa kunyongea Ili ukamue mafuta.
Ukipata pesa kodi nyumba nenda viwandani kafunge bidhaa ambazo ni daily use kisha jaza kwenye nyumba uliyokodi kisha uwe tengeneza network na wauzaji wa dogo uwe unawasambazia bidhaa wanazoishiwa.
Kwa kufanya hivi ndani ya mwaka utakua mbali sana utaoa, utajenga, nk.
Kivigumu kama ukiamua kuwa ngumu pia.Kirahisi hivyo basi sawa..