Naomba Wasifu (CV) ya Waziri Bashe tulinganishe na anayofanya

Naomba Wasifu (CV) ya Waziri Bashe tulinganishe na anayofanya

Mwanzo nilimuona mtu bora sana pale alipo anzisha au kufungua maghala ya chakula Congo,Sudan kusini na burundi lakini hivi sasa nimeanza kumuona ni kiongozi asie kuwa na utashi wa hali ya juu hasa pale anaposhindwa kuwasaidia wananchi kuhusu kupanda kwa bei ya chakula,kwani chakula kingi kinavuka mpaka na huku nchi ikibaki na chakula kiduchu sana.......hii ni hali mbaya sana kwa taifa
Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.

Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
 
Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.

Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi solo litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Kilichopo sio kwamba mkulima anauza kwa bei kubwa, Bali Kuna mfumuko wa Bei wa kila bidhaa.
Mkulima atauza gunia laki 1, alafu mafuta ya kula atanunua kwa ndoo laki na ishirini. Atanunua mfumo wa mbolea kwa 180000
Ingekua hakuna mfumuko wa bei, basi hizi bei za nafaka kwa mwaka huu ingempa sana faida mkulima.
 
Kilichopo sio kwamba mkulima anauza kwa bei kubwa, Bali Kuna mfumuko wa Bei wa kila bidhaa.
Mkulima atauza gunia laki 1, alafu mafuta ya kula atanunua kwa ndoo laki na ishirini. Atanunua mfumo wa mbolea kwa 180000
Ingekua hakuna mfumuko wa bei, basi hizi bei za nafaka kwa mwaka huu ingempa sana faida mkulima.
Umenisaidia kumwelewesha maana ingekua mkulima ndo anauza 1800 kwa kilo wala usingekua tatizo maana hiyo pesa ingeingia mfukoni mwake na kumnufaisha yeye. Tatizo ni kwamba wakulima hua wanauzia mazao yao shambani na kwa bei ya chini kwasababu ya shida, walanguzi ndo wanayauza sasa hivi kwa bei ya juu maana ndo wanaosafirisha kwenda nje ya nchi, mkulima wa kawaida anawezaje kupeleka mazao Kenya?! Mwisho siku wakulima wanaingiza pesa kiduchu sana ambayo haiwasaidii chochote. Sasa mwaka huu mavuno yalikua hafifu sana so mkulima kauza mazao yote ili ajikimu so by December hana chakula wala pesa ya kununua hicho chakula maana bei haishikiki just this July,....ili umsaidie mkulima lazima uregulate bei ya mazao kuanzia kwa hao walanguzi, haijalishi wao watauza vipi huko nje ya nchi lakini mkulima auze kwa bei ambayo itamnufaisha
 
Kilichopo sio kwamba mkulima anauza kwa bei kubwa, Bali Kuna mfumuko wa Bei wa kila bidhaa.
Mkulima atauza gunia laki 1, alafu mafuta ya kula atanunua kwa ndoo laki na ishirini. Atanunua mfumo wa mbolea kwa 180000
Ingekua hakuna mfumuko wa bei, basi hizi bei za nafaka kwa mwaka huu ingempa sana faida mkulima.
Kwa hiyo kwa akili yako ya kisoda ukidhibiti bei ya mahindi kwa mkulima utazuia mfumuko wa bei ya mafuta na mbolea? Suala la bei za bidhaa ni global supply and demand forces huku zikiathiriwa sana na mstakabali wa mgogoro wa Russia ma Ukraine
 
Mwanzo nilimuona mtu bora sana pale alipo anzisha au kufungua maghala ya chakula Congo,Sudan kusini na burundi lakini hivi sasa nimeanza kumuona ni kiongozi asie kuwa na utashi wa hali ya juu hasa pale anaposhindwa kuwasaidia wananchi kuhusu kupanda kwa bei ya chakula,kwani chakula kingi kinavuka mpaka na huku nchi ikibaki na chakula kiduchu sana.......hii ni hali mbaya sana kwa taifa
Nenda ukalime na wewe Mkuu, kama mtaweza kununua mazao ya wakulima kwa bei wanayouzia nje ya nchi nunueni muone kama wata take trouble ya kusafirisha mazao yao nje wakati soko la ndani wanalo.
 
Mlizoea kutukandamiza sisi wakulima kwa kutubania masoko huria,sasa mambo yapo poa sana kwetu.Kama unaona sisi wakulima tunafaidi sana,nawe kuwa mkulima.
We si mkulima bali mfanya biashara. Hakuna mkulima anafaidika na kuuza mazao nje, ana nafuu mazao yanapozuiwa kuvuka mipaka. Ni faida ipi ya kuuza mahindi kwa sh 10000 wakati wa mavuno na kisha kununua kwa sh 20000 wakati wa kiangazi? Production haikidhi mahitaji ya nchi, kuyasafirisha nje wanao faidi ni wafanya biashara.
 
Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.

Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Umeandika kwa mihemko ila nashindwa kuelewa kama
Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.

Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Umeandika kwa mihemko sana lakini pia napata ukakasi kama unafahamu maana halisi ya uchumi wa mtu mmoja mmoja na uchumi wa taifa?
 
Nenda ukalime na wewe Mkuu, kama mtaweza kununua mazao ya wakulima kwa bei wanayouzia nje ya nchi nunueni muone kama wata take trouble ya kusafirisha mazao yao nje wakati soko la ndani wanalo.
Ipo siku mtaanza kuomba chakula cha msaada kama kenya msipokuwa makini mkuu,huwezi ukatumia akiba yote ya nchi kwa kisingizio cha biashara hii ni hatari sana kwa taifa letu
 
Umeandika kwa mihemko ila nashindwa kuelewa kama

Umeandika kwa mihemko sana lakini pia napata ukakasi kama unafahamu maana halisi ya uchumi wa mtu mmoja mmoja na uchumi wa taifa?
Yaani household economy vs aggregate economy? So what?
 
Umenisaidia kumwelewesha maana ingekua mkulima ndo anauza 1800 kwa kilo wala usingekua tatizo maana hiyo pesa ingeingia mfukoni mwake na kumnufaisha yeye. Tatizo ni kwamba wakulima hua wanauzia mazao yao shambani na kwa bei ya chini kwasababu ya shida, walanguzi ndo wanayauza sasa hivi kwa bei ya juu maana ndo wanaosafirisha kwenda nje ya nchi, mkulima wa kawaida anawezaje kupeleka mazao Kenya?! Mwisho siku wakulima wanaingiza pesa kiduchu sana ambayo haiwasaidii chochote. Sasa mwaka huu mavuno yalikua hafifu sana so mkulima kauza mazao yote ili ajikimu so by December hana chakula wala pesa ya kununua hicho chakula maana bei haishikiki just this July,....ili umsaidie mkulima lazima uregulate bei ya mazao kuanzia kwa hao walanguzi, haijalishi wao watauza vipi huko nje ya nchi lakini mkulima auze kwa bei ambayo itamnufaisha
Kwa kweli Wakulima Tanzania wanadhulumiwa sana. Inahitajika juhudi za kisasa kuboresha mapato yao kwa kazi ngumu wanayoifanya. Inakuwaje mkulima anasafirisha mazao yake kutoka mikoani anayafikisha Kariakoo halafu bei anapangiwa na yule jamaa anayekaa kibandani Kariakoo?
 
We si mkulima bali mfanya biashara. Hakuna mkulima anafaidika na kuuza mazao nje, ana nafuu mazao yanapozuiwa kuvuka mipaka. Ni faida ipi ya kuuza mahindi kwa sh 10000 wakati wa mavuno na kisha kununua kwa sh 20000 wakati wa kiangazi? Production haikidhi mahitaji ya nchi, kuyasafirisha nje wanao faidi ni wafanya biashara.


Lima mahindi ya kwako uyapangie bei acheni unyonyaji kazi kukaa mijini kulima hamtaki
 
Bashe ni Mkulima mkubwa pia Bashe ni mfugaji mkubwa! Anapoongea Kilimo anaongea from experience! Amepewa wizara ameomba miaka 3 ndo utaona anapeleka wapi Kilimo. Kama unataka cv nenda wanazo wamezikalia sua wakisubiri ajira serikalini badala ya kwenda kulima au kufuga!
Hongera, Umemjibu vizuri sana.

Kuna hao waliosoma SUA wapowapo tu...miaka nenda rudi walichogundua ni kufukuza panya kwa kutumia mkojo wa paka na kufuga bundi

Yaani products za SUA zinashangaza sana, mbolea, pembejeo na mbegu,zinaagizwa kutoka nje.
 
Tz ni moja ya nchi ambayo mazao yake yanayotokana na kilimo ni ghali sana kwa soko la nje.

Na sababu kubwa ziko mbili.

1. Chain ya madalali ni kubwa.

2. Serikali ina matumizi makubwa yasiyi na athari kwa wananchi wa kawaida walio wengi.

Tukijua haya hatutohitaji kujua CV ya bashe. Tunachohitaji kujadili ni namna gn tutauondoa mfumo ambapo serikali inaongizwa na ma ccm pekee. Tunahitaji serikali jumuishi ili makundi yote yawe na wawakiloshi ktk kufanya maamuzi ya wengi.
 
Kumekuwepo na sintofahamu kubwa kuhusiana na Kauli ya Waziri wa Kilimo kuilazimisha Central Bank kutoa upendeleo kwa Benki mpya ya Bashe inayoitwa Benki ya Ushirika ili kuweka masharti nafuu ya utoaji wa mikopo.

Pia, nimeona Bashe ameingia kwenye mzozo kuhusiana na ruzuku ya Mbolea na kuleta sintofahamu kubwa huku wengine wakieleza bashe hana uzoefu wa kufanya kazi serikalini kwa hiyo mambo mengi hayajui jambo mwenyewe anaamini anajua kwa kiingereza chake cha Nzega.

Hebu tujadili CV yake ili tusije kumhukumu kwa makosa ambayo sio yake
Smearing imeanza kabla ya msimu
 
Kumekuwepo na sintofahamu kubwa kuhusiana na Kauli ya Waziri wa Kilimo kuilazimisha Central Bank kutoa upendeleo kwa Benki mpya ya Bashe inayoitwa Benki ya Ushirika ili kuweka masharti nafuu ya utoaji wa mikopo.

Pia, nimeona Bashe ameingia kwenye mzozo kuhusiana na ruzuku ya Mbolea na kuleta sintofahamu kubwa huku wengine wakieleza bashe hana uzoefu wa kufanya kazi serikalini kwa hiyo mambo mengi hayajui jambo mwenyewe anaamini anajua kwa kiingereza chake cha Nzega.

Hebu tujadili CV yake ili tusije kumhukumu kwa makosa ambayo sio yake
Nimeangalia CV yake kwenye Tovuti ya Bunge nimeona ana digrii moja ya elimu ya Biashara hapo MZUMBE
 
Back
Top Bottom