Naomba ushauri wenu, nataka kwenda kwa mganga

Kwanza kama una nia ya kwenda kwa mganga kuwa makini na matapeli.
Mganga yoyote asikuambie umtie fedha kwanza ndo afanye huduma.
Jambo la pili ungesema uko mkoa ghn ili uelekezwe kwa mtaalamu wa karibu.
Nipo Dar es Salaam kiongozi
 
Mimi ni mtu wa ibada nimekulia maisha hayo pia sina mambo mengi kwenye maisha nna vitu vichache nnavyo concentrate navyo.
Kama kuna dhambi inayosababisha haya labda ya kuzini ila sina baya la hivyo na hata wakati nna kipato mimi ni mtu wa kujitoa sana kwa wengine.
 
Mkuu naomba connection kama hutojali
 
Soma kwanza avatar yako ndo uamue, lakin ni maisha tu , tafuta kazi za kutumia nguvu huwez kosa yaan utafute kazi kama ya kujenga , kupiga tofari utawaza kwa mganga
 
Pia wapi nitampata mtaalam sahihi wa kunisaidia asiwe mbabaishaji.

Nakuhakikisha...

M'baya wako wa kwanza ambaye hutakuja kumsahau hadi unaingia kaburini ni huyo atakayekuonyesha utakapompata huyo Mganga...

Hakuna mtu aliwahi kwenda kwa mganga mwenyewe,, lazima kuna mtu alimpeleka,,, na hao watu ndio madalali wa hao waganga..

Chunga sana,,,utapoteza hata hicho kidogo ulicho nacho...

Cc: Mshana Jr
 
Kwa mganga panahitaji pesa hakuna mganga atakutibia Bure,

wapo wa bure lakini kuwapata nauli itakatka pesa nzuri tu mpk kumfikia

Siwajui waganga mkuu,naongelea "hear say" so kama unauwezo wakulipa Mganga

akutibie kwann hiyo hela usijiongeze ukafanya biashara asee? Sikia nikwambie ndugu

Hata huko kwa waganga ni pagumu vile vile,malalamiko yako yameegemea zaidi ktk kupata

uhakika wa kesho,kula nk,kwann mkuu usijiajiri? kwann usifanye vibarua? mbona zipo kazi

vibarua vya elfu kumi,saba,tan,nk kwann usiende ukafanye? kote huko umekosa kazi kweli?

Au ku make ni shida kwako? siamini kama umekosa hata vbarua asee siamini mkuu,

Kuna biashara za mtaji ya 50k nyingi kuna za 100k nyingi,Kama upo Dar nina weza kuwa mganga wako

hatuto onana ila naweza kukupa kazi kwa mwezi 1 tu upate mtaji uanze Biashara,Ntakupa kazi ya mshahara wa 100,000 Naamini inakutosha kuanza biashara.

nataka Nikupe kazi ya kupata MTAJI mkuu,kwanini unakimbilia kwa waganga mkuu,unaona faida gani kujazwa chale mwilini mwako?

Hamna kitu inanikata stimu kama nikiona alama za chale mwilini mwa mtu,mkuu hvyo vialama vitajaa mwili wako wote,na hutopata la maana zaidi ya kuwekwa alama za kishenzi.

Kama kweli una nia ya kujiajiri karibu PM nikupe kazi ya kupata Mtaji kwa mwezi m1 tu,kula juu yangu,malazi juu yangu mwisho wa mwezi ntakupa 100k. (kama upo dar tu)

Kama haupo Dar,bado nakushauri kama ndugu yako,Kwa waganga unaenda yaongeza matatizo Amini nakuhakikishia. Heri utafute nauli Kama upo mkoni Uje Dar nikusaidie kwa namna nitakayo ona yafaa.

Shida yako ipo kwenye MWANZO tu,natamani kukusaidia kuanza huko kwngine ntakuacha ujiongeze,mKuu nipo Hapa Karibu uwe huru niambia matamanio yako ila kwa MGANGA hapana,sikusikilizi wala sikushauri.
 
Umejiandaa kudanganywa?
 
Namba za mganga hizo mwenzio nimetumiwa leo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Je, wote watoao sadaka, wenye tabia mbaya siku zote mambo yao uwa yamenyooka tu? Muumini akipitia changamoto kubwa za maisha utasikia waumini wengine wakisema ili dhahabu iwe safi lazima ipitishwe kwenye moto mkali. Muumini akiishi maisha marefu itasemwa kabarikiwa na Muumba na ikitokea akafa katika umri mdogo watasema Mungu kampenda zaidi hivyo kamchukua mapema kumwepusha na mabalaa ya duniani.
 
Mganga hatoi kazi nayeye ana ganga njaa ndio maana anasubiri wateja ili apate hela ya kuishi
 
Kama Rc nenda kafanye toba ya kweli na ujue namna ya kuomba then nenda kaabudu Ekaristi Takatifu majibu utapata sahihi.
 
Nasikia kaharufu ka utapeli hapa au wenzangu mnamafua?[emoji846]
 
Naona waganga sasa hivi waanze utaratibu wa kuwapasulia wateja mayai ili mkome kwenda!
 
Sawa mkuu nitakuPM
 
Mungu wako na huyo Mganga, nani anaweza kukupa kazi?... But kumbuka Imani ya mtu hujaribiwa na unapaswa kuishinda.. Imani yako I wapi? Rudi kasome kitabu cha Ayubu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…